zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Bashe yuko vzr shida n nidhamu ya uoga chini ya mwendazakeKelele kama zake ziliimbwa na Bashe lakini baada kusogezwa ndani hamna kitu.Huyo ni njaa tuu hamna kitu hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashe yuko vzr shida n nidhamu ya uoga chini ya mwendazakeKelele kama zake ziliimbwa na Bashe lakini baada kusogezwa ndani hamna kitu.Huyo ni njaa tuu hamna kitu hapo.
Kweli nami nimeona bora kununua tu...kilimo cha mvua ni cha kingeseMkuu mimi nimekuwa nikilima kwa timing. Msimu uliopita nililima msimu huu nikaacha badala yake nikanunua. mwakani nitalima. nadhani unanielewa
Harafu anapozungumzia kilimo ni Mazao gani yenye tijaku justify return ya investment? Kwa kuwa kilimo ni cha kujikimu hivi hivi inafaa tupeleke nguvu kwenye sekta zenye tija kiuchumi.Lakini sisi sio tena nchi ya kilimo tulikuwa ya viwanda, sasa hivi tunasikilizia tuhamie wapi🐒
Huyu mzee anazeeka vibaya sanaView attachment 2065734
Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.
Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.
Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi 🤣🤣🤣🤣
🤝🤝👌👌👌👌💪Hili suala la mawaziri kuzunguka mikoani mfano stendi za mabasi kukakugua tiketi lidhibitiwe kupunguza matumizi ya serikali hasa kipindi hichi ambapo kuna mjadala mkali kati ya kukopa zaidi au kuongeza tozo.
Tutahamia uchumi wa buluu[emoji1787][emoji1787]Lakini sisi sio tena nchi ya kilimo tulikuwa ya viwanda, sasa hivi tunasikilizia tuhamie wapi[emoji205]
Prof. Yupo right serikalini hakuna jibu discrption ambayo mtumishi anasaini na kupewa KPI ambazo atapimwa nazo watu wanapanda madaraja nakupatiwa vyeo kwakuaa muda mrefu kazini au kwa upendeleo kufahamiana na nafasi za kiutendaji wanapewa Makada out of merits mwishowe ni siasa kila eneo lakiutendaji na hakuna matokeo makubwaView attachment 2065734
Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.
Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.
Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi 🤣🤣🤣🤣
Pole ndugu. Unafikiri CCM wapo madarakani kwa ukosefu wa sera za wapinzani?Ikitokea chama cha siasa kikakomaa na hoja ya kilimo na wakulima, kitaing'oa CCM mapema asubuhi.
Kuna uungwaji unapata hadi mtu anashindwa kukuibia.Pole ndugu. Unafikiri CCM wapo madarakani kwa ukosefu wa sera za wapinzani?
Inasikitisha kuhuzunisha kama sio kukatisha tamaa kabisa.Nchi hii takribani asilimia 70 ya watu wake wanafanya kazi kwenye kilimo na wanaishi vijijini lakini huoni jitihada za kueleweka za watawala kwenye hiyo sekta. Utapunguzaje umaskini, umachinga uliokithiri na bodaboda kama huwekezi serious kwenye Kilimo!
Suala la Rais na mawaziri kuzunguka mikoani linashabikiwa na raia wengi tu na wanaona huo ndio uchapakazi.Kuna watu hawataki kabisa kusikia kazi za Rais na mawaziri ni za ofisini zaidi na sio kuzunguka vijijini au mitaani, hawaelewi kwa nini kuna watendaji wa kata, Halmashauri, DED , mkuu wa wilaya na mkoa au majukumu yao ni yapi ndio maana unaweza kukuta waziri anakagua tiketi za mabasi stendi au anatatua mgogoro wa shamba kijijini! Huwezi kuendesha nchi ya watu milioni 60 kwa namna hii na ikasonga mbele.
Hili nakumbuka ni jambo ulikua unalisema mkuu..kuna shida mahali kwenye serikali kutokua responsive ,kama ni ushauri serikali inapata sana , ni inaignore tuu...I guess Maxence Melo tuwaite clubhouse waziri wa maji na wa kilimo tujadili huko clubhouseIkitokea chama cha siasa kikakomaa na hoja ya kilimo na wakulima, kitaing'oa CCM mapema asubuhi.
Nakunywa juice Kwa ajili ya maoni haya ambayo hata Mimi binafsi naamini kama Prof Assad. Wiki iliyopita niliweka andiko langu kuhusu matumizi mabaya ya fedha za Umma yanayofanywa na Mawaziri na manaibu Waziri Kwa misafara mikubwa ya magari Kwenye ziara zisizo na tija.View attachment 2065734
Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.
Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.
Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wenyewe wanakomaa na katiba mpya! Eti Raisi apunguziwe madarakaIkitokea chama cha siasa kikakomaa na hoja ya kilimo na wakulima, kitaing'oa CCM mapema asubuhi.
Tumesema sana lakini inaonekana hakuna anayesikia. Kuna haja ya kuwa na mijadala kama hiyo na hawa watu.Hili utakumbuka ni jambo ulikua unalisema mkuu..kuna shida mahali kwenye serikali kutokua responsive ,kama ni ushauri serikali inapata sana , ni inaignore tuu...I guess Maxence Melo tuwaite clubhouse waziri wa maji na wa kilimo tujadili huko clubhouse
Mwambia pia kuwa mawazo yanafanana so mtu anaweza kutoa wazo ukaona kakuibia kumbe naye aliwaza kama wewe wakati fulaniUmejiaminisha kabisa msomi kama huyu hakuwa analijua hili ila alisoma mada yako JF? Hivi unajua huyu anajishughulisha na kilimo na haya anayozungumzia ni mambo anayo-experience kwenye site? Pia jua hili la kilimo cha umwagiliaji limeshasemwa siku nyingi sana ila ni wanasiasa tu ndiyo hawajui? Tafadhali usijipe credit za uongo.
Ukiweza kuelewa sakata la fedha za mfuko wa korosho mwaka 2018 na jinsi jeshi lilivyoingizwa kwenya biashara ya koshoro utaelewa hoja ya madaraka ya Rais kupunguzwa badala ya kushangaa kama[emoji205].Wenyewe wanakomaa na katiba mpya! Eti Raisi apunguziwe madaraka
Assad ameshaonesha weledi wakati wa Jiwe mpaka wakamfanyia zengwe akamtoa kinguvu so hana njaa na tamaa kama unavyofikiria.Kelele kama zake ziliimbwa na Bashe lakini baada kusogezwa ndani hamna kitu.Huyo ni njaa tuu hamna kitu hapo.