JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Bahari ina kiu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Nchi 😅😅😅[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
Hahaaa!!mfano waziri wa maji kila siku yuko ziarani tu, kupiga mikwara kwa miaka zaidi ya sita sasa, lakini matatizo ni yale yale tu, kila anaporudi tena eneo lile anakutana na tatizo lile lile tena!!!Hili suala la mawaziri kuzunguka mikoani mfano stendi za mabasi kukakugua tiketi lidhibitiwe kupunguza matumizi ya serikali hasa kipindi hichi ambapo kuna mjadala mkali kati ya kukopa zaidi au kuongeza tozo.
Tz kila siku inakuja na kichekesho kipya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii Nchi [emoji28][emoji28][emoji28]
Sure kabisa mzee watu wangembilia mashambani hukoTulishasema,serikali ingejikita kwenye kuwezesha sekta ya kilimo,hata umachinga
Ungepungua mijini
Ova
Nilikodi heka 5, nikanunua mbili..jumla zilikuwa saba...yaani mvua hakuna...uzuri mbegu nilikuwa sijanunua, haya mambo yakutegemea mvua sio kabisaPole mkuu,ulikodi hekari ngp?
Anatafuta political scores tuHii ni kweli mkuu hivi hivi kulikuwa na tija gani Makamba kupanda helikopta halafu amerudi kimya kimya licha ya mbwembwe zote..Pana harufu ya kuumiza Kodi zetu....kwa kiwango kikubwa...
Wakulima wako kama kuku wakienyeji wanajihangaikia kutwa hawana uhakika na shughuli yao, hawana hakika na bei. Wakipata hasara ni yao tu.Wakulima wanachukiliwa kama ni Watanzania wa daraja la mwisho. Nobody cares about them zaidi ya kuwaimbia mapambio ya kisiasa tu.
Mkuu mimi nimekuwa nikilima kwa timing. Msimu uliopita nililima msimu huu nikaacha badala yake nikanunua. mwakani nitalima. nadhani unanielewaNilikodi heka 5, nikanunua mbili..jumla zilikuwa saba...yaani mvua hakuna...uzuri mbegu nilikuwa sijanunua, haya mambo yakutegemea mvua sio kabisa
Soma habari ya hawa wazungu hapa....been doing hicho unachofikiri for decades...got bwawa with capacity ya over 30m litres...Profesa namkubali.
Hapa nilikuwa najiuliza kwanini nisijenge bwawa langu au kisima kikubwa chini ya milima huku kwetu. Navuna maji ya mvua kwa miezi 3 hadi 4. Nasafirisha maji kwa mabomba ya mipira hadi shambani.
Tanzania kuna mengi hatuja fanya.
Ni kweli imagine mtu kama Ndugai anahoji mikopo kwamba hajui imefanya nini wakti yeye ni spika amekuwa anapitisha mipango ya serikali kila bajeti.Inawezekana sehemu kubwa ya nchi yetu watu wake wana uwezo mdogo sana kiakili na kufikiri kwa logic.
Kelele kama zake ziliimbwa na Bashe lakini baada kusogezwa ndani hamna kitu.Huyo ni njaa tuu hamna kitu hapo.Prof Assad angefaa kuwa waziri wa kilmo, bas tu kwa kuwa alikuwa CAG hawezi kuteuliwa
Bora hata tungekuwa na huo uwezo mdg wa kufikiria kwa logic, huo uwezo kdg hatuna na hatuji kuwa nao kamweInawezekana sehemu kubwa ya nchi yetu watu wake wana uwezo mdogo sana kiakili na kufikiri kwa logic.
Ilibidi Hawa jamaa waonje kuwa Chama pinzani walau term moja ya 5yrs akili zingewakaa sawasawa ..nafikiri wamelewa usingizi wa kisiasa mno...Ni vituko vitupu, ni vigumu kupigia hatua kubwa za maendeleo kwa mtindo huu.
Kuna watu wanamsifia ni mmojawapo wa mawaziri wanaopiga kazi sana!! Aliyetuloga inawezekana kafa, tumebaki kama wanasesere tu.Hahaaa!!mfano waziri wa maji kila siku yuko ziarani tu, kupiga mikwara kwa miaka zaidi ya sita sasa, lakini matatizo ni yale yale tu, kila anaporudi tena eneo lile anakutana na tatizo lile lile tena!!!