Uhalali ni nini na unathibitishaje sina uhalali na kwamba hilo dai si ubaguzi wako tu kwa watu wasiokubaliana nawe?Ungekuwa na uhalali hata wa kuona vitabu vya kijeshi vya sheria usingekuwa unaongea upuuzi unaongea.
Muulize mwenyewe ulimwengu@jenerali.comKwani Jenerali ulimwengu anasemaje kuhusu ili
Hizo professional code of ethics za wanajeshi wa Tanzania umeziona wapi?
Ziweke hapa tuzichambue.
Huo ni ujinga unaobishania.Hivyo ni vya Colombia au Mexico?
Hao ni wakuu wa majeshi? Majenerali?
Unaelewa Chaplain ni nini katika jeshi la Marekani?
Tanzania tuna Chaplain?
Kuna mtu kataja Yesu katika covers za hivyo vitabu?
Kitabu cha dini kimeanza kwa ku pimp ujenerali kwenye cover, kazi isiyo ya kidini.Huo ni ujinga unaobishania.
Kisome kitabu chake kama hakina material potezea.
Kuvaa hijab kwa Rais vazi la kiislam sio ajenda kwenye urais wake.
Hivyo kama ujenerali kwenye kava sio issue jeshini kwake.
Kama umechafukwa toka povo
Naomba u download na kuweka pdf hapa kama hutajali.
Siko hapa kujadili ujinga wako,wala kujipa kazi zisizo na tija,umeweka hoja zako za kipuuzi waziwazi na waziwazi tumekuonesha haupo sawa...acha personal attacks,kama hoja zimekuishia fanya mambo mengine.Ni kazi yako kuuonesha, ujinga wako ni kwamba kazi yako hiyo unanipa mimi.
Wewe si mjinga tu, ni mjinga mvivu.
Principle ipi unayojadili wewe? Unataka watu waishi kwa principle zako binafsi?Wewe hujaelewa kwamba najadili principle, si ninachotaka mimi.
Jifunze kusoma kwa ufahamu kwanza.
Unajua maana ya ushuhuda? Kukiri mambo makuu ambayo Mungu amekutendea mbele ya ulimwengu....hiko cheo kuwepo hapo tu ni ushuhuda tosha.Kitabu cha dini kimeanza kwa ku pimp ujenerali kwenye cover, kazi isiyo ya kidini.
Mpaka hapo hujaona tatizo?
Kwa hio issue ni kuandikwa yesu kwenye cover ama vitabu vya dini? Na issue nyengine ni mwanajeshi ama lazima awe wa Colombia na Mexico?Hivyo ni vya Colombia au Mexico?
Hao ni wakuu wa majeshi?
Unaelewa Chaplain ni nini katika jeshi la Marekani?
Tanzania tuna Chaplain?
Kuna mtu kataja Yesu katika covers za hivyo vitabu?
Kitabu cha dini kimeanza kwa ku pimp ujenerali kwenye cover, kazi isiyo ya kidini.
Mpaka hapo hujaona tatizo?
Sio mlokole, ni RC
Wewe umetoa jibu la kuelewekaMkuu huyu lazima amesoma nje vyuo vikuu kozi za mambo ya kijeshi.
Inawezekana hakutaja kozi na vyuo kwa sababu maalum.
Kuna bandiko humu linasema alikuwa mtu wa intelijensia huko jeshini.
Zamani waseminari wengi walioshia kidato cha 6 walienda jeshini na baadaye kwenda kusoma ngazi ya shahada wakiwa kazini na hasa nchi kama Marekani.
Baadhi tunawajua ambao wamesoma Oklahoma nchini Marekani kwenye Military Academies kiwango cha University bachelor degree.
Ila sioni kama kuna ulazima wa kuficha wenzetu Wana CV zilizoshiba wanaweka vitu waziMkuu huyu lazima amesoma nje vyuo vikuu kozi za mambo ya kijeshi.
Inawezekana hakutaja kozi na vyuo kwa sababu maalum.
Kuna bandiko humu linasema alikuwa mtu wa intelijensia huko jeshini.
Zamani waseminari wengi walioshia kidato cha 6 walienda jeshini na baadaye kwenda kusoma ngazi ya shahada wakiwa kazini na hasa nchi kama Marekani.
Baadhi tunawajua ambao wamesoma Oklahoma nchini Marekani kwenye Military Academies kiwango cha University bachelor degree.
Majenerali huwa wanaruhusiwa kwenda mpaka miaka 70 kama Afya inaruhusu.Bila Jenerali Mabeyo kusimama kidete, 'mama' asingeapishwa…. alikuwa ashaanza kusetiwa atangaze kuwa viatu havimtoshi.
Na sasa muda wa Mabeyo kustaafu ushafika lakini mama hataki kumruhusu, sijui atamwongezea muda hadi lini.!
Nafurahi ila NAOGOPA.
Mbona hata musuguri hana degree?Ndio nimekuelewa ila elimu ya ziada ina muhimu sana,je alienda University? Maana katika biography yake naona ameishia elimu ya juu mzumbe
Nchi ya vilaza hiiMbona hata musuguri hana degree?
Acha hasira we mlokoleAcha upumbavu huo Kwan si ni cdf kweli ulitaka asiandikee