TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

Prof Ngowi wa Mzumbe na dereva wake wamefariki kwa ajali leo asubuhi. wameangukiwa na container la semi trailer Mlandizi. Alikuwa anaenda Moro kwenye kikao .
 
Mmefukuza madereva wazuri kwa sababu za kipuuzi za vyeti fake mara sijui dereva naye awe form four wakati mbunge ni darasa la saba, pumbavu kabisa.

Qualification ya driver ni driving license na siyo hawa waliokosa ajira kwenye soko la ajira na kukimbilia udereva, kuendesha Passo yako ni tofauti kabisa na professional driving.

Ukiwa unasafiri jihadhari sana na hizi plate namba za STL, DFP na SU, hakuna madereva humo siku hizi ndio mitambo ya kupeleka watu kuzimu.
 
Habari Wote. Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Lughano Kusiluka anasikitika kutangaza kifo cha Prof. Honest Ngowi na Dereva wake, waliofariki asubuhi ya leo kwa ajali ya gari wakiwa njiani kuja Kampasi Kuu Morogoro.

Tunaomba muwe watulivu wakati Menejiementi inaendelea kufuatilia taarifa kamili ya tukio hili, na kuweka taratibu zingine. Taarifa zaidi zitatolewa rasmi na taratibu zingine za kuwahifadhi wenzetu. Bwana alitoa na Bwana Ametwaa jina la Bwana lihimidiwe. Poleni Wote kwa msiba huu mzito.

Imetokewa na,

Ofisi ya Mawasiliano
 
Barbara hizo du.
Ali Mufuruki RIP na Prof Ngowi RIP

Walikuwa wakishiriki sana This week in perspective. By Adam Simbeye
 
Apumzike kwa Amani Profesa Honest Ngowi, Nguli wa Uchumi..!
 
Umeshajua sababu za ajali au unaropoka tuu km mywa pisa
 
R.I.P Pro. Ngowi. Poleni sana familia ndg jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mpendwa wetu.
 
Hao wa mabasi ni kina nani. Coaster hizo na malori hazipati ajali. Tupunguze jazba. Hata wenye vyeti halali wanastahili kupata kazi na wanaweza kuwa professional driver. By the way, madereva darasa la saba hawakufuzwa isipokuwa waliotengeneza vyeti na kujiita form 4.
 
 
Rest easy one of the best teacher i ever encounter.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…