POSTPONED (PP): Yanga SC VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2025

POSTPONED (PP): Yanga SC VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2025

Huwa huniangushi, sasa nakupa siri za simu za bwana shemeji maana inaelekea kupona leo 😅 😅
Kaza moyo maana kuna nyumba tisa amejenga sijui unajuaa siri ya kwanza hiyo 😂😂😂
Eeh tena 🤣🤣🤣🤣🤣 halafu alikuja akasoma na akakulike alicheka 😅. Akasema mbona sikumtag ID yake eti au wako wengi 😛😄😄😄. Haya chungulia na mengine best.
 
Huo uwanja ushafungwa na serikali na kibali ni siku ya mechi tu sio mazoezi, mbona kwenye mechi yao azam walienda wakazuiliwa leo wanajitoa akili.
Wamepata pa kujifichia ukweli ji kwamba wametathimini timu yao na majeruhi walio nao wakaona kabisa kwa Yanga hii watakula tena mkono!
 
Eeh tena 🤣🤣🤣🤣🤣 halafu alikuja akasoma na akakulike alicheka 😅. Akasema mbona sikumtag ID yake eti au wako wengi 😛😄😄😄. Haya chungulia na mengine best.
Aah kapita, mwambie bado mwanangu sana nimetoa siri moja tu, natoa siri za maendeleo tu za vurugu sitoi 😂😂
Ila aliniambia huyu shemeji yako nimpe sijui 3 kati 9 maana anakupenda sana, kaniomba ushauri kama fundi, nikamwambia we mpe hizo 3, jiandae ila usibadilike.
 
Sasa hivi inatakiwa kuwa dakika 10 toka mpira umeanza na nasikia kuna wajinga wamejiapiza mechi lazima ichezwe. Vipi Arajiga anachezeshaje huko?

Makavuli
joseph1989
Nyie si mmegoma endeleni sisi tunachojua tuliingia uwanja,nyie hamkuja tunadai point tatu. Nyie endeleeni na drama zenu na bodi ya ligi.
 
Nyie si mmegoma endeleni sisi tunachojua tuliingia uwanja,nyie hamkuja tunadai point tatu. Nyie endeleeni na drama zenu na bodi ya ligi.
Tuonyeshe clip ya Arajiga akianzisha mchezo.
 
 
Timu yenyewe haina hata uwanja, inataka kitu cha watu kiwe kama chake, si ajenge kama ni rahisi awe anapigia mazoezi, yake adhubutu, kufanya ujinga wake ataona??
Yanga ina uwanja?
 
Nyie si mmegoma endeleni sisi tunachojua tuliingia uwanja,nyie hamkuja tunadai point tatu. Nyie endeleeni na drama zenu na bodi ya ligi.
Point 3 lazima utoe ijayo mechi ikipangwa siyo ya mezani,na mkigoma mnakatwa nye hizo 3
 
Point 3 lazima utoe ijayo mechi ikipangwa siyo ya mezani,na mkigoma mnakatwa nye hizo 3
Tushamaliza hiyo mechi mtacheza na bodi ya ligi labda, tunajua tulifika uwanjani hamkufika. Halafu mbona tunalazimishana nyie si mmegoma endeleni kugoma,ila Yanga tushamaliza mechi ya leo tunafikiria mechi nyingine.
 
Tushamaliza hiyo mechi mtacheza na bodi ya ligi labda, tunajua tulifika uwanjani hamkufika. Halafu mbona tunalazimishana nyie si mmegoma endeleni kugoma,ila Yanga tushamaliza mechi ya leo tunafikiria mechi nyingine.
Mmeenda uwanjani,vipi msimamo wa ligi mmeongeza points au ni zilezile
 
Tushamaliza hiyo mechi mtacheza na bodi ya ligi labda, tunajua tulifika uwanjani hamkufika. Halafu mbona tunalazimishana nyie si mmegoma endeleni kugoma,ila Yanga tushamaliza mechi ya leo tunafikiria mechi nyingine.
Msije tu mkawazuia Coastal J4 kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi
 
Back
Top Bottom