Aisee..Tatizo lako unafananisha manunuzi ya mtu binafsi na ya SERIKALI. UKIWEZA KUTOFAUTISHA HAYO MAKUNDI BASI AKILI YAKO ITAANZA KUHAMA KUTOKA MATAKONI KUJA KICHWANI.
Mataga wanaogopa kumtaja Assadi maana jamaa linawaumbua na ma uongo yao ya karne.Unafiki ni kama huu ambao haumsemi moja kwa moja CAG,
Hivi huu uninga utaisha lini kwa baadhi ya wadanganyika?
Hebu tuwe na aibu
Yes napunguza maana naona nitajipa kazi kumuelekeza mtu asiyejua ABC ya mambo ya finance/economic. Ni ngumu kwa watu kama nyie kuelewa maana upumbavu ni rahisi kiwa adopted ndio maana Magufuli aliwekeza upumbavu mwingi vichwani mwenu.Naona hata idadi ya maneno imeanza kupungua kwny hoja zako ikashiria unataman kuelewa lakini ndo hivyo tena huwez kubadili msimamo hadharani
Labda kama ulikuwa hujui, taratibu za manunuzi ya serikali, watu binafsi au mashirika yote lazima yafuate mwongozo wa kitaalamu. Sio kwamba kwa vile wewe ni raia basi ununue vitu hovyo hovyo bila kujua matokeo yake huko baadae.Tatizo lako unafananisha manunuzi ya mtu binafsi na ya SERIKALI. UKIWEZA KUTOFAUTISHA HAYO MAKUNDI BASI AKILI YAKO ITAANZA KUHAMA KUTOKA MATAKONI KUJA KICHWANI.
Mkuu umeniwahi huyo ni chizi kalewa kimpum anakuja kuharishaUngetaja mashirika ya ndege yaliyonunuliwa cash ndege zake Sio blahblah.
Ni Mpumbavu ndio Ananunua Ndege kwa CashNimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.
Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.
Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?
Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?
Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.
Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.
Huna akiri kabisaNimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.
Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.
Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?
Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?
Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.
Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.
Kwa avator yako inaonesha wewe ulikuwa mnufaika wa bwana mwendazakeKuna watu bhana wamejaa unafiki licha ya biblia,quran na mavazi yao yanayoakisi uchaji wa Mungu wao.
Baada ya kuona camera zinakumulika umeamua kutumia IST ili uonekane ni mtu mwadilifu sana kumbe ni nafiki kubwa lililojaa ujuaji wa kijinga tu na chonganishi!
"Wanaotumia IST wanawake" Ukaona utumie kauli ya mjinga mwenzako ili uonekane mwema kumbe nafiki.
Sasa kama ungekuws mwadilifu kwanini umepokea hela ili uchonganishe watu?
Kama hujaelewa halikuhusu...pita kushoto nenda zako!
Uzi tayari
Wewe ni sukuma gang?Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi? Pathetic profools, nilikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki.
Kuwa mvumilivu... Mfano SGR walisema ni miaka 15 baada ya kukamilika ndo faida itaanza kuonekana. Nadhani inahitaji wataalamu pia kupiga hizo hesabu za AIR TANZANIA kuona na yenyewe itaanza kupata faida baada ya miaka mingapi. Ningejua gharama uwekezaji vs trend ya ukuaji wa soko nngeweza kukuambia hilo kwa hakika kabisa.
Naweza kua sina akili kweli lakini nikawa namtungua maza wako kwa bedi.Huna akiri kabisa