Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

1000336831.jpg
 
Kama umeiona video usiisambaze ili na wengine waone.
Wewe ulieona utalisaidia jeshi la polisi iwapo utawatambua wahusika.

Kusambaza ni kosa, hata mimi siafiki usambazaji wa hiyo video ni kuzidi kumdhalilisha huyo binti.

Sidhani kama kwa ishu ilipofika ati polisi hawana clue yoyote, sio kweli.
 
There is no justification in cheating dearest, ukisema utafute chanzo wakati mwingine wala hutakipata, wanaume wameumbwa as polygamist in nature kwa hiyo hata uwe mwanamke perfect and a half bado watacheat sema its more painful anapokucheat wazi au ukagundua, nyumba inakua haina heshima, afanye tu huko ila anaporudi nyumbani kunakua na heshima

Kosa kubwa ni mwanamke kupigana na mchepuko wa mume,naona kama unazidi kujishushia heshima, ni busara kudeal with your huband and not his side chick. Na pia hakuna sababu ya kutoana toho au kutumiana wahuni,kama mtu unaona yamekushinda,leave the toxic marriage and start a new page
Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.

Madhara ndo km hayaa, khaaaah
 
Jeshi la polisi msitie aibu nchi hii mambo yako hadharani kuna watu mpaka wamewatafutia address zao na number za simu lakini mpaka sasa hakuna aliyewekwa chini ya ulinzi? Kwenye hili mchague kusuka au kunyoa tuacheni kubebabana kwenye dhambi. Kama ni kweli wanajeshi hakuna mtu aliye juu ya sheria wafikishwe sehemu usika wanapata adhabu inayostahili kifungo cha maisha gerezani. Mkiiacha hili kupita basi mjiandae na maafa.
 
Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.

Madhara ndo km hayaa, khaaaah
Hivi unajua ulawiti wa watoto uleongezeka kwa kiasi gani Tanzaia. Angalia takwimu za mwaka huu uone jinsi Tanzania inapoelekea pabaya. Wahuni ni wahuni tu haijalishi umetembea na mke au mume wa mtu . Kuna watu wanabakwa kila siku na wala hawajawahi kutembea na mke au mume wa mtu.
Tunaofanya kazi za gender and sexual violence ndio tunaona maumivu wanaopitia kwa kulawitiwa na kubakwa na vijana wahuni.
 
Hivi unajua ulawiti wa watoto uleongezeka kwa kiasi gani Tanzaia. Angalia takwimu za mwaka huu uone jinsi Tanzania inapoelekea pabaya. Wahuni ni wahuni tu haijalishi umetembea na mke au mume wa mtu . Kuna watu wanabakwa kila siku na wala hawajawahi kutembea na mke au mume wa mtu.
Tunaofanya kazi za gender and sexual violence ndio tunaona maumivu wanaopitia kwa kulawitiwa na kubakwa na vijana wahuni.
Hivi wakati mie nazungumzia na kusemea wimbi la ukuaji wa ulawiti na ushoga hapa Tanzania, si mlisema nasambaza agenda? Ikafikia hatua post kufutwa na mie kupigwa Ban kwa muda?

Bado hamjasemaaa, yaan hapoo badooo!! UNAFIKIIII
unawaumbuaa km hiviii, Poleeeeeni
 
Hivi unajua ulawiti wa watoto uleongezeka kwa kiasi gani Tanzaia. Angalia takwimu za mwaka huu uone jinsi Tanzania inapoelekea pabaya. Wahuni ni wahuni tu haijalishi umetembea na mke au mume wa mtu . Kuna watu wanabakwa kila siku na wala hawajawahi kutembea na mke au mume wa mtu.
Tunaofanya kazi za gender and sexual violence ndio tunaona maumivu wanaopitia kwa kulawitiwa na kubakwa na vijana wahuni.
Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.

Madhara ndo km hayaa, khaaaah
Angalia takwimu hapo. Hakuna justification ya kubaka mtu kisa kwa hiari yao wamekubali kufanya mapenzi. Angalia takwimu hizo, hao nao walitembea na mke au mume wa mtu.
 

Attachments

  • IMG-20240805-WA0003.jpg
    IMG-20240805-WA0003.jpg
    116.2 KB · Views: 2
Angalia takwimu hapo. Hakuna justification ya kubaka mtu kisa kwa hiari yao wamekubali kufanya mapenzi. Angalia takwimu hizo, hao nao walitembea na mke au mume wa mtu.
Mtasemaaa yotee, hapoo badooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila siku nasema mabinti waache kudate na waume za watu, na wakaka waache kudate na wake za watu.

Madhara ndo km hayaa, khaaaah
Ni tatizo kubwa ila wanawake tusiwe weak kiasi hicho,mtu ameacheat move on,thats your strength,kama huwezi kumsamehe muache,kama unaweza samehe muendelee na maisha hakuna haja ya kumfanyia mwingine ukatili
 
Hii kesi na ya yule RC wa Simiyu iwe mifano ,hakimu atoe adhabu kali ili vitendo vya kuwafanyia ukatili mabinti UKOME.
 
Back
Top Bottom