Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

Weee kama kweli ameukata.
Kweli usililie uzuri lilia bahati.
Maua namuonaga ana sura personal sana
Ila aunt jaman khaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila madam anatupiga za kichwa......
Eti alikuwa anampenda sana na hatowahi kuja mpenda mwanaune kama alivyompenda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hayo maneno yamekaa kimchongo zaidi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulofa kazi kweli....mtu amelimbikiza utajiri halafu lionekane kosa kuhonga?!!! [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jaman khaaaah.
 
Mwenyezi Mungu anapokuinua kifedha basi ujue ndani yake pia kuna "haki" za wengine....

Matajiri wanawasaidia sana dada zetu kuishi vyema mijini.....
Kabisaaa yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787]
Yaan leo nilikua sehemu ya watu nlishindwa kujizuia, nlicheka hapo had watu wakawa wananishangaa tyuuu.
Jaman u kidampa kazi mweeeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Hata sijaona tatizo lake! Sijajuwa dhumuni la thread?!
 

Jaribu FOREX TRADING unaweza toka!!!!
 
Amini nakuambia.
Wanaume wenye pesa na majina huwa wanategwa na kuwindwa sana ila hawajui kuwa wanawindwa.

Mwanaume anaingia king mwenyewe, anaanza mchakato kumbe mtu ametegwa akategeka.
Alafu cha kushangaza huyo huyo aliyemtega eti anaaza kukasirika mwanamke mwengine akimtega huyo big boy wake
 
Ila Dokii alikuwa ana mapepo kama ya mfalme Zumaridi wa Mwanza
 
Alipofika kipengele hicho tu ndio nikajua ni chai yenye tangawizi kali na pili pili manga,

Twawajua mbinu zao wala hawatusumbui, alifanya research akajua Mzee hua anaenda Gym gani na saa ngapi na yeye akaanza ratiba sawa ili wawe wanaonana, ukikutana na familiar face kila siku obviously kuna siku mtasemeshana tu, akajifanya kama mtu anayetaka kazi lakini target yake ni kumuweka karibu Mzee hadi jambo lake lilipotiki.
 
Hii mbinu tunaita ulimbo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…