Profesa Assad: Katiba Mpya sawa ila isitupe mtu ambaye hawezi kumsikiliza mtu yeyote kama ilivyokuwa

Mtu yoyote agombee achaguliww uenyekiti wa Kijiji amsikilize kila mtu halafu aone Kama atajenga hata choo Cha Shule ya chekechea
Tena kwa Nchi kama hii ambayo Watu Wana mdomo ni hatari sana.

Ndio maana hata Samia hazingatii Sana huo ujinga👇



 
Ni tatizo la watu wenye kutaka kuona mabadiliko pasina wao wenyewe kubadilika, kuna vitu vyengine kama mna ustaarabu mzuri wala haviitaji maandishi ya kwenye katiba.
 
Prof need learn to let it go...Atakaa na hilo gubu mpaka lini?
Km jamaa alikua haskilizi mbona alipokua anawasilisha report yake March 2016 alishauri kuhusu Umeme wa Stiglers na jamaa akaufanyia kazi ushauri wake?au keshasahau?
 
Huyo dhalimu ni sehemu ya historia mbovu ya nchi hii. Atasemwa sana, ataandikwa pia kuweka kumbukumbu.
 
Ukwel mchungu huu
 
Nadhan unaota ww,huyu mwamba kwa taaluma yake hawez kosa cha kufanya
Huyu mzee anasononeko la moyo mpaka linamkereketa.huyu Mzee anatakiwa kukubali Rais ni cheo kikubwa Sana na anakuwa anajidhalilisha kuzungumzia kitu kinachomtesa.
 
Hitler mpaka leo huzungumziwa kwa uovu aliofanya,wacha ukwel mchungu usemwe ili watu wajifunze
 
Pole mjane but ukwel mchungu lazma usemwe
Utadhani ana PhD ya political science, hadi leo analia lia na nafasi ya CAG? Mbona halilii nafasi yake UD? Nilishamuona ni mtu wa hovyo tu! always comments zake zinazuiliwa na mambo ya kidini. Ni mdini.
 
ndio maana miaka hii iliyopita wote tulifika mahala wote tukawa tunaogopa kusema chochote kwa kuwa kulikuwa na mtu ambaye hakuna mtu ambaye anaweza kumsikiliza
Nawekea Mkazo hili yaani Nakazia na kukazia.
 
Nina maoni tofauti na Prof. Kwa miaka mingi tumekuwa na Marais walitoa fursa Kwa wasaidizi wao kutumia nafasi zao ktk kuitumikia nchi ie (mawaziri, DGs wa nashirika, concils nk) lkn hakuna chochote cha maana wananchi walipata. Zaidi ya JK wakati flani kukiri serikalini Kuna mchwa wanakula pesa za umma. Damu hii ilikuwa mbaya na utumishi wa umma ulikuwa simply kujineemesha binafsi. Mtawala Magu aliliona hili na kuamua ku deal nao perpendicularly Kila alipopeleka pesa ya umma. Let us be honest, hii imeleta matokeo chanya Kwa just 5yrs za utawala wake. Kila mwenye macho anaona si ktk huduma za jamii mpaka ktk miradi ya maendeleo ya kimkakati. Prof Assad atambue hakuna Masikini asiye mbinafsi ndio watawala wetu na ukiwaachia huo uhuru jua unaumiza na hata kuua tabaka la nchi. Lazima wasimamiwe na kulazimishwa kutumikia wananchi. Hata tukiwa na KATIBA MPYA Leo hii kama mentality yetu haita badilika umaskini tena utazidi hapa tulipo. Tunahitaji MTAWALA mwingine atuongoze tufikie mahala fulani ndipo democratic rulers waje. (Majizi, mafisadi, wabadhirifu) wanakipenda sana kipande cha demokrasia sbb kinatoa mianya mingi ya upigaji ktk jamii sbb system zetu Bado ziko chini kudhibiti.
 
Kwa hyo ukisema ukwel mchungu ni kiburi???achen yule aliyejifanya kila kitu aambiwe ukwel ili wengne wajifunze
 
Mzee Rukhsa alisema "Maisha ni hadithi tu, ewe ndugu yangu kuwa hadithi nzuri kwa hao watakaosimuliwa".
 
Hizo hisia zako tu,toa mifano hai
 
Nenda china kaibe mali ya umma ndyo utajua kama katiba ni maandishi tu
 
Vp alikugonga ukajua anashindwa kumgonga mkewe????ww mjane wa jiwe????
Lisu mwenyewe brabra nyingi tu! Saizi dishi lishayumba! Upumbavu wake ndo matokeo yake! Hata mkwe wake hawezi kumgonga! Kila kitu anajifanua unajua kama ilivyo huyu Assad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…