Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Endeleeni kujidanganya huko makanisani kwenu. Mtake msitake Mama tunaye hadi 2030 inshaallah.Aanguke mara ngapi????
Mpaka hatua hii lilipofikia suala hili, tayari limeshamwangusha, na hawezi tena kuinuka kwani tayari ameshachelewa. Hakupenda kusikiliza ushauri kutoka kwa wenzake mapema.
Mithali 29: 1
"Aonywaye mara nyingi, naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena"
Hawezi kutuunga mkono na wakati anajua watanzania tunamdai.Kwasababu hajaunga mkono sio
Ndo hapo uone ujinga wa baadhi ya watanzania. Mtu kama Tibaijuka ambae amelitia hasara taifa kwa kuhongwa mamilioni ya shilingi.Tibaijuka ni mtu wa ovyo sana. Huyu si ndiye aliyehongwa pesa za ESCROW halafu akajidai eti ni hela ya mboga tu? Mbona alipokuwa kwenye kundi la mafisadi hatukumsikia akiongea? Uzalendo na nchi hii huyu kautoa wapi?
Mtu akisema ukweli basi atakuwa amehongwa au ni mpinzani!!???Hawezi kutuunga mkono na wakati anajua watanzania tunamdai.
Ndo hapo uone ujinga wa baadhi ya watanzania. Mtu kama Tibaijuka ambae amelitia hasara taifa kwa kuhongwa mamilioni ya shilingi.
Leo hii anahongwa tena ili aichafue serikali na raisi kwa masilahi yake ya kisiasa afu wajinga wanamuona mwokozi wao.
Nimsifie mtu anaekufuru kuwa M10 ni za kununua mboga, huku millions ya watanzania vijijini wanashindia uji usiokuwa na sukari?Wewe ulitoa maoni gani kama sio kumsifia wakati huo yupo serikalini.
Poor thinkingTibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Kosa la tibaijuka likowapi zile hela aliingiziwa kwenye account yakeNimsifie mtu anaekufuru kuwa M10 ni za kununua mboga, huku millions ya watanzania vijijini wanashindia uji usiokuwa na sukari?
Afu eti leo na yeye anajifanya anawapigania aliowadhihaki enzi zake!
Vipi zile M10 za kununua mboga mboga aliwagawieni kidogo wanyonge?Prof tusemeee tu wanyonge
Tunasubiri aunge mkono na hili, asifikiri tumesahau.Kwasababu hajaunga mkono sio
Wewe tunakujua ni chawa wa serikali yeyote mbovu, leo Tibaijuka akigeuka kuusifia mkataba utaanza kumpambaNimsifie mtu anaekufuru kuwa M10 ni za kununua mboga, huku millions ya watanzania vijijini wanashindia uji usiokuwa na sukari?
Afu eti leo na yeye anajifanya anawapigania aliowadhihaki enzi zake!
Tatizo ilimu....Mtu akitoa maoni yake anaota urais.
Kila zama na kitabu chake na ubozi wakeWakati alipokuwa analiibia taifa yeye na wenzake chini ya serikali ya Kikwete, mbona hakuja kujitolea maoni?
Nyie ni wajinga san na mmekubali ujinga wenu!! Yaan mtu akipinga mamb ya hovyo mnakimbilia kusema anatumiwa na watu flani!!! Jibuni hoja shubaamit!! Yaleyaleeee awamu ile ukisema ukwel na kukosoa unaambiwa unatumiwa na mabeberu!!Tibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.
Kwa vile mkataba una faida kubwa kuliko hasara, basi akiuunga mkono na mimi nitamsifia kwa hilo. Kumbuka hata Mungu ukimsifu atakupenda.Wewe tunakujua ni chawa wa serikali yeyote mbovu, leo Tibaijuka akigeuka kuusifia mkataba utaanza kumpamba
Maa wa Mboga ameshastaafu Sasa han mpango huo.Usimsingizie mam mbogaTibaijuka ni miongoni mwa watu wanaoota kwamba mwaka 2025, kuna watanzania wajinga watamchagua yeye awe raisi wa nchi yetu, ndio maana haoni hasara kutumiwa na adui (Kenya), pamoja na wakwepa kodi bandarini kupambana dhidi ya serikali yetu na maendeleo yetu.