TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

R.I.P

Hii barabara isipotanuliwa na kuweka dual carriage way tutaisha sana kwa kweli lawama tutawapa sana madereva lakini ukweli tuuseme barabara hii ni bado ya kizamani hailingani na matumizi ya idadi ya magari iliyopo sasa.

Wanasiasa hebu tumieni hicho kiwango cha posho zenu kuokoa maisha ya watu kwa ajali ambazo huenda zingeepukika.

Hivi nchi mnazoenda kutembelea hamjifunzi tu kitu cha kufanya?

Oneni aibu kwa kuchelewa kujenga dual carriage way ya dar to morogoro tunazidiwa na nchi kama Zambia kweli?
Mkuu pole kwa msiba
Bongo hatuna mpango mkakati wa muda mrefu ama laah kila kitu shaghala baghala
Politicians wapo kwa interested zao tuuu
 
R.I.P

Hii barabara isipotanuliwa na kuweka dual carriage way tutaisha sana kwa kweli lawama tutawapa sana madereva lakini ukweli tuuseme barabara hii ni bado ya kizamani hailingani na matumizi ya idadi ya magari iliyopo sasa...
Dual carriage, umeniacha apa mkuu
 
Siku zile za kwanza, Magufuli alipokuwa fearsome dictator,Profesa Ngowi ndiye aliyekuwa one of the first people kutoa maoni mbadala kuhusu Sera za uchumi. Yaani,wakati ule ilikuwa siyo safe kumpinga Magufuli.
 
Namkumbuka kwenye mikutano ya jimbo kuu la Dar.. Walei jimbo, lile kongamano lililofanyika taifa Dar.. UWAKA pale Loyola sec... Tumepoteza mtaalamu wa uchumi
 
Pole sana kwa familia na wote tulioguswa na msiba huu. Adui wa mwisho kuangamizwa kitakuwa ni kifo pale Kristo atakaporudi mara ya pili na hivyo hatutatengana tena. Mungu atufundishe kuzihesabu siku zetu na kutupa moyo wa hekima
 
Kweli au ni porojo za kuongeza views ??
Screenshot_20220328-131443.png
 
Mmefukuza madereva wazuri kwa sababu za kipuuzi za vyeti fake mara sijui dereva naye awe form four wakati mbunge ni darasa la saba, pumbavu kabisa.

Qualification ya driver ni driving license na siyo hawa waliokosa ajira kwenye soko la ajira na kukimbilia udereva, kuendesha Passo yako ni tofauti kabisa na professional driving.

Ukiwa unasafiri jihadhari sana na hizi plate namba za STL, DFP na SU, hakuna madereva humo siku hizi ndio mitambo ya kupeleka watu kuzimu.
Hapo dereva afanye nini? msipende sana kulaamu bila sababu.
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Rudia kusoma uzi upya, tena kuwa makini sana maana watu kama ninyi ndiyo hupelekea kusaini mikataba mibovu sababu ya uvivu tu wa kusoma kwa kina habari husika.
Wewe ni mkurupukaji...mwanzoni taarifa ilivyokuja hakukuwa na wasifu wowote wa huyu marehemu profesa,Kuna mtu kanijibu vizuri ndio nimeelewa Sasa...acha kuwa na maneno ya shombo na ya hovyo hata kwa watu usiowafahamu.
 
 
Economics, Mzumbe University. Amekua akichambua mambo ya uchumi kwenye vyombo vya habari (TVs) na kuandika makala za uchumi kwenye magazeti mbalimbali.
Basi,tumepoteza mtu muhimu sanaa kwenye Mambo ya uchumi...
 
May God Almighty rest his soul in peace. He was a brilliant economist and a true entrepreneur.
 
Back
Top Bottom