Press ya Wazee wa Simba Imeniumiza sana kama Taifa tuna safari ndefu

Press ya Wazee wa Simba Imeniumiza sana kama Taifa tuna safari ndefu

Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
Hiyo hujataka tu kuipata au huna uwezo wa kuipata kwani kwa mawazo yako huna tofauti na hao Wazee wa Simba.
 
Kugongwa na mtani mechi nne ni kugongwa tu sio sawa. Timu bado mbovu.....warekebishe timu kwa kusajili wachezaji wenye viwango vya juu na hadhi ya timu ili ushindani uwe kwa kiwango cha juu zaidi vinginevyo derby inayofuata watagongwa tena
 
Wakili Msomi Boniface Mwabukusi amepiga kelele juu ya hili, watu wanajali mpira kuliko hatma ya nchi.
Radio zote za Bongolalania na tv zake zikiongozwa na TBC mchana kutwa ni mpira tuu zaidi ya hayo ni mama kamwaga Hela mahali.
 
Hao wazee wamedhihilisha timu ya simba imejaa watu mbumbumbu tu. Na ndiyo maana hata Mangungu aliweza kushinda kirahisi, baada tu ya kumleta Caesar Manzoki siku ya uchaguzi wa klabu.
 
Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
Acha hadaa kijana ,mbona ulimwacha mzee Mbowe akaandamana na familia yake peke yake ?ulikuwa wapi ?leo unatumia jina fake kuhadaa wajinga?
 
Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
Mwafrika anaishi chini ya laana.

am not an African, but a Hebrew. Galatians 3:29
 
Mwafrika anaishi chini ya laana.

am not an African, but a Hebrew. Galatians 3:29
Usijitoe akili wewe. Mwanadamu yeyote, pamoja na dunia nzima viko chini ya laana. Hao Waebrania ndio kabisa walifanya ziada ya kujilaani wenyewe: ^Damu Yake iwe juu yetu na watoto wetu milele!^

Kristu alikufa ili kutuondolea hiyo laana (Galatia 3:13). Unapomwamini na kumfuata, unakuwa huru kweli kweli.
 
Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
Sasa nimeamini nilichokiona kabla ya game ni kwanini hakuna chombo hatakimoja kimeiandika nimeamini sasa.
 
Ccm wameshinda tena na tena ona sasa mmenza kuwajadili wazee 😂😂😂 . Watanzani sisi mazuzu wallah. Zidhani kama dinian kuna Taifa la kijinga kama hili.
 
Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
Elimu! Elimu! Elimu!
Hao wazee sura tu hawajitambui!
 
Back
Top Bottom