Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hata uyo tundu wako bila kumtaja Magu anadhani hatasikilizwa.
Ninao..... Huna ubinadamu?...
Matusi yako wapi?Punguza matusi...
Unafikiri inasaidia?Shenzi wewe!
Mbavu zangu jamani! Nimecheka sana![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Poa utaniona ila naomba unipeHongera. Sasa ugombee usijifiche Jf
Hxhshahaaa,hahaaaa,sasa usukuma umeingiaje tena hapa?, mood's mbona jf inaelekea kuwa ya kikabira?,unaweza ukajificha kwenu mwanza ila huwezi kujificha ulaya na ushamba wako wa kisukuma
Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua.
Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula.
Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!
Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula.
Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Teh teh 😂 😂 nyie jamaa acheni kumkashifu mchumi mbobezi..Badala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi
Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
Wajinga bado kumbe mpo?Ungekua na akili ungeweza unganisha nilichozungumza na hoja ya lipumba!!
Bahati mbaya akili zenu mlimkabidhi JIWE aka Kamongo na kaenda nazo kaburini!!
SaaaafiInategemea na kiungo unachotumia kufikiria, matatizo yanayoikabili Tanzania ni inflation Tu? Ukiukwaji wa wa haki za binadamu siyo tatizo?
Wewe. Ni bonge la juha,Rostam aziz ni mkristo?, jakaya kikwete ni mkristo?,ucha ufala wewe,Iliniuma sana alituaibisha waislam, muislam gani corrupt vile