Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Umesahau wazee wa Yanga, timu yao ilipokuwa na hali mbaya, nao walitangaza kuandamana mpaka kwa Rais, na kutishia kuitoa kwenye ligi ya Tanzania?Simba wamezidi uswahili swahili sana
Hiyo hujataka tu kuipata au huna uwezo wa kuipata kwani kwa mawazo yako huna tofauti na hao Wazee wa Simba.Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.
Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.
Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko๐๐
wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!
Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.
Pole Tanzania..
Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!
Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!
#NikipataPassportNaondokaBongo
#Good night ๐ต๐น
Acha hadaa kijana ,mbona ulimwacha mzee Mbowe akaandamana na familia yake peke yake ?ulikuwa wapi ?leo unatumia jina fake kuhadaa wajinga?Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.
Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.
Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko๐๐
wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!
Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.
Pole Tanzania..
Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!
Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!
#NikipataPassportNaondokaBongo
#Good night ๐ต๐น
Mwafrika anaishi chini ya laana.Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.
Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.
Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko๐๐
wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!
Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.
Pole Tanzania..
Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!
Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!
#NikipataPassportNaondokaBongo
#Good night ๐ต๐น
Inasikitisha sana.Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi
Usijitoe akili wewe. Mwanadamu yeyote, pamoja na dunia nzima viko chini ya laana. Hao Waebrania ndio kabisa walifanya ziada ya kujilaani wenyewe: ^Damu Yake iwe juu yetu na watoto wetu milele!^Mwafrika anaishi chini ya laana.
am not an African, but a Hebrew. Galatians 3:29
Sasa nimeamini nilichokiona kabla ya game ni kwanini hakuna chombo hatakimoja kimeiandika nimeamini sasa.Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.
Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.
Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko๐๐
wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!
Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.
Pole Tanzania..
Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!
Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!
#NikipataPassportNaondokaBongo
#Good night ๐ต๐น
Elimu! Elimu! Elimu!Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.
Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.
Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko๐๐
wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!
Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.
Pole Tanzania..
Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!
Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!
#NikipataPassportNaondokaBongo
#Good night ๐ต๐น
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
FactTatizo watanzania wengi ni mbumbumbu
MazuzuHao wazee wamedhihilisha timu ya simba imejaa watu mbumbumbu tu. Na ndiyo maana hata Mangungu aliweza kushinda kirahisi, baada tu ya kumleta Caesar Manzoki siku ya uchaguzi wa klabu.
Nenda YouTube๐Nani mwenye CV za hao Wazee?
Nina wasiwasi na Hawa watu.