Prof. Janabi: Kujifungua Mtoto 'Bonge' si nzuri Kiafya

Hakuna kitu kama hiko. Kwahiyo Mtaalam akikuambia kitu we unatekeleza tu bila hata kufikiria. Haya madhara ya kunywa maji mengi ni nini?
 
Hivi tule nini sasa, majini kama ng’ombe au?
 
Hakuna kitu kama hiko. Kwahiyo Mtaalam akikuambia kitu we unatekeleza tu bila hata kufikiria. Haya madhara ya kunywa maji mengi ni nini?
Siyo hiko ni hicho!?..unajua maana ya 'mtaalam'!?
Hakuna kitu kama hiko. Kwahiyo Mtaalam akikuambia kitu we unatekeleza tu bila hata kufikiria. Haya madhara ya kunywa maji mengi ni nini?
Google madhara ya kunywa maji mengi
 
Wahudhurie kliniki,kuna kila kitu
Ni kweli Mtaalamu lakini kitu kikiongelewa hivi na Prof pana haja ya kuwa wazi zaidi sijui kama umenielewa maana Kliniki zetu unazijua sehemu zingine pana kesi watu wameshindwa kumhudumia Mgonjwa kisa laki na nusu sidhani kama pana Mama mjamzito ataenda hapo kupata Elimu na atapewa vizuri labda hizi Hospital za Private...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…