Prof. Kabudi ataka Elimu ya Biblia itolewe shuleni kuanzia Chekechea hadi Sekondari na Biblia zigawiwe Bure ili kulinda Maadili

Prof. Kabudi ataka Elimu ya Biblia itolewe shuleni kuanzia Chekechea hadi Sekondari na Biblia zigawiwe Bure ili kulinda Maadili

Jukumu la kufundisha maadili ni wazazi hayo mambo mengine mbwembwe tu

Ova
hakika malezi ya msingi ya makuzi na kimaadili ni ya wazazi,
malezi ya kiroho na elimu akhera ndiyo wakapate huko kwenye madhehebu yao ya kidini.

elimu dunia wakapate mashuleni.

wakikaidi kuzingatia taasisi hizo bas ulimwengu utawafunza na kuwanyorosha 🐒
 
Si Kila profesa ni profesa, wengine ni profesa kabudi.

Huyu ni Mtu anayezungumza hayo pasipo kufahamu/kutambua au kuwa na uelewa wa Kina wa Historia ya Homo Sapiens, Religion/dini, Comparative religion, Ethics (philo+S) na Technology & Uchumii (From thirds world country to first world country).

Anafanya ni Mkumbuke Padre Mmoja katika somo la Religion & bible knowledge Shule ya Upili.. Miaka ya nyuma huko.

Na maswalii kadha wa kadhaa,

1.kuna mgawanyo wa vitabu katika agano la Kale, sehemu kuu nne nazo ni:-
A) vitabu vya Sheria.
B) Vitabu vya hekima,
C) vitabu vya historia..
D) vitabu vya Manabii.


2. Eleza namna kiebrania kinavyoandikwa..

3.Types of sinners,

A)Heart hardened sinner's (Wadhambi wenye mioyo migumu)

B)Self righteous sinners.

C) Complacent sinners.

D) Repentant sinners .

4.let us make man in our own image after our likeness (Gen1:26).
A) identify the speaker.......
B) Give One reason as to Why the speaker used the prural form...

Kabudi kazingumzia pia Ethics,

Ethics/Morals/Maadili ambapo Dini/Religion imejimilikisha kwa Asimilia Mia, ambacho si kitu sahihi/Si fact's, Si kwelii,.

Wanasiasa Wengi hutumia dini kutimiza malengo Yao,

Katika poor country, kama Tanzania, Dini imekuwa faraja na kimbilio kwa Matatizo mengi ya raia, ambayo yangeweza kumalizwa na Uwepo wa uchumii imara/Bora na Elimu ya kiwango Bora.

Finally, God/god's & money na Nations Great great inventions za homo sapiens..
Ni matengenezo/Man made za Human being.
Usingesoma somo la dini usingeweza kuainisha hivyo.
 
Si Kila profesa ni profesa, wengine ni profesa kabudi.

Huyu ni Mtu anayezungumza hayo pasipo kufahamu/kutambua au kuwa na uelewa wa Kina wa Historia ya Homo Sapiens, Religion/dini, Comparative religion, Ethics (philo+S) na Technology & Uchumii (From thirds world country to first world country).

Anafanya ni Mkumbuke Padre Mmoja katika somo la Religion & bible knowledge Shule ya Upili.. Miaka ya nyuma huko.

Na maswalii kadha wa kadhaa,

1.kuna mgawanyo wa vitabu katika agano la Kale, sehemu kuu nne nazo ni:-
A) vitabu vya Sheria.
B) Vitabu vya hekima,
C) vitabu vya historia..
D) vitabu vya Manabii.


2. Eleza namna kiebrania kinavyoandikwa..

3.Types of sinners,

A)Heart hardened sinner's (Wadhambi wenye mioyo migumu)

B)Self righteous sinners.

C) Complacent sinners.

D) Repentant sinners .

4.let us make man in our own image after our likeness (Gen1:26).
A) identify the speaker.......
B) Give One reason as to Why the speaker used the prural form...

Kabudi kazingumzia pia Ethics,

Ethics/Morals/Maadili ambapo Dini/Religion imejimilikisha kwa Asimilia Mia, ambacho si kitu sahihi/Si fact's, Si kwelii,.

Wanasiasa Wengi hutumia dini kutimiza malengo Yao,

Katika poor country, kama Tanzania, Dini imekuwa faraja na kimbilio kwa Matatizo mengi ya raia, ambayo yangeweza kumalizwa na Uwepo wa uchumii imara/Bora na Elimu ya kiwango Bora.

Finally, God/god's & money na Nations Great great inventions za homo sapiens..
Ni matengenezo/Man made za Human being.

Una uelewa mzuri kuhusu theology. Pia comparative religion (which moves together with the comparative law)
 
Nachoweza changia ni kwamba elimu yote inanzia kwenye Biblia. Hakuna andiko la kisayansi ambalo halija quote Biblia.
 
bible knowledge hakya mungu nlilipenda somo hilo,mwalimu gimbagu why ulihama shule mapema ungali bado tulikuhtaji?
maneno ya kwenye biblia kwa lugha ya kiingereza yalikuwa yananichanganya tu
 
maneno ya kwenye biblia kwa lugha ya kiingereza yalikuwa yananichanganya tu
bible ukiisoma vizuri,nakuhakikishia somo kama history na english hautafeli kamwe. Kiingereza kinachotumiwa ktk bible kinamfanya msomaji atumie maarifa makubwa na fikra pana kuelewa. Hivyo past tenses na kiingereza chako lazima kikue na ufaulu ktk masomo hayo uongezeke.
 
bible ukiisoma vizuri,nakuhakikishia somo kama history na english hautafeli kamwe. Kiingereza kinachotumiwa ktk bible kinamfanya msomaji atumie maarifa makubwa na fikra pana kuelewa. Hivyo past tenses na kiingereza chako lazima kikue na ufaulu ktk masomo hayo uongezeke.
kweli mkuu, aliyekuwa anafundisha alikuwa mmalawi...basi nikawa siokoti kitu..nikija kwa biblia ya kiswahili naona nayamudu narudi tena kwa kipindi cha kiingereza..mwisho nikanyosha mikono juu..maana walinitisha kwamba nikifanya mtihani wa necta tu, nitatakiwa kuenelea kulisoma ngazi zote, nikaogopa
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi ametaka Elimu ya Biblia iingizwe Kwenye mitaala ya kuanzia Chekechea hadi Sekondari

Prof Kabudi amesema zitengwe fedha za kuchapisha Biblia Ili zigawiwe Bure Kwa wanafunzi Katika Jitihada za kulinda Maadili yanayoporomoka

Kabudi amesema hayo kwenye Ibadan ya kumuweka wakfu askofu Mbwaga wa Kanisa la Baptist

Source Mwananchi

Mlale Unono

Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
CCM ndiyo chanzo kikuu cha maadili mabuvu waanze wao kuacha tabia ya unyumbu wa kisiasa, a.k.a kujizima data, yaani kuahirisha kufikiri kizalendo, (uchawa)

Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya baadhi ya wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumika kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki)
 
Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi ametaka Elimu ya Biblia iingizwe Kwenye mitaala ya kuanzia Chekechea hadi Sekondari

Prof Kabudi amesema zitengwe fedha za kuchapisha Biblia Ili zigawiwe Bure Kwa wanafunzi Katika Jitihada za kulinda Maadili yanayoporomoka

Kabudi amesema hayo kwenye Ibadan ya kumuweka wakfu askofu Mbwaga wa Kanisa la Baptist

Source Mwananchi

Mlale Unono

Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Kwny mchakato wa katiba mpya, nilimuheshimu mno Kabudi na kudhani anajitambua. Lakini baadae nilikuja kupata wasiwasi sana.

Hivi anavyosema mtaala wa biblia uzingatiwe mashuleni, hajui kuwa mh raisi ni muislamu?

Na uprofesa wake, hajui kuwa nchi hii kuna imani zaidi ya kumi?

Zote ziingizwe kwny mitaala?

Ni uprofesa wa aina gani huu?
 
Back
Top Bottom