Prof. Janabi unataka uwapangie watu ratiba za kula?

Prof. Janabi unataka uwapangie watu ratiba za kula?

Ona vibonge wazee wa kula kula wanavyomshambulia Prof Janab. Halafu unaweza kuta wao ni walimu wa kiswahili huko kijijini mpwiti.
Hawa watakuwa ni wapenzi wa chips yai, chips kuku broiler anashushia na soda ya Energy, hawataki kuambiwa ukweli.

Mtu siyo mtaalamu wa afya analeta ujuaji wa kukosoa professor ambaye ni tabibu anayetoa elimu bure kwa nia njema tu watu wasiathirike bila kujua. Hovyo kabisa hawa..

View: https://youtu.be/k_UNLDrfMSg?si=WTlAu-_6_2yWl-6j
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Kwahiyo ukweli usisemwe pale anapopuyanga????

Ujinga unaotaka kuongelea unao wewe Ambaye una sikiliza kila neno kutoka kwake na kulikubali kama lilivyo hata kama ni tata.

SHAME ON YOU!!!!

Wewe ni mjinga kwa sababu yeye Janabi kazungumza kwa fact.

Sijakulazimisha umwamini, isipokuwa jibu kwa hoja na utoe sababu.

Zaidi ya hapo ni ujinga kumshambulia mtoa hoja badala ya kuijadili hoja yake.
 
Wewe ni mjinga kwa sababu yeye Janabi kazungumza kwa fact.

Sijakulazimisha umwamini, isipokuwa jibu kwa hoja na utoe sababu.

Zaidi ya hapo ni ujinga kumshambulia mtoa hoja badala ya kuijadili hoja yake.
Kama hoja niliyokujibu siyo hoja 🚮
 
hamna cha uprof umo n pandikiz tu kuwajaza hofu watanzaniaa wasahau matatzo yao
mbn haongelei mazingira mabovu na afya zetu
maji machafu tunatumia na afya zetu
impact za stress kutokana na hali halisi ya maisha
mzeee n pandikizi na anakuwa pushed na media zinazolipwa mfano ayotv
mkumbushen anakizaz atakiacha nyuma
 
Haya ndio yale ya yule Dr. wa kisabato aliyewaharibu Watanzania kwa kushindia Dona.
Dona ina sumu na inaharibu uwezo wa kufikiri wazungu wameprove.
Sasa hivi Watanzania wanapiga Dona mno
Uwezo wa kufikiria ni Kitu ambacho mtu anazaliwa nacho hakina uhusiano na Dona.Inaonaekana una akili za kukaririshwa
 
Dr anakupa ushauri wa afya yako sababu hii ndio kazi yake aliosomea na kupata uzoefu baada ya kufanya kazi miaka mingi, LAKINI cha muhimu wewe mwenyewe ndio unawajibika kutunza afya yako.
Kwa hiyo msimkomalie Dr,

Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Sikia, hizo kitu zikishadondoka, mmea ukikauka, kule chini kwenye shina kuna viazi.

Ukiamua kuacha, mvua ikinyesha vinaota tena halafu vinazaa, na hivyo mzunguko unadumu.
Ooooh kumbe
 
Prof uchwara sawa na Mwenzakw Kabudi tu. Sasa prof hana tofauti na Lokole huyo. Jana anasema tusile vitu vitamu. Eti hata kula chungwa au ndizi ni hatari kwa afya. Jamaa anatengeneza tension bila sababu yoyote na anatafuta trending kama Mwijaku sasa.
Ndizi tena? Hapo amezingua sana haiwezi kupita siku sijala ndizi japo moja tena uipate na wali acha kabisa.
 
Hivi Janabi ni cardiologist ama Nutritionist?

Maana anavyoongelea chakula ni kama vile yeye ni specialized Nutritionist.

Ama ukiwa daktari unaweza kuzungumzia jambo lolote la chakula?
Kimsingi mzee yupo frastra
Ndizi tena? Hapo amezingua sana haiwezi kupita siku sijala ndizi japo moja tena uipate na wali acha kabisa.
Anataka ule wali na Muarobaini au na Mbegu za Limao ndio havina madhara. Sasa mzee anatakiwa a Yamazaki kwani anajivunjia heshima katika jamii.
 
Back
Top Bottom