Hiyo michezo ina faida gan ? Ina maana intelligence ya Urusi ni dhaifu kiasi cha kuigiza civil wars ? Ebu tumien akil basKwa wale wanaojua mchezo wa drafti watakuwa wameshajua nini kinaendelea!
Kulalamika Kwa uongo, kutoa kafara Baadhi ya kete huku mlaji akilazimishwa Kula na kuchekelea!
Mwisho unaliwa mbele na nyuma na kingi inakaa katikati!
Raia washaambiwa wakae ndan , unatokaj kwenda kusimama nao , hakuna muasi atakuruhusu uje krb yake kama hajammaliza adui kwenye eneo husika ( nchi ya russia nzima ) , maana hujui kama ni raia au ni mwanajeshi kaja kiraia ajilipue na nyinyi , Tumia akili vzr mkuu kuelewa yaiyotokea janaNjia nzima waliachwa wapite bila kubughuziwa na mamlaka za kijeshi za Russia, nilitegemea kuona raia wengi wa Russia wakisimama pamoja na waasi ila haikuwa hivyo.
Hiyo inakupa picha gani?
Hata akikutajia jina utamjuwa ? Ww ili umcrush huyu jamaa na ww lete uhalisia wako uliopo huko Moscow , maana huyo dogo hutomjua hata akikutajiaDogo gani? Unajifanyaga kila jambo unalijua vyema, acha ujuaji
Kwa kuomba poo ?Putin mwamba
Unapoongea tunza akiba ya kesho , Putin ni shetan muuaji ila ni mtu smart mno kwenye kuongea , anajua kuna muda wa kucheza hutoeza cheka vzr , Ndio maana Putin kawachota wajinga wengi kwny hii vita yake chafuNa kwann Putin hakumtaja Prigozhin kwenye hotuba yake yote?? Badala yake akawa anasema tu "Muhaini hasamehewi?".
Ni kweli Prigozhin alitaka kabisa kumsaliti rafiki yake wa muda mrefu???.
Ni nani Muhaini? Kwann Putin hakumtaja Moja Kwa Moja ?.
Chen chen walirusha kama korosho?Vita ni stratagies na akili, tatizo hollywood movies zimewaharibu mnadhani makombora yanarushwa kama karanga.
Mbona hajaandika nyambiz ? Ndo mnajitungiaga kila kitu hv hvWe mjinga, unataka watumie nyambizi kupambana na waasi? Mambo mengine unayaacha make yanakuzidi uwezo
Hahahaaa mahaba ya kijinga hayoHapa ndio kina cemical Ally wanapotakiwa. Kama kweli walipanga uasi, hawastahili msamaha kabisa. Wasubiriwe wafike kambine kisha wamwagiwe bomu la sumu tumalize hii biashara na wagner ife mazima.
Putin unaniangusha.
Fuatilia acha ubish wa kitotoSource: trust me Bro
Haaminiki yatakuwa ya Bin LadenAll in all,mwisho wa Prigozhin umefika,amevuka mipaka, suluhu pekee kwake ni kukimbia USA apewe hifadhi ya kisiasa na ukibaraka!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naitwa Maziku Masanja nipomkoa washinyaga.
mnaomba kuulisa iyo video hao magari ya jesi yamebeba magogo wayapeleka kuchomea mkaa au kuchanambao?
wabheja sana.
Alikuwa anapima upepoHii ilikua asubuhi na kwenye rada zilionekana ndege za ofisi ya raisi moja ikielekea St Petersburg na nyingine kuelekea nchi jirani,baadae Putin alihutubia Taifa aliwa ndani ya Moscow so habari ya kua kaondoka ikaonekana sio kweli.
Kaomba poo lkn ? Halaf mm sikutawala , Prigo ndo alitawalaWewe Jamaa leo uiitawala sana JF. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sas naona kinyonge unatafuta usingizi
LEO NIMEFAHAMU PRO USHAGA WAPO WENGI SANA. YAANI NDANI YA LISAA LIMOJA UNAKUTA UZI UNA WACHANGIAJI 800.kweli Putin babalao kwa kukata ngebe tu, namsifu
Fuatilia acha ubish , mbona iitumwa had link kbs ya group pa telegramHii ya Belarus kuwa msuruhishi mmeitoa wapi? Yaani Prigozin ahitaji msuruhishi wa nje kukubaliana kitu na Putin?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ali Kamwe wa Vladmir Putin kutokea Pugu kajiungeni
Hio ya VON mbona sujaisikia BBC? au wanaogopa kuingelea swala la internet kuzimwa?Pana dogo mmoja anaishi Hungary leo kwenye kundi letu la wasafiri alidai toka jana watu kutoka Moscow ilikua shida alizungumzia jana kabla hata hao Wagner hawajatangaza na akasema VPN ndio inayotumika huko siwezi kumtangaza humu ndio maana nimeandika dogo....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha kudhalilisha punyeto,narudia Tena acha kudhalilisha punyeto
Janjaweed alianzisha Bashar ila .......Kwanza MTU mjinga pekee ndio anaweza kuamini ule ulikuwa uasi,kundi hilo la wegner amelianzisha Putin mwenyewe kampa huyo jamaa amabye alikuwa mpishi wake.
Mlikuwa kwenye bunkers na Andunje ile jana [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe si lolote buree kichwan humoo [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie nimeshangaa!,kumbe wapo weengi kama mchanga[emoji13]
Wazungu hujali maslai kuliko historia , ndio maana UK , France , Italy na Germany wote wapo NATO , wale warusi hawana akili za kizungu kbs rangi tuWagner wapo salama wakiwa chini ya uongozi wa urusi vinginevyo wamekwisha. Tayari marekani amekiita kikundi Cha ugaidi pia tayari Wagner wameshaingilia maslahi ya ufaransa lakini serikali za Us na ufaransa zinasita kuwachukulia hatua au kuwashambulia kwa sababu ya kumwogopa mrusi kitendo Cha uasi kingefanywa apigwe pande zote na huo ungekuwa mwisho wao