Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya malori yatafutiwe njia yao ya pekee!!otherwise yatatumaliza kweli kweli!!APUMZIKE KWA AMANI MWALIMU WETU. POLE KWA WANAJUMUIYA WOTE WA MZUMBE UNIVERSITY
View attachment 2166714View attachment 2166714
View attachment 2166715
View attachment 2166716
R.I.P
Hii barabara isipotanuliwa na kuweka dual carriage way tutaisha sana kwa kweli lawama tutawapa sana madereva lakini ukweli tuuseme barabara hii ni bado ya kizamani hailingani na matumizi ya idadi ya magari iliyopo sasa.
Wanasiasa hebu tumieni hicho kiwango cha posho zenu kuokoa maisha ya watu kwa ajali ambazo huenda zingeepukika.
Hivi nchi mnazoenda kutembelea hamjifunzi tu kitu cha kufanya?
Oneni aibu kwa kuchelewa kujenga dual carriage way ya dar to morogoro tunazidiwa na nchi kama Zambia kweli?
Economics, Mzumbe University. Amekua akichambua mambo ya uchumi kwenye vyombo vya habari (TVs) na kuandika makala za uchumi kwenye magazeti mbalimbali.Ni profesa wa vitu gani huyo?...
Nawe umebaki ni..............Jamani jamani. Watu wa maana wanaondoka. Tunabakiwa na .....
R.I.P Prof Honest Ngowi
Kwa mara ya kwanza kuonana naye ilikuwa wiki juzi pale Mzumbe University Dar Es Salaam Campus, tokana na physical appearance psychology alikuwa ni mtu mwenye hekima sana.Dah! Mwalimu wangu ulikua zaidi ya ndugu kweli kazi yake Mola haina makosa
Rudia kusoma uzi upya, tena kuwa makini sana maana watu kama ninyi ndiyo hupelekea kusaini mikataba mibovu sababu ya uvivu tu wa kusoma kwa kina habari husika.Ni profesa wa vitu gani huyo?...
Hata mimi nimewahi kushirikiana naye kuandika paper kwa ajili ya matumizi ya wafanyabiashara. Alikuwa ni kijana wa shughuli nyingi.Nimesikitika sana. Huyu prof alikuwa very active. Tumepoteza msomi mahiri kabisa.
Rudia kusoma uzi upya, tena kuwa makini sana maana watu kama ninyi ndiyo hupelekea kusaini mikataba mibovu sababu ya uvivu tu wa kusoma kwa kina habari husika.