Prof. Assad: Mfumo wa Siasa una shida. Huwezi kuzungumzia Kilimo wakati huna Mabwawa

Prof. Assad: Mfumo wa Siasa una shida. Huwezi kuzungumzia Kilimo wakati huna Mabwawa

Lakini sisi sio tena nchi ya kilimo tulikuwa ya viwanda, sasa hivi tunasikilizia tuhamie wapi🐒
Harafu anapozungumzia kilimo ni Mazao gani yenye tijaku justify return ya investment? Kwa kuwa kilimo ni cha kujikimu hivi hivi inafaa tupeleke nguvu kwenye sekta zenye tija kiuchumi.

Mwisho sio tuu mabwawa bali barabara hakuna,masoko na viwanda vya kuongeza thamani hakuna so hata ajenge mabwawa lazima kuwe na forward and backward linkage chaining
 
Huy
View attachment 2065734

Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.

Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.

Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi 🤣🤣🤣🤣
Huyu mzee anazeeka vibaya sana
 
Hili suala la mawaziri kuzunguka mikoani mfano stendi za mabasi kukakugua tiketi lidhibitiwe kupunguza matumizi ya serikali hasa kipindi hichi ambapo kuna mjadala mkali kati ya kukopa zaidi au kuongeza tozo.
🤝🤝👌👌👌👌💪
 
View attachment 2065734

Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.

Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.

Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi 🤣🤣🤣🤣
Prof. Yupo right serikalini hakuna jibu discrption ambayo mtumishi anasaini na kupewa KPI ambazo atapimwa nazo watu wanapanda madaraja nakupatiwa vyeo kwakuaa muda mrefu kazini au kwa upendeleo kufahamiana na nafasi za kiutendaji wanapewa Makada out of merits mwishowe ni siasa kila eneo lakiutendaji na hakuna matokeo makubwa
 
In
Nchi hii takribani asilimia 70 ya watu wake wanafanya kazi kwenye kilimo na wanaishi vijijini lakini huoni jitihada za kueleweka za watawala kwenye hiyo sekta. Utapunguzaje umaskini, umachinga uliokithiri na bodaboda kama huwekezi serious kwenye Kilimo!

Suala la Rais na mawaziri kuzunguka mikoani linashabikiwa na raia wengi tu na wanaona huo ndio uchapakazi.Kuna watu hawataki kabisa kusikia kazi za Rais na mawaziri ni za ofisini zaidi na sio kuzunguka vijijini au mitaani, hawaelewi kwa nini kuna watendaji wa kata, Halmashauri, DED , mkuu wa wilaya na mkoa au majukumu yao ni yapi ndio maana unaweza kukuta waziri anakagua tiketi za mabasi stendi au anatatua mgogoro wa shamba kijijini! Huwezi kuendesha nchi ya watu milioni 60 kwa namna hii na ikasonga mbele.
Inasikitisha kuhuzunisha kama sio kukatisha tamaa kabisa.
 
Juma aweso! Ukiona waziri anazunguka huko na huko lakin matatizo yamebaki palepale, jua tu anatafuta mboga na si kutatua matatizo ya wananchi. Kuna prof mkenda pale kwenye kilimo nambien amesaidia nn pale
 
Ikitokea chama cha siasa kikakomaa na hoja ya kilimo na wakulima, kitaing'oa CCM mapema asubuhi.
Hili nakumbuka ni jambo ulikua unalisema mkuu..kuna shida mahali kwenye serikali kutokua responsive ,kama ni ushauri serikali inapata sana , ni inaignore tuu...I guess Maxence Melo tuwaite clubhouse waziri wa maji na wa kilimo tujadili huko clubhouse
 
View attachment 2065734

Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.

Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.

Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakunywa juice Kwa ajili ya maoni haya ambayo hata Mimi binafsi naamini kama Prof Assad. Wiki iliyopita niliweka andiko langu kuhusu matumizi mabaya ya fedha za Umma yanayofanywa na Mawaziri na manaibu Waziri Kwa misafara mikubwa ya magari Kwenye ziara zisizo na tija.
 
Daaaah huyu jamaa ni kichwa. . Ni assert za nchi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili utakumbuka ni jambo ulikua unalisema mkuu..kuna shida mahali kwenye serikali kutokua responsive ,kama ni ushauri serikali inapata sana , ni inaignore tuu...I guess Maxence Melo tuwaite clubhouse waziri wa maji na wa kilimo tujadili huko clubhouse
Tumesema sana lakini inaonekana hakuna anayesikia. Kuna haja ya kuwa na mijadala kama hiyo na hawa watu.
 
Umejiaminisha kabisa msomi kama huyu hakuwa analijua hili ila alisoma mada yako JF? Hivi unajua huyu anajishughulisha na kilimo na haya anayozungumzia ni mambo anayo-experience kwenye site? Pia jua hili la kilimo cha umwagiliaji limeshasemwa siku nyingi sana ila ni wanasiasa tu ndiyo hawajui? Tafadhali usijipe credit za uongo.
Mwambia pia kuwa mawazo yanafanana so mtu anaweza kutoa wazo ukaona kakuibia kumbe naye aliwaza kama wewe wakati fulani
 
Back
Top Bottom