Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Mbona hata uyo tundu wako bila kumtaja Magu anadhani hatasikilizwa.

Lissu hamhitaji Magu kusikilizwa. Siyo siri kuwa chawa wote wako busy na Lissu kuliko chongolo.
 
Mbavu zangu jamani! Nimecheka sana![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
lipumba kazungumza poit nzuri sana ila wachagga wataikataa
 
Naomba mwenye picha ya lipumba simfahamu
 
Risu nimsomi aliye kosa hekima ya kiuongozi uongozi nihekima na busara sio usomi

Risu angekuwa na hekima na busara huenda Ange wai kuwa mshauri mzuri wa jpm

Lakini dharau kukurupuka nakudhani yeye ndiyo yeye ndivyo vilivyo mfikisha hapa alipo
Kuna haha ya kujiongeza kwahilo
 
Badala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi

Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
Teh teh 😂 😂 nyie jamaa acheni kumkashifu mchumi mbobezi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…