Prof. Janabi unataka uwapangie watu ratiba za kula?

Prof. Janabi unataka uwapangie watu ratiba za kula?

Hivi ndivyo vichekesho ambavyo vinapatikana Bongo.
Prof. wa kwenye media, professor Janabi siku moja nilimsikia anasema kuwa kama unavaa nguo yenye kiuno size 37 wewe ni mgonjwa. Inamaana huyu Prof. Uchwara hajui kuwa kuna watu naturally wana maumbo makubwa?
Kama mwili wako una umbo dogo ukinenepa na kuvaa suruali size 32 yawezekana uko over weight. Kuna mtu mwingine akivaa suruali size 34 kulingana na mwili wake hapo tunasema anaumwa na amekonda.
Huyu Janabi hata BMI ya form 2 ina maana kaisahau?.
Zaidi ya yote ni kwamba kila mtu aishi apendavyo. Hata gymnast na athletes wengi wanakufa chini ya miaka 55, hivyo maisha hayana kanuni.

Agundue dawa kwani ni mfamasia au chemist . He has to wait the work of pharmacist ndio a prescribe
 
Prof uchwara sawa na Mwenzakw Kabudi tu. Sasa prof hana tofauti na Lokole huyo. Jana anasema tusile vitu vitamu. Eti hata kula chungwa au ndizi ni hatari kwa afya. Jamaa anatengeneza tension bila sababu yoyote na anatafuta trending kama Mwijaku sasa.
Screenshot_20240222_095700_Chrome.jpg
 
Kwani kuna uhusiano gani wa kugundua na ushauri wake? Kwani agundua dawa ya minyoo ambayo tayari ipo, huyu ni dakitari mbingwa tuwe na utamaduni wa kiheshimu taaluma za watu, sisi watanzania ni wajuaji sanaa ata yule aliemaliza form four tu, .......
tunacho jaribu kuwaelewesha wengi ni kwamba madaktari wetu elimu zao ni kama msahafu wanaamini kile kilichopo kama msahafu na hawana uwezo wa kuja na mawazo mapya mfano wewe unaamini kwa vile dawa za minyoo zipo basi huna haja ya kuhangaisha ubongo wako, ghafla tuje tusikie huko india au ulaya kuna dawa mpya au chanjo ya minyoo huoni huo utofauti? Nyinyi mnachojua mkisoma mkamaliza chuo kazi imeisha wala hamna muda wa kuchallenge kila kilichopo mmakiamini kilichopo mnakuja kukihubiri kwa umma tena kitu ambacho kinakinzana na uhalisia hata kwa wasiona ufahamu
 
miaka nenda miaka rudi hana mawazo mapya ndio maana chuo chake kimeporomoka kiubora tumepitwa na uganda ambao tulikuwa tunawazidi, maprofesa wenzake wanaumiza vichwa namna ya kupandikiza moyo wa nguruwe umsaidie binadamu yeye anahangaika na unywaji wa juisi huoni tatizo hapo?
Tukiumwa ndo tunapokimbilia huko,na wanatutibu nyie wapiga kelele tushawazoea.
 
Tukiumwa ndo tunapokimbilia huko,na wanatutibu nyie wapiga kelele tushawazoea.
hatupingi mchango wao kwa jamii ktk kutibu wanatibu na tunapona, hoja kuu ni kwamba hicho kilichopo wameridhika nacho hawana mawazo mapya kama madaktari wenzao wa india na ulaya ndio maana yanapotokea magonjwa mapya wao hukaa kama sisi kusubiri wenzao wa ulaya watengeneze tiba ndio waitumie
 
Hivi vitu si ni mpaka aseme mzungu ndo ngozi nyeusi mkubali. Akisema mbantu mwenzetu tunampopoa.
 
Prof uchwara sawa na Mwenzakw Kabudi tu. Sasa prof hana tofauti na Lokole huyo. Jana anasema tusile vitu vitamu. Eti hata kula chungwa au ndizi ni hatari kwa afya. Jamaa anatengeneza tension bila sababu yoyote na anatafuta trending kama Mwijaku sasa.
Matunda mengi ni matamu, labda tule pilipili.
 
Hivi ndivyo vichekesho ambavyo vinapatikana Bongo.

Prof. wa kwenye media, professor Janabi siku moja nilimsikia anasema kuwa kama unavaa nguo yenye kiuno size 37 wewe ni mgonjwa. Inamaana huyu Prof. hajui kuwa kuna watu naturally wana maumbo makubwa?

Kama mwili wako una umbo dogo ukinenepa na kuvaa suruali size 32 yawezekana uko over weight. Kuna mtu mwingine akivaa suruali size 34 kulingana na mwili wake hapo tunasema anaumwa na amekonda.
Huyu Janabi hata BMI ya form 2 ina maana kaisahau?

Zaidi ya yote ni kwamba kila mtu aishi apendavyo. Hata gymnast na athletes wengi wanakufa chini ya miaka 55, hivyo maisha hayana kanuni.
Ameshaurii tuuu ukipenda chukuaa hutaki achaaaa
 
Kitawakuta kitu siku moja mtamkumbuka huyu baba saivi kejeli zote hizo anawachora tu anasubiri mtapofika MNH Figo zimefeli..mapafu hayana kazi tena ..moyo umepanuka kama.pazia la leba utamtafuta kwa ushauri na hutakuwa na nafasi ya kurekebisha makosa ..ni ushauri wa kiafya ambao ni hiari ukiamua ufate au uache ya nn kumkebehi baba wa tu ..ila wa tz bana
 

Elimu yake inahukakasi inayomfanya kupigia kelele watu

Amekuwa nutritionist badala ya MD with total misleading to the society

amesoma hiyo Msc. In what?

Hiyo Msc. Siyo Mmed !

I wonder kama ana specialization ya cardiology ; that said , he is not cardiologist.

Hiyo FACC ndio imemfanya kuwa Cardilodist ?

Because FACC is just a certificate for those who have been practicing in cardiovascular healthcare ; regardless kama ni specialist or general doctor


He is not MMED specialized in cardiology

Hizo certificate ni recognition tu

Ukisoma hata profile yake hapo juu haipo clear .
 
Hivi ndivyo vichekesho ambavyo vinapatikana Bongo.

Prof. wa kwenye media, professor Janabi siku moja nilimsikia anasema kuwa kama unavaa nguo yenye kiuno size 37 wewe ni mgonjwa. Inamaana huyu Prof. hajui kuwa kuna watu naturally wana maumbo makubwa?

Kama mwili wako una umbo dogo ukinenepa na kuvaa suruali size 32 yawezekana uko over weight. Kuna mtu mwingine akivaa suruali size 34 kulingana na mwili wake hapo tunasema anaumwa na amekonda.
Huyu Janabi hata BMI ya form 2 ina maana kaisahau?

Zaidi ya yote ni kwamba kila mtu aishi apendavyo. Hata gymnast na athletes wengi wanakufa chini ya miaka 55, hivyo maisha hayana kanuni.
Kumekucha, kumekuchaaa!!
 
Hivi Janabi ni cardiologist ama Nutritionist?

Maana anavyoongelea chakula ni kama vile yeye ni specialized Nutritionist.

Ama ukiwa daktari unaweza kuzungumzia jambo lolote la chakula?
Kwa hiyo inahitaji uprofesa ili ujue lishe bora ipoje?
 
Anakwambia hata unywaji wa juice ni hatari kwa afya yako, haijalishi ni juice ya aina gani,,, hakika huyu ni proffesor 😅😅

Matunda ni bora kuliko juisi; na sababu ni kwamba matunda yana nyuzi-nyuzi na huwezi ukala mengi yakakuzidi kwa sababu utashiba na kuacha.

Juisi haina nyuzinyuzi na unaweza ukanywa nyingi ukazidisha kiwango, na pia huongezwa sukari ambayo siyo nzuri
 
Back
Top Bottom