President Samia on a panic mode

President Samia on a panic mode

Sema hakubariki Kwa watanganyika wote isipokuwa machawa!

Kumbuka chawa sio mtu ni mdudu kama wadudu wengine kama funza nk
Hilo la kutokukubalika ndiyo itakuwa kigezo kikuu kutokushinda uchaguzi ukiwa huru na haki.
Watanzania walikuwa wanamkubali mwanzoni.Lakini sasa hakubaliki na watanzania walio weng
 
Kwa kukujuza tu, Uislam haujawahi kubaguwa kati yamwanamme na mwanamke kwa lolote lile zaidi ya baiolijia yaoya kiasili tu.

Uislam ndiyo uliokuja kufunguwa macho watu duniani ndipo mwanamke akaanza kupewa heshima kwa utu wake siyo kwa jinsi yake.

Wanawake katika Uislam wana historia kubwa sana kuliko ujuwavyo. Ukiona kuna mafundisho ya kumdunisha mwanamke elewa kuwa hayo siyo ya Kiislam.

Umewahi kumsikia Fatma Al Fikhri?
Nauliza tu hivi kuna Imam mwanamke?
 
Sio kweli wakati wa Mtume Muhammad(SAW),walikuwako wanawake viongozi kam Bi Khadija,Bi Aisha,Fatma Zahrah.Wanaume wengi walikwenda kujifunza uidlamu kupitia wanawake hawa.Na vile vile Mtume Muhammad alifanyakazi,chini ya Bi Khadija,kabla ya kuwa mkeww na baada ya kuwa mkewe.Vile vile katika uislsmu mamake Yesu,,Maryam(Mariya),nimwanamke bora kuliko wanawake wote.
Nipe kiongozi mmoja mwanamke kwenye Nchi za kiarabu (shart awe,Rais,makamu au waziri) nikuonyeshe shuka la chuma
 
Kwa kukujuza tu, Uislam haujawahi kubaguwa kati yamwanamme na mwanamke kwa lolote lile zaidi ya baiolijia yaoya kiasili tu.

Uislam ndiyo uliokuja kufunguwa macho watu duniani ndipo mwanamke akaanza kupewa heshima kwa utu wake siyo kwa jinsi yake.

Wanawake katika Uislam wana historia kubwa sana kuliko ujuwavyo. Ukiona kuna mafundisho ya kumdunisha mwanamke elewa kuwa hayo siyo ya Kiislam.

Umewahi kumsikia Fatma Al Fikhri?
Kama vile wanavyofanya Taliban kule Afghanistan siyo sahihi kwa mujibu wa Uislam?
 
Nafikiri nilishawahi kutoa maoni yangu juu ya utawala wa Magufuli hapa hapa JF.
Kwahiyo kama ulitoa tukusaidieje?
 
Embu kwa katiba hiyo twambie ni wap Msajili anauziwa kufanya hivyo mkuu
Kairudie kusoma tena, usisome Sheria yaa vyama. Soma katiba. Msajili kaanzishwa kwenye katiba kaenda kumalizikia kwenye Sheria. Ikifika kuputisha wagombea wala hahusiki kabisa. Yeye sio time huru. Japo uhuru wake una mashaka lakini sio tume.
 
Mwenye akili timamu hawezi kuuliza swali la aina hiyo.

Pale uwanja wa ndege kuna Swissport yupo tangu 1995 tangu enzi za Mkapa, kwa hiyo kauziwa uwanja wa ndege?.
Mkataba wa Swissport upo je wa Bandari umeshauona mbona hawautoi nasikia ni wa milele
 
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini wananchi Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

Quinine, an independent thinker.
Hivi hamuelewi kuwa Tanzania ni Republic na siyo democratic? Au mnajiliwaza tu?
 
Hivi unavyosema wakina kikwete na hao matapeli wa nchi wa kina makamba sijui nape wangemsadia vp???

Kwa taarifa yako Tanzania katiba yetu rais ndio kila kitu kama upo nje ya mfumo huna madhara yoyote.
Wazoefu wa goli la mkono
 
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini wananchi Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

Quinine, an independent thinker.
Panic mode is now activated... Thank you.
 
Dini ya kiislam inakataza kabisa mwanamke kuwa kiongozi. Samia ameshindwa kuheshimu dini yake. Tutampaje urais mwanamke asiyemuheshimu Mungu?
 
Mjadala Wa hovyo sana huu. Hivi Samia ashindwe kwa tume ipi ya uchaguzi? Kura za nani zitakazohesabiwa za kumuondoa Samia madarakani. Polisi gani atakayesimamia vituo vya uchaguzi kuwazuia CCM kufanya wanavyotaka?. Samia labda akataliwe na CCM wenzie lakini siyo kwenye sanduku la kura. Tena, kwa taarifa yenu, kutokana na hizo kasoro mlizosema anazo, cjui, mwanamke, mzanzibar, ameuza Loliondo na Bandari, mnampa hasira tu za kushinda kwa kishindo kikuu km Kagame. Mana ni kuamua tu ngapi zitangazwe. Atangatazwa ameshinda kwa 99.9% ili kuwafunga midomo watu waliofikiria hatachaguliwa na CCM itatamba vibaya kwa ujambazi huo ktk uchaguzi. Mnaishi humu humu na hamuoni hali iliyopo, tena ni ya muda mrefu tu?
Kwa hiyo wewe unazipongeza rafu za uchaguzi badala ya kujadili kukomesha na kupata njia sahihi ya kuchagua na kupata viongozi halali wanaotokana na sanduku la kura?

Statements za namna hii inaonesha ni jinsi gani jamii yetu ilivyocurrupt, kila mtu chawa, ama kupongeza ama kuunga mkono viongozi wahalifu waliopatikana kwa njia ya rushwa.

Sa'sijui ni kwa faida ya nani!
 
Inapoteza nguvu zako hata kuwaza namna hii, anafanya kampeni ya kivitendo yenye kugusa wananchi moja kwa moja wa huko mikoani.

Sisi tunaoshinda nyuma ya keyboard humu mijini tutaendelea kulia pengine mpaka siku yetu ya mwisho juu ya uso wa dunia.
Pamoja na yote hayo kutimiza wajibu, Bado hana KIBALI.
Llijue hilo
 
Kwahiyo kama ulitoa tukusaidieje?
Na hii tena nilimshauri akapuuza kilichofuata kinajulikana

 
Back
Top Bottom