Sasa hizo tutazirusha kuelekea wapi juzi shirika la ndege la Australia limeirusha dreamliner toka Uingereza hadi Australia kwa masaa 19 na DKK 19 bila kusimama popote sasa hebu tujiulize sisi machine kubwa kama hizo tutazirushia wapi?Kigoma?Canada siyo south Africa wewe kengee wa lumumba hapa ni kulipaa denii.jeuri kakutana na jeuri yake tuone sasa.na hizo ndege mzirushe humu humu ndani ikitoka nje tu zinakamatwa