Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.There is no justification in cheating dearest, ukisema utafute chanzo wakati mwingine wala hutakipata, wanaume wameumbwa as polygamist in nature kwa hiyo hata uwe mwanamke perfect and a half bado watacheat sema its more painful anapokucheat wazi au ukagundua, nyumba inakua haina heshima, afanye tu huko ila anaporudi nyumbani kunakua na heshima
Kosa kubwa ni mwanamke kupigana na mchepuko wa mume,naona kama unazidi kujishushia heshima, ni busara kudeal with your huband and not his side chick. Na pia hakuna sababu ya kutoana toho au kutumiana wahuni,kama mtu unaona yamekushinda,leave the toxic marriage and start a new page
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lazima dada mwanajeshi akili ilimruka mume wake naona alipagawa Kwa binti ,, binti anaonekana Yuko [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] kwenye 6x6 . Dada mwanajeshi akapandwa na kichaa cha ndoa......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wajeda ndo wanavyofanyaga kwa Bed vile? Nawaza wanao date na wajeda wanatesekajeee lolUnaambiwa hao wote ni wajeda [emoji3]wamemfira binti wa watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah ule ni zaidi ya ubaya ubwela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wangempa maji presha ingeshuka na kufariki
Hivi unajua ulawiti wa watoto uleongezeka kwa kiasi gani Tanzaia. Angalia takwimu za mwaka huu uone jinsi Tanzania inapoelekea pabaya. Wahuni ni wahuni tu haijalishi umetembea na mke au mume wa mtu . Kuna watu wanabakwa kila siku na wala hawajawahi kutembea na mke au mume wa mtu.Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.
Madhara ndo km hayaa, khaaaah
Hivi wakati mie nazungumzia na kusemea wimbi la ukuaji wa ulawiti na ushoga hapa Tanzania, si mlisema nasambaza agenda? Ikafikia hatua post kufutwa na mie kupigwa Ban kwa muda?Hivi unajua ulawiti wa watoto uleongezeka kwa kiasi gani Tanzaia. Angalia takwimu za mwaka huu uone jinsi Tanzania inapoelekea pabaya. Wahuni ni wahuni tu haijalishi umetembea na mke au mume wa mtu . Kuna watu wanabakwa kila siku na wala hawajawahi kutembea na mke au mume wa mtu.
Tunaofanya kazi za gender and sexual violence ndio tunaona maumivu wanaopitia kwa kulawitiwa na kubakwa na vijana wahuni.
Hivi unajua ulawiti wa watoto uleongezeka kwa kiasi gani Tanzaia. Angalia takwimu za mwaka huu uone jinsi Tanzania inapoelekea pabaya. Wahuni ni wahuni tu haijalishi umetembea na mke au mume wa mtu . Kuna watu wanabakwa kila siku na wala hawajawahi kutembea na mke au mume wa mtu.
Tunaofanya kazi za gender and sexual violence ndio tunaona maumivu wanaopitia kwa kulawitiwa na kubakwa na vijana wahuni.
Angalia takwimu hapo. Hakuna justification ya kubaka mtu kisa kwa hiari yao wamekubali kufanya mapenzi. Angalia takwimu hizo, hao nao walitembea na mke au mume wa mtu.Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.
Madhara ndo km hayaa, khaaaah
Very sad kwa kweliUnakuta mtu anajigamba nitamkomesha, comeon, si utumie hizo nguvu kwa mambo ya msingi.
Mtasemaaa yotee, hapoo badooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angalia takwimu hapo. Hakuna justification ya kubaka mtu kisa kwa hiari yao wamekubali kufanya mapenzi. Angalia takwimu hizo, hao nao walitembea na mke au mume wa mtu.
Nitumie pmView attachment 3062705View attachment 3062706 Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah
Ni tatizo kubwa ila wanawake tusiwe weak kiasi hicho,mtu ameacheat move on,thats your strength,kama huwezi kumsamehe muache,kama unaweza samehe muendelee na maisha hakuna haja ya kumfanyia mwingine ukatiliKila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.
Madhara ndo km hayaa, khaaaah
Bado nini? Acha kutetea ujinga.Mtasemaaa yotee, hapoo badooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee mtasema yoteee, hapoo badooBado nini? Acha kutetea ujinga.
Nitumie pm plseNitumie pm