Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Mnazungumzia Vijana tu ila afande ambae ni mwanamke aliewamlisha vijana watende unyama hamumzunguzii kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mWAMBIE aAMIA AWAWAJIBISHE KAMA ALIVYOFANYA KWA NAPE KAMA wAMBURA HAJACHUKUA HATUA MAANA KUNA KAMA KULINDANA, KWANINI HAWATAJI MAJINA YA HAO WANAOSeMA WAMEWAKAMATA. mBONA KWA MTOTOT ALBINO WALIMKOMALIA PaROKO NA MAJINA YAKE SASA HAWA WANAFICHA NINI? masauni anaficha majinaNatoa angalizo tu haya mambo yalianza kwa kutuhumiwa mkuu wa mkoa na sasa anatuhumiwa mjeda Mungu wa Mbinguni atakasirishwa sana na huu uovu
Imenilazimu kupanda Mlimani kumuomba Mungu wa Mbinguni aingilie Kati
Mlale Unono 🐼
hapana uzoefu watu wanne huku wanamtishaWalichofanya siyo sawa Ila ikiangalia vizuri video huyo msichana anaonekana mzoefu... dah...
Cc: Mahondaw
Majina yatatajwa baadaemWAMBIE aAMIA AWAWAJIBISHE KAMA ALIVYOFANYA KWA NAPE KAMA wAMBURA HAJACHUKUA HATUA MAANA KUNA KAMA KULINDANA, KWANINI HAWATAJI MAJINA YA HAO WANAOSeMA WAMEWAKAMATA. mBONA KWA MTOTOT ALBINO WALIMKOMALIA PaROKO NA MAJINA YAKE SASA HAWA WANAFICHA NINI? masauni anaficha majina
Mlima wenyewe usiwe kitonga tu,kwani ni moja ya milima ya dhambi kwanini,madereva wamekuwa wakiyaporomoshea korongoni magari ya mabosi wao baada ya kuwaibia,iwe malori ya wese hata yale ya zaga nyingine..Natoa angalizo tu haya mambo yalianza kwa kutuhumiwa mkuu wa mkoa na sasa anatuhumiwa mjeda Mungu wa Mbinguni atakasirishwa sana na huu uovu
Imenilazimu kupanda Mlimani kumuomba Mungu wa Mbinguni aingilie Kati
Mlale Unono 🐼
Kisa vimepata umaarufu? Haya mambo yapo kabla ya smartphoneNatoa angalizo tu haya mambo yalianza kwa kutuhumiwa mkuu wa mkoa na sasa anatuhumiwa mjeda Mungu wa Mbinguni atakasirishwa sana na huu uovu
Imenilazimu kupanda Mlimani kumuomba Mungu wa Mbinguni aingilie Kati
Mlale Unono 🐼
Mpeni dau ,chaap kwa haraka anaachia.Ccm wanamtumia milard Ayo kuficha taarifa
jina lake limesha julikana na hadi namba so hata nilivyoona kavaa gwanda za jeshi nimeshangaa sanSaidia vyombo vya dola kupata jina lake na anakoishi
Binti aliimudu game, ubaya tu ni kwamba walimfosiWalichofanya siyo sawa Ila ikiangalia vizuri video huyo msichana anaonekana mzoefu... dah...
Cc: Mahondaw
Hao watoto wenu mna uhakika hawayajui hayo mambo? isije mkawa mnawalinda mkifikiri ni innocents kumbe ni mapro na wanafanya kwa hiyari yao, anyway, nafikiri wqzazi wanatakiwa kuwajibika na malezi ya mabinti zao malezi ya kizungu na kuwaachia uhuru usiokua na mipaka haya ndio madhara yake.Dunia inaenda kuisha.Hivi kweli tumefikia hapa Kama taifa ambalo watu wake ambao ni wamoja na wenye upendo.Hivi binadamu wa kawaida wanafanya vitendo hivyo vya kinyama Kama hili la huyo Binti mdogo.Watoto wetu tuwalele wapi?Hao vijana wanyongwe inatia hasira sana.Binadamu tumrudie Mungu.
Sana yani
mWAMBIE aAMIA AWAWAJIBISHE KAMA ALIVYOFANYA KWA NAPE KAMA wAMBURA HAJACHUKUA HATUA MAANA KUNA KAMA KULINDANA, KWANINI HAWATAJI MAJINA YA HAO WANAOSeMA WAMEWAKAMATA. mBONA KWA MTOTOT ALBINO WALIMKOMALIA PaROKO NA MAJINA YAKE SASA HAWA WANAFICHA NINI? masauni anaficha majina