Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Prof. Lipumba: Kupigwa risasi haikuongezei sifa ya kuwa Rais wa Tanzania

Mbona hata uyo tundu wako bila kumtaja Magu anadhani hatasikilizwa.

Lissu hamhitaji Magu kusikilizwa. Siyo siri kuwa chawa wote wako busy na Lissu kuliko chongolo.
 
Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua...

Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula


Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!!

Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula...

Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Mbavu zangu jamani! Nimecheka sana![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
lipumba kazungumza poit nzuri sana ila wachagga wataikataa
 
Naomba mwenye picha ya lipumba simfahamu
 
Risu nimsomi aliye kosa hekima ya kiuongozi uongozi nihekima na busara sio usomi

Risu angekuwa na hekima na busara huenda Ange wai kuwa mshauri mzuri wa jpm

Lakini dharau kukurupuka nakudhani yeye ndiyo yeye ndivyo vilivyo mfikisha hapa alipo
Kuna haha ya kujiongeza kwahilo
 
Lipumba mdomo wake tu unamaliza yote kabla ya kumdadavua.

Nimewahi kaa nae kwenye halfa fulani ni mlafi na mroho kupindukia hutaamini kama ni profesa mwenye uwezo wa kununua aina hiyo ya chakula.

Muda wote hula kwa pupa huku ulimi wake ukicheza cheza mithili ya ulimi wa chatu na hurusha mate na kupepesa mdomo na macho mithili ya mamba!

Hii tabia ya kilafi imeathiri maisha yake sana kiasi cha kukosa msimamo na hupatwa na fadhaa kubwa mbele ya pesa au chakula.

Lipumba ni Disgrace katika nchi hii.
Badala ya kuzungumzia Inflation yeye anazungumzia risasi

Huyu mzee kwishney sema tu yule mkewe mchagga anamlisha!
Teh teh 😂 😂 nyie jamaa acheni kumkashifu mchumi mbobezi..
 
Back
Top Bottom