Profesa Assad amkabidhi ofisi CAG mpya, hakuona haja ya kupiga danadana

Profesa Assad amkabidhi ofisi CAG mpya, hakuona haja ya kupiga danadana

Weka hapa bandiko lenye matamshi ya kisiasa aliyowahi kufanya Prof Assad na ukifanya hivyo nitakuzawadia vitenge doti 50.
Sivihitaji vitenge mkuu Daudi mwana wa Yese, yapo mengi ambayo hayaandikwi jukwaani lakini watu wanayafahamu kwa kina. Masalia ya mwisho mwisho ya JK ndiyo haya yanaondolewa, upo uhusiano kati ya ZZK na hao wawili niliowataja.
 
Unakumbatia majizi yenye sura ya binadam eeh.
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa

CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG

Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake

Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
 
Sivihitaji vitenge mkuu Daudi mwana wa Yese, yapo mengi ambayo hayaandikwi jukwaani lakini watu wanayafahamu kwa kina. Masalia ya mwisho mwisho ya JK ndiyo haya yanaondolewa, upo uhusiano kati ya ZZK na hao wawili niliowataja.
Mkuu wewe ni mmoja ya watu makini sana hapa JF na unaaminika. Ushahidi wa mahusiano yake na uliowataja unaweza kutudokezea Phillipo?
 
Halafu huko Kawe inaonekana ni sifuri kabisa.
 
Mkuu wewe ni mmoja ya watu makini sana hapa JF na unaaminika. Ushahidi wa mahusiano yake na uliowataja unaweza kutudokezea Phillipo?
Mkuu nisingependa kumwaga ushahidi humu JF, baadhi yao ni waheshimiwa sana na sio vizuri kuanza kugeuka Cyprian Musiba, itoshe tu kwa ushahidi wangu huu wa kimazingira kuaminika.
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa

CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG

Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake

Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Utafiti ulisema wengi wanaounga mkono CCM ni watu ambao hawakwenda shule kabisa, walioshia la saba na wachumia tumbo!
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Kama wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata hati chafu ya ubadhirifu wa pesa

CAG apumzike aache kutafuta huruma ya Wananchi yeye sio wa kwanza kushika hicho cheo Kila mtanzania mwenye sifa alistahili kuwa CAG

Muda wake umeisha apumzike amefanya kazi yake

Aache kutumika na wanasiasa wasaliti wa nchi
Kutumikaje labda .lini umewai msikia akijihusisha nasiasa? Ongea vitu vyamsingi acha kuropoka bwana .
 
Ndugai na yule kichaa mwingine wamefurahi sana sasa tutegemee kodi zetu kuanza kupigwa kiholela na hili gege la majizi linalojitia uzalendo. Hapa kazi ni wizi tu
Hapa wizi tu.
 
Back
Top Bottom