Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Udaktari wa moyo , na ili usifike kwake anajaribu kutoa advise mapema , kwani ku prevent ni bora zaidi ya kutibuyeye kazi yake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udaktari wa moyo , na ili usifike kwake anajaribu kutoa advise mapema , kwani ku prevent ni bora zaidi ya kutibuyeye kazi yake ni nini?
Kipo, si ndio kile ambacho wataalamu wetu muligundua dawa yenye mchanganyiko wa limau, vitunguu swaumu, na ndimu ambayo mulikopi uswahilini kipindi kile cha COVID 19Sisi hatuna kituo cha ugunduzi wa madawa au kipo ??
Kile ni sarakasi ya MagufuliKipo, si ndio kile ambacho wataalamu wetu muligundua dawa yenye mchanganyiko wa limau, vitunguu swaumu, na ndimu ambayo mulikopi uswahilini kipindi kile cha COVID 19
Pole sanaHivi ndivyo vichekesho ambavyo vinapatikana Bongo.
Prof. wa kwenye media, professor Janabi siku moja nilimsikia anasema kuwa kama unavaa nguo yenye kiuno size 37 wewe ni mgonjwa. Inamaana huyu Prof. Uchwara hajui kuwa kuna watu naturally wana maumbo makubwa?
Kama mwili wako una umbo dogo ukinenepa na kuvaa suruali size 32 yawezekana uko over weight. Kuna mtu mwingine akivaa suruali size 34 kulingana na mwili wake hapo tunasema anaumwa na amekonda.
Huyu Janabi hata BMI ya form 2 ina maana kaisahau?.
Zaidi ya yote ni kwamba kila mtu aishi apendavyo. Hata gymnast na athletes wengi wanakufa chini ya miaka 55, hivyo maisha hayana kanuni.
Uliyeanzisha Uzi, wewe umegundua Nini?
Janabi anaongea kutokana na kile anaona kwa wagonjwa wake, ni haki yake ya msingi kuzungumza na kutoa tahadhari.
[✓]Kama hutaki acha, haina haja ya kudharau professional yake kwasababu zako zisizo na mashiko.
Nakushauri tu, jitahidi uwe na utaalamu uliobobea halafu uongeze tukusikie wewe
AhahahahKile ni sarakasi ya Magufuli
Sasa kama vitu vitamu vyote ni hatari pesa tutafute za nini?Anakwambia hata unywaji wa juice ni hatari kwa afya yako, haijalishi ni juice ya aina gani,,, hakika huyu ni proffesor 😅😅
Ahahahah
Magu aliwaendesha watu aisee
Mpaka majeshi yalipigishwa nyungu
😂😂 tumvumilie trending yake pia itapita kama zilivyopita za wengine.Sasa kama vitu vitamu vyote ni hatari pesa tutafute za nini?
🤣🤣🤣
Ipo siku atasema maku si nzuri kiafya
Yule mwamba ilibaki miezi 8 tu watoto wetu waanze kumsoma mashuleni.Halafu akamtuma Profesa Kabudi na ndege , kutuletea dawa ya covid kutoka Madagascar na wakainywa mbele ya waandishi wa habari
TZ kuna wazimu
Kwani kuna uhusiano gani wa kugundua na ushauri wake? Kwani agundua dawa ya minyoo ambayo tayari ipo, huyu ni dakitari mbingwa tuwe na utamaduni wa kiheshimu taaluma za watu, sisi watanzania ni wajuaji sanaa ata yule aliemaliza form four tu, .......Hivi ndivyo vichekesho ambavyo vinapatikana Bongo.
Prof. wa kwenye media, professor Janabi siku moja nilimsikia anasema kuwa kama unavaa nguo yenye kiuno size 37 wewe ni mgonjwa. Inamaana huyu Prof. Uchwara hajui kuwa kuna watu naturally wana maumbo makubwa?
Kama mwili wako una umbo dogo ukinenepa na kuvaa suruali size 32 yawezekana uko over weight. Kuna mtu mwingine akivaa suruali size 34 kulingana na mwili wake hapo tunasema anaumwa na amekonda.
Huyu Janabi hata BMI ya form 2 ina maana kaisahau?.
Zaidi ya yote ni kwamba kila mtu aishi apendavyo. Hata gymnast na athletes wengi wanakufa chini ya miaka 55, hivyo maisha hayana kanuni.
Sisi hatuna kituo cha ugunduzi wa madawa au kipo ??
Hili swali alitakiwa atupiwe kwenye press yake anazo zifanyaHivi Janabi ni cardiologist ama Nutritionist?
Maana anavyoongelea chakula ni kama vile yeye ni specialized Nutritionist.
Ama ukiwa daktari unaweza kuzungumzia jambo lolote la chakula?
Vyuo vikuu vyetu na hospitali ,vinavyo hizo centre ??Vyuo vikuu na hospitali huwa zina research and innovation centers kwajili ya tafiti na gunduzi mbalimbali.