Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Hata yeye mwenyewe na kula kwake mara 2, asifikirie ataishi milele! Muda wake na yeye ukifika, atakufa tu kama watu wengine.Hivi ndivyo vichekesho ambavyo vinapatikana Bongo.
Prof. wa kwenye media, professor Janabi siku moja nilimsikia anasema kuwa kama unavaa nguo yenye kiuno size 37 wewe ni mgonjwa. Inamaana huyu Prof. hajui kuwa kuna watu naturally wana maumbo makubwa?
Kama mwili wako una umbo dogo ukinenepa na kuvaa suruali size 32 yawezekana uko over weight. Kuna mtu mwingine akivaa suruali size 34 kulingana na mwili wake hapo tunasema anaumwa na amekonda.
Huyu Janabi hata BMI ya form 2 ina maana kaisahau?
Zaidi ya yote ni kwamba kila mtu aishi apendavyo. Hata gymnast na athletes wengi wanakufa chini ya miaka 55, hivyo maisha hayana kanuni.
Asisahau vifo havisababishwi na magonjwa tu. Anaweza akafa kwa ajali, anaweza akavamiwa na Wazee wa kazi kama ilivyotokea kwa Dr. Sengondo Mvungi na Lucky Dube; na kutangulia mbele za haki.