mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Kivipi mkuu?Wana Jf wote akili moja yani utafikiri watoto wa Invisible mi hii kitu waga nashangaa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuu?Wana Jf wote akili moja yani utafikiri watoto wa Invisible mi hii kitu waga nashangaa sana
Si alikuwa pendapenda hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Mengi had maua sama katoboa kupitia yeye.
Uwiiiiih.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] bahili au sioKama bilionea mmoja wa kikenya marehemu sahivi, anaitwa Chris kirubi, alikuwa bahili hatari, alikuwa hahongi wadada kihivyo, mdada akihongwa sana ni laki 2 DeepPond
Huna hadhi ya kudate bilionea, labda mwenye pesa za majiniSs mtu mzima aka bilionea akikumiliki hataki uwe na mtu! Mi tuwe na mahusiano,unipe maisha nifanye yangu lkn ujue ipo siku nitataka kuwa na familia
[emoji3][emoji125]
Badilika bhana haipendezi man kuwa na mambo ya kiswahili swahiliEndelea kuwa na mashaka maana wewe ni mtu wa mashaka mashaka.
Nayajua kwasababu aliyaongea kwenye kipindi cha salaam na ... Kilichoruka mwaka jana
Mimi Mswahili sasa unataka niwe mzungu?Badilika bhana haipendezi man kuwa na mambo ya kiswahili swahili
Familia ya Marehemu Mzee MENGI wamejaliwa karama ya kusaidia jamii. Nikikumbuka sherehe ya Walemavu hakika ninishara ya upendo usiofutika. Rest in Eternal Life Mr. Reginald Mengi.
Mwenyezi Mungu anapokuinua kifedha basi ujue ndani yake pia kuna "haki" za wengine....
👍🤣🤣Kwa hii sentensi nakubali. Ile ya pili yake, iliharibu jambo zuri hili.
Tafuta pesa acha tabia za kimaskini kujadili waliofanikiwa, unakuta mtu kapanga chumba kama stoo kafanikiwa kununua bando, badala ya bando lile kulitumia kutafuta fursa mtandaoni anamjadili Mengi, Manji, MO na wengine wa level hiyo
Hahaha [emoji23][emoji23]Halafuuu kuna limtu elf 10 tu linakua lichoyo
Nyie ndio udhaifu wenu...mnataka already made hamuangalii potential. Wee tulia tuu maumivu yaingie vizuri
Ndio unakuwaga mwisho wao hamna jingine....Nilkuwa nao university wa aina hii kibao... Saa hivi ni masingo maza tu.
ndio natafuta kwakeNi yake, wewe tafuta yako.
Ndiyo Ukweli WenyeweKila mtu ana honga kutokana na level yake
Kwani we hajawahi kuhonga?
Ova
Lakini Akiwapiga Na MjegejeAlikua anawasaidia...
Ngoja waje kutoa muongozo...Lakini Akiwapiga Na Mjegeje
Tutafute Pesa
Hiyo paragraph ya mwisho sio kweli, kipindi Mengi anakamua Kiba nae alikuwa ana msaidia, Madam alikuwa pale sababu ya hela ya mzee ila hajawahi kumpenda Mengi.Madam ritha anakwambia ametembea hii dunia amekula raha kisa mzee mengi. Hakuna la kumshangaza mengi alimpeleka kote.
Anasema mengi alimpenda madam kisa tu walikuwa wanakutana gym hapo madam katoka zimbabwe masomoni anashangaa watu wanamshobokea mengi wakati yeye hajui hata mengi ni nani.
Mzee akajisogeza kwa madam, na madam anakwambia alikuwa na bwanake huyo foreigner ana ela kinoma anasukuma.ndinga za maana na bwanake hataki afanye kazi.
Mzee eti akamuuliza unanijua mimi nani, madam akamwambia skujui hata 🤣🤣
To cut the story short, madam anadai hatowahi kuja mpenda mwanaume kama alivyompenda mzee. Na anadai anajua hata mzee alikuwa nampenda mpaka nyakati za mwisho.
The way alivyokuwa anamzungumzia hadi akawa emotional na kutoa machozi design niliona labda kuna ukweli. Hadi alikumbushia mara ya mwisho kuonana naye na it seems alikuwa na salama mwenyewe maana salama ndiye alimkumbusha hilo tukio kuwa sijui walionana wakati wanamuaga ruge na madam alipoona mzee alivyodhoofu akalia siku nzima akawa anadai eti aliona death imemzunguka mzee.Hiyo paragraph ya mwisho sio kweli, kipindi Mengi anakamua Kiba nae alikuwa ana msaidia, Madam alikuwa pale sababu ya hela ya mzee ila hajawahi kumpenda Mengi.