Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Sivihitaji vitenge mkuu Daudi mwana wa Yese, yapo mengi ambayo hayaandikwi jukwaani lakini watu wanayafahamu kwa kina. Masalia ya mwisho mwisho ya JK ndiyo haya yanaondolewa, upo uhusiano kati ya ZZK na hao wawili niliowataja.Weka hapa bandiko lenye matamshi ya kisiasa aliyowahi kufanya Prof Assad na ukifanya hivyo nitakuzawadia vitenge doti 50.
Sasa mshtukiza kama jiwe au Job uone mchecheto! Maana kuna hirizi za kuhamisha, ndulele za kuchomoa na mazagaza kibao!Ukiwa na moyo mweupe na mikono safi... Hata ukiamshwa alfajiri hutahitaji maandalizi wala sababu....
Mwanaume mzima analipwa buku saba kumsifia mwanaume mwenzie 24/7..hiyo ni absolute poverty kabisa yaaniHasa nyie masikini ndio mtanyooka zaidi
Kawe Alumni
Mada hii inahusu kukabidhi ofisi tu mkuu .
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG
Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake
Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Mkuu wewe ni mmoja ya watu makini sana hapa JF na unaaminika. Ushahidi wa mahusiano yake na uliowataja unaweza kutudokezea Phillipo?Sivihitaji vitenge mkuu Daudi mwana wa Yese, yapo mengi ambayo hayaandikwi jukwaani lakini watu wanayafahamu kwa kina. Masalia ya mwisho mwisho ya JK ndiyo haya yanaondolewa, upo uhusiano kati ya ZZK na hao wawili niliowataja.
kuna member mmoja alisema kaandikiwa kazi yake ni kupost tu hatari sana
Asije tu akabishana na mhimiliAiseeeee ripoti ijayo itakuwa nzuri sana.
Mungu akubariki Pro Assad, watanzania kwa tumekuelewa sanaView attachment 1254451
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
Mkuu nisingependa kumwaga ushahidi humu JF, baadhi yao ni waheshimiwa sana na sio vizuri kuanza kugeuka Cyprian Musiba, itoshe tu kwa ushahidi wangu huu wa kimazingira kuaminika.Mkuu wewe ni mmoja ya watu makini sana hapa JF na unaaminika. Ushahidi wa mahusiano yake na uliowataja unaweza kutudokezea Phillipo?
Utafiti ulisema wengi wanaounga mkono CCM ni watu ambao hawakwenda shule kabisa, walioshia la saba na wachumia tumbo!CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG
Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake
Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Akili za kitoto hizi,hata kunyamaza ni hekima piaAssad kaiharibu na kuivunjia heshima sana hiyo ofisi.
Zitto kamuharibu huyu mzee..akalime sasa Unguja.
Viva Magufuril
View attachment 1254451
Hiki ni kitendo kilichofanyika bila kuchelewa , hajataka kuleta longolongo ili waseme kuna mafaili yametoroshwa .
Kila la heri Profesa Assad
Kawe Alumni
Mada hii inahusu kukabidhi ofisi tu mkuu .
DuuhNdugai na yule kichaa mwingine wamefurahi sana sasa tutegemee kodi zetu kuanza kupigwa kiholela na hili gege la majizi linalojitia uzalendo. Hapa kazi ni wizi tu
Kutumikaje labda .lini umewai msikia akijihusisha nasiasa? Ongea vitu vyamsingi acha kuropoka bwana .CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria
Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa
CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG
Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake
Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Hapa wizi tu.Ndugai na yule kichaa mwingine wamefurahi sana sasa tutegemee kodi zetu kuanza kupigwa kiholela na hili gege la majizi linalojitia uzalendo. Hapa kazi ni wizi tu
Kwa ufisadi huu lazima tunyoke ndugu BashiteMtanyooka tu!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Duh. Hiyo mi V8 yote iliyopaki hapo inanyonya damu za watanzania