Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

Status
Not open for further replies.
Si vibaya ni haki yake - watu wasipopata maendeleo ndani ya CUF watayatafuta kwingine.
Haki sawa kwa wooote. Nisichojua ni kuwa Dada Victoria "atauwachia" Ubunge wake na kumufwata Mwenyekiti kunako kwa Mama Mghwira..
 
Umeanza kurudi kwenye mstari sasa hongera sana
 
Eti mh. Baada ya kuapishwa tu kesi ikafutwa
 
Mliokuwa mnasema CCM B ni Cuf imegeuka Leo imekuwa act hata shetani anashangaa unafiki wenu ninyi wajanja nccr Cuf mmeichinjia bahari kazi nzuri mmefanya RAIS awape tuzo
 
Banaee...ahamie Ata sieni dedee efu dedee au aamie Rwanda...chyaaa!! Profesaaaprofesa!! Hatuoni tija hata Cuf haijawahi kukuwa kiuchumi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…