Uchaguzi 2020 Polisi waondoa kizuizi alichowekewa Tundu Lissu Kiluvya. Asema anaendelea na safari yake

Ndio ..siko familiar na member wengi humu ..wengine nawafahamu kwenye topic kama hizi kwa hisia na mihemko. But unfortunately Mimi huwa napenda mijadala iliyonyooka sipendi kutanguliza hisia na mapenzi katika hoja zangu.
Shukuru Mungu umemjua sasa huyo
 
Kwa Tundu Lissu kila goti litapigwa. Kila mahali wanabana wanaachia.

Huyu ndiye Lissu bwana.
 
Kwa uelewa wako kwa case ya Leo kulikuwa na urazima wa kuingia barabarani?
Au waingie barabarani kwa sababu gani?
Wewe ulitaka waingie barabarani ili iwe mini na je wameambiwa na kipngozi wao waingie barabarani ikiwa lipi likitokea?
😂😂😂 Mmeanza tena kumtetea na kujifanya mashujaa huku mtandaoni??
Wabongo sijui mtaacha lini unafiki.
 
Unabadirisha vilio kama mwanamke anayepigwa m.iti....
 
Upinzani wa bongo|Tanzania bwana!.

Ukiachiwa huru|ukipewa haki yako uongozi unakua umelegea..Haha.

Sawa,Endeleeni kuvunja sheria tu kwa kutafuta political violence.

Itafika mahali itabidi kila mtu mwenye madaraka atimize wajibu wake ipasavyo.
Huyu Ndio mpinzani. Sababu walizomzuia zimeisha?? Polisi tunajua hawana kosa na hawana mamlaka ya kukaidi order za bosi wao. Hili jeshi na lenyewe linateseka kuwa mikononi mwa madilitata uchwara.
 
😂😂😂 Mmeanza tena kumtetea na kujifanya mashujaa huku mtandaoni??
Wabongo sijui mtaacha lini unafiki.
Sisi mashujaa .......mmebana mmeachia. Huyo ndie Lissu bwana. Mtatema ndoano mwaka huu. Na kumtangaza Ushindi itakuwa hivi hivi.
 
Upinzani wa bongo|Tanzania bwana!.

Ukiachiwa huru|ukipewa haki yako uongozi unakua umelegea..Haha.

Sawa,Endeleeni kuvunja sheria tu kwa kutafuta political violence.

Itafika mahali itabidi kila mtu mwenye madaraka atimize wajibu wake ipasavyo.
Mbona unaji contradict? Itakuwaje wapewe haki yao kwa kuachiwa huru na wakati huo huo wawe wamevunja sheria?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mmeanza tena kumtetea na kujifanya mashujaa huku mtandaoni??
Wabongo sijui mtaacha lini unafiki.
Mkuu..unanifahamu vizuri au unanifuatilia vizuri?

Katika post zangu mbona nishasema Mimi sins chama..nipo huru kukososa au kukubaliana na chama Fulani katika jambo Fulani..ila siko binding na chama kama watu walio wengi.

Na katika post yangu sidhani kama nimetaja chama..

#kumbuka ;

* Great mind discuss idea

* Average mind discuss event

*Low mind discuss people

So jiangalie upo kundi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…