Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #41
Sio asionye mawaziri, aishie kwenye kusisitiza utekelezaji wa ilani, hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya nidhamu. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.kwa hiyoo asifanye ziara mkuu??? asionyee mawaziriii???
Je kama boss ndo kamtuma??? kwani boss wake huwa anaonya wangapi?? mbona kwa hili hajasema nenoooo... kama mtu mzima ni rahisi kuelewa why makonda kateuliwa baada ya kukaa bench miaka lakini karudi na jeurii kubwa mnoo.Sio asionye mawaziri, aishie kwenye kusisitiza utekelezaji wa ilani, hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya nidhamu. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.
P
Makonda ni jasiri, mpiga kazi ila ni sikio la kufa.Wanabodi
Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.
Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.
Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.
Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.
Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.
Wish you all the best
Kakayo
Paskali
Yaani ukitaka kujua kuwa CCM walishaishiwa miaka mingi ni hizi hoja hapa. Hivi Bashite ana credibility gani hata za kusimama jukwaani?. Mmeamua kuleta wahuni ili kuimarisha uhuni.Wanabodi
Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.
Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.
Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.
Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.
Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.
Wish you all the best
Kakayo
Paskali
Naona kama ni sikio la kupona safari hii,kidogo ana unyenyekevu Baba wa Upendo.Makonda ni jasiri, mpiga kazi ila ni sikio la kufa.
Ila mkuu elimu unayosema hatuna tunahitaj 60 yrs ijayo ndio hio hio uliyopewa na chama.mara aingie na baiskeli, mara aingie na fuso, na hizo simu za maagizo sasa mawaziri wanabidi waitikie tu..
kweli makonda ni" content creator"
ila kwa shangwe anazopewa na wanaomsikiliza kwenye mikutano yake ni wazi tatizo kubwa kwa wananchi wetu ni elimu.. haya maigizo wengi wanayafurahia na kusema makonda ni magufuli mpya, mtetezi wa wanyonge na mkombozi... hahahaah aisee hii nchi inahitaji miaka mingine 60 ndo tuupate uhuru halisi, hichi kizaz kilichokosa elimu kipite kije kizazi kipya ambacho angalau kila raia ana ka elimu ka form 4 na diploma kanakomuwezesha kupambanau mambo na kujui kipi ni fiksi na kipi ni uhalisia.
swali la kujiuliza, ccm imetawala yenyewe tangu uhuru, leo unaposema unatetea wanyonge, unawatetea wanyonge dhidi ya nani? aliyewaacha kwenye umaskini na unyonge ni nani? anayeifisadi nchi na kutowajibika ni nani? aliyeshindwa kutatua migogoro tangu uhuru ni nani?
yan ccm hyohyo ikupige halafu ccm hyohyo ikupe pole, na leso ya kufuta machozi.
ndo maana nasema yote ni maigizo, mpaka wananchi tutapoamua kila uchaguzi kupima hoja na kuchagua chama chochote, hapo tutakuwa tumejikomboa na tutaheshimiwa na hawa tunaowachagua, lakin huu ushabiki wa mkumbo tutaendelea kuwa watumwa, kulipa kodi ili wao na wenza wao walipane mishahara na posho.
Thubutu, sio kwa ushenzi ule wa 2020. Hakuna ccm ya kuweza kupata kura Zaidi ya 51%, na haitakaa iweze. Kama idadi ya wapiga kura wanasema ilikuwa 29m+, hapo unataka ushahidi gani kuwa ule ulikuwa ni uhuni? Watanzania baada ya sensa tuko 61m, inawezekana vipi nusu ya watanzania wawe wamejiandikisha kupiga kura? Kwahiyo watu wenye umri wa miaka 18+ wako sawa kwa idadi ya walio chini yake?KIfupi kura hazikutosha labda kama mchezo ulichezwa eti labda 2015 lakini 2020 aahaa hakukuwa na kitu jamaa aliswaga mwendo bure!
Bro raisi wa Naijeria wa sasa alifoji vyeti vya elimu. Kule kuna wasomi wengi sembuse Makonda aka BashiteNilitegemea Mr.Makonda atajibia tuhuma nyingi zinazomzunguka ,elimu yake, kuhusishwa jina lake na mauaji, attempted murders, kumpiga au kumfanyia fujo former PM,Mr.Warioba, lakini middle class wa kitanzania kama nyumbu wamesahau yote haya,je Mr.Makonda ni mtu clean?
Sio kwamba ana lengo la ku outshine mabosi wake, ni kwamba hajui mipaka na wigo wa kazi zakeNever outshine your boss!.
Mwenezi ni No. 7 kwenye hierarchy ya chama, ana mabosi 6 juu yake M/Kiti, M/Kiti Bara, M/Kiti ZnZ, KM, NKM Bara, NKM ZnZ ndipo anakuja Mwenezi!.
P
p,Wanabodi
Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.
Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.
Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.
Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.
Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.
Wish you all the best
Kakayo
Paskali
Hizi tuhuma ulizoporomosha kwa kuwa mnawanasheria nguli na ni za uhakika bila chenga,nilitegemea kesi ziwe nyingi dhidi yake hasa amekaa benchi miaka mitatu bila kuwa na Godi faza,mkashindwa,mlijua mmemmaliza kisiasaPascal Mayalla
Hakuna amsha amsha ni kutafuta umaarufu kwasababu maalumu, kuficha maouvu
Publicity unaoyoiona si kwa ajili ya chama ni kujisafisha akijua ananuka dhulma na mikono imejaa damu!
Huyu bwana anafahamu aliumiza Umma, hakuna alichokifanya kikafanikiwa isipokuwa kusimamia mabaya. Amejaza vijana mitandaoni wana post upuuzi ili umma usahau au afiche maovu aliyotenda zama zile
Pili, anafanya kazi bila kufikiri kwasababu tu ya kutafuta umaarufu. Si mara ya kwanza kumbuka!
Mfano, juzi kaambiwa kuna maiti imezuiliwa Hospitali ya Sekotoure.
Bila kuuliza au kuwasiliana na Hospitali, mwenezi akaagiza ambulance ikachukue mwili kwenda kuzika
Hospitali ni institution (Taasisi) inaongozwa kwa procedures na guidelines. Maiti kuzuiliwa kuna sababu.
Inawezekana kuna deni la matibabu linalopaswa kulipwa. Mambo ya hovyo kama haya yanaua taasisi kwasababu zinashindwa kujiendesha. Ndiyo yale ya amri za kutoa pesa za mwenge kwenye mashirika, yakafa
Ningemuelewa kama angesema atalipia gharama hizo , mwili utolewe.
Kutoa amri tu ni kukurupuka na kuitia taasisi hasara. Nani atafidia deni hilo kama lipo?
Unaweza kuona hajabadilika, ndio yale ya wanaume kutelekeza watoto, madawa ya kulevya mkoa mmoja kana kwamba Dar ni kisiwa n.k.
Hajui mipaka ya kazi au tofauti ya uenezi na u-RC wala hajui 'coordination and engagement''
JokaKuu
mkuu ukiona watu wanasema magu mpya Kwa makonda ujue kunakitu kimekosekana sehem na ccm wanakijua hapo bado mtu 1 tu team ikamilike yuleee mtu wa migomban ck akitia timu hata wale wenye mawazo mpadala itabidi wakune kichwa...mara aingie na baiskeli, mara aingie na fuso, na hizo simu za maagizo sasa mawaziri wanabidi waitikie tu..
kweli makonda ni" content creator"
ila kwa shangwe anazopewa na wanaomsikiliza kwenye mikutano yake ni wazi tatizo kubwa kwa wananchi wetu ni elimu.. haya maigizo wengi wanayafurahia na kusema makonda ni magufuli mpya, mtetezi wa wanyonge na mkombozi... hahahaah aisee hii nchi inahitaji miaka mingine 60 ndo tuupate uhuru halisi, hichi kizaz kilichokosa elimu kipite kije kizazi kipya ambacho angalau kila raia ana ka elimu ka form 4 na diploma kanakomuwezesha kupambanau mambo na kujui kipi ni fiksi na kipi ni uhalisia.
swali la kujiuliza, ccm imetawala yenyewe tangu uhuru, leo unaposema unatetea wanyonge, unawatetea wanyonge dhidi ya nani? aliyewaacha kwenye umaskini na unyonge ni nani? anayeifisadi nchi na kutowajibika ni nani? aliyeshindwa kutatua migogoro tangu uhuru ni nani?
yan ccm hyohyo ikupige halafu ccm hyohyo ikupe pole, na leso ya kufuta machozi.
ndo maana nasema yote ni maigizo, mpaka wananchi tutapoamua kila uchaguzi kupima hoja na kuchagua chama chochote, hapo tutakuwa tumejikomboa na tutaheshimiwa na hawa tunaowachagua, lakin huu ushabiki wa mkumbo tutaendelea kuwa watumwa, kulipa kodi ili wao na wenza wao walipane mishahara na posho.
Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.
Paskali
Unakumbuka Tume ya maadili na kesi ya x-mayor wa Ubungo. Unakumbuka mahakama ilivyomkingia kifua pale kinondoni. Tunaongelea uenezi kama unataka kuingia kwingine sidhani kama ni wazo zuri!Hizi tuhuma ulizoporomosha kwa kuwa mnawanasheria nguli na ni za uhakika bila chenga,nilitegemea kesi ziwe nyingi dhidi yake hasa amekaa benchi miaka mitatu bila kuwa na Godi faza,mkashindwa,mlijua mmemmaliza kisiasa
Kaibuka kwa upya mmeanza tena ngonjera zenu,
Watanzania sio mafala
Wastaafu watulie wakihitajika watatumika,waache viherehere,Sio kwamba ana lengo la ku outshine mabosi wake, ni kwamba hajui mipaka na wigo wa kazi zake
Bosi wa zamani alimpoteza kwa kumfanya aamini kwamba yeye ni mtu mkubwa na muhimu sana nchini
Hajui kuchagua maneno ya kuongea . Mfano, majuzi amewashambulia wastaafu na tunajua alimshambulia Warioba.
Leo JK ambaye ni mstaafu anamwakilisha Rais huko Finland, sasa sijui alimaanisha wastaafu wapi wakae kimya
Anapenda sana kufungua kinywa bila kupima uzito wa maneno yake.
By the way hajui kiswahili vizuri, utamsikia ''afazali, tahazali n.k. ''
Wastaafu ni Raia na wana haki kama raia wengine kutoa maoni yao. period!Wastaafu watulie wakihitajika watatumika,waache viherehere,
Kwanini wastaafu umewaona warioba na Jakaya pekee?,unafiki wa hali ya juu sana