Uwezo wanao ila tumboni kuna tatizoInawezekana sehemu kubwa ya nchi yetu watu wake wana uwezo mdogo sana kiakili na kufikiri kwa logic.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wanao ila tumboni kuna tatizoInawezekana sehemu kubwa ya nchi yetu watu wake wana uwezo mdogo sana kiakili na kufikiri kwa logic.
Watu wa Misri, Libya, Tunisia, Morocco wakija tanzania wakaona tuna uhaba wa maji au umeme watashangaa sana tuna akili gani.Profesa namkubali.
Hapa nilikuwa najiuliza kwanini nisijenge bwawa langu au kisima kikubwa chini ya milima huku kwetu. Navuna maji ya mvua kwa miezi 3 hadi 4. Nasafirisha maji kwa mabomba ya mipira hadi shambani.
Tanzania kuna mengi hatuja fanya.
Ndio hali halisi Mkuu.Inawezekana sehemu kubwa ya nchi yetu watu wake wana uwezo mdogo sana kiakili na kufikiri kwa logic.
Huyu Baba Prof Assad ni Hazina kubwa sanaThat's absolute truth,
Jamaa Yuko vzr sana
Watu wote makini wanapitia jukwa hili.Kumbe anasoma mada zetu humu jukwaani!.
Hili wazo nililitoa wkt fulani hasa kipindi kile cha uhaba wa maji, leo amegusa pale pale.
Wanatafuta perdiem maana malengo kisiasa hawana time nayo. Kushinda wanashinda tu hata bila uchaguzi.Hata yule Mkuu wa Mkoa huwa anazunguka kusikiliza 'matatizo' ya Wanainchi kana kwamba hawayajui.
Hakika ni kutafuta tu score za kisiasa na posho, na akifanya hivyo lazima waalike Media.
Nimeandaa shamba Toka mwezi wa kumi mpk Sasa limejigeuza pori linaloota Bila mvua...Nilikodi mashamba ya kulima iringa nikitegemea mvua...cha ajabu haijanyesha, hii ya mabwawa inamaana sana
Miaka 60 ya Uhuru bado wakulima wanategemea mvua na jembe la mkono. Matatizo ya sekta ya kilimo ndio mtaji wa kujipatia kura kipindi cha uchaguzi.Tulishasema,serikali ingejikita kwenye kuwezesha sekta ya kilimo,hata umachinga
Ungepungua mijini
Ova
Hii ni kweli mkuu hivi hivi kulikuwa na tija gani Makamba kupanda helikopta halafu amerudi kimya kimya licha ya mbwembwe zote..Pana harufu ya kuumiza Kodi zetu....kwa kiwango kikubwa...Wanatafuta perdiem maana malengo kisiasa hawana time nayo. Kushinda wanashinda tu hata bila uchaguzi.
Umejiaminisha kabisa msomi kama huyu hakuwa analijua hili ila alisoma mada yako JF? Hivi unajua huyu anajishughulisha na kilimo na haya anayozungumzia ni mambo anayo-experience kwenye site? Pia jua hili la kilimo cha umwagiliaji limeshasemwa siku nyingi sana ila ni wanasiasa tu ndiyo hawajui? Tafadhali usijipe credit za uongo.Kumbe anasoma mada zetu humu jukwaani!.
Hili wazo nililitoa wkt fulani hasa kipindi kile cha uhaba wa maji, leo amegusa pale pale.
Hili hamjui Makamba? Hizo ndiyo zake. Ni mtu wa maigizo.Hii ni kweli mkuu hivi hivi kulikuwa na tija gani Makamba kupanda helikopta halafu amerudi kimya kimya licha ya mbwembwe zote..Pana harufu ya kuumiza Kodi zetu....kwa kiwango kikubwa...
Wanatumia media bias kuongeza point za kisiasa, mfumo wetu wakisiasa haukopoa of course. Haya maigizo yalikuwa mengi sana kipindi flani media hasa clouds walipiga mpunga wa maana sio mchezoHata yule Mkuu wa Mkoa huwa anazunguka kusikiliza 'matatizo' ya Wanainchi kana kwamba hawayajui.
Hakika ni kutafuta tu score za kisiasa na posho, na akifanya hivyo lazima waalike Media.
Hizi sasa ndizo kazi za hao wakurugenzi, sijui wakuu wa wilaya nk. Ila kiuhalisia hawafanyi na wamekaa kisanii zaidi. Unakuta eti mkuu wa wilaya ya Temeke anaongoza sijui jogging, au anakodi wenye ma-blog wampigie debe kwenye mitandao, usanii kwa kwenda mbele.Uwezo wanao ila tumboni kuna tatizo
😂😂😂😂 Huyu jamaa ni political orator alianza kujiona ni President materialHuyu kwangu ndio professor sasa sio yule macho kodo!View attachment 2065770
Nchi hii takribani asilimia 70 ya watu wake wanafanya kazi kwenye kilimo na wanaishi vijijini lakini huoni jitihada za kueleweka za watawala kwenye hiyo sekta. Utapunguzaje umaskini, umachinga uliokithiri na bodaboda kama huwekezi serious kwenye Kilimo!Kwanini mkuu
SahihiInawezekana sehemu kubwa ya nchi yetu watu wake wana uwezo mdogo sana kiakili na kufikiri kwa logic.
Ni vituko vitupu, ni vigumu kupigia hatua kubwa za maendeleo kwa mtindo huu.Hii ni kweli mkuu hivi hivi kulikuwa na tija gani Makamba kupanda helikopta halafu amerudi kimya kimya licha ya mbwembwe zote..Pana harufu ya kuumiza Kodi zetu....kwa kiwango kikubwa...
[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]Kipande hiki[emoji119][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ila kuna mradi ulitengenezwa chini ya ufadhili wa wajapan kapunga rice projectMiaka 60 ya Uhuru bado wakulima wanategemea mvua na jembe la mkono. Matatizo ya sekta ya kilimo ndio mtaji wa kujipatia kura kipindi cha uchaguzi.