Kumbe tungeanza huu utaratibu wa kuchimba mabwawa kwa ajili ya miradi ya wakulima na kwa ajili ya mifugo tangu enzi za uhuru leo hii tungekuwa tunaongelea bwawa au lambo moja kwa kila kijiji.......na tungetumia tozo na mkopo wa kovid kuongeza bwawa moja moja kwenye kila kijiji, inabidi prof. Assad achukue fomu aisee siyo kwa madini haya.....