BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Anataka aendelee kupokea wagonjwa wengi wa FIGO.
NAIJUA HIYO
NAIJUA HIYO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani hiyo avatar ndio inanikosha.GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Mimi...!!!
AahaaaaaNgoja kesho profesa wako aseme ukitafunwa ndio afya, kama nakuona vile utakavyokuwa chakula cha wana..unakitembezesha kinyeo ili uwe na afya,
Kumbe hawakuiti POPOMA bure😂🤣 usiniletee mimi, mie situmi MARINDA 😂🤣
Usisikilize sana ma Dr wwe kwanza sikiliza mwili wako unataka kupokea nini kwa wakati huo,kama mwili unataka maji upe maji,kama mwili unataka chai upe chai, kama mwili unataka juice upe juice, kama mwili unataka kupumzika upumzishe!!Maji mengi yanaupotezea mwili madini muhimu wanasema it washes electrolytes... Vinginevyo unywe mineralsed water
ndio nini, kama si ushabiki na kujipendekeza?Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer
Janabi hivi sasa ni sawa na commedian tu.Amesema professa mwenye akili nyingi sawa tumelipokea::= siku tutaambiwa kunya kiasi tusimalize napo ni afya haki yanani
Kuusimamisha Moyo wa Jiwe!!Eti huyu ndo alihusika....
🤭🤭🤭🤭🤫🤫🤫😷😷😷
Mwambie hicho kizee chako hicho kisitupigie kelele, maji tunanunua kwa pesa yetu; aachane na maisha yetu. Yeye mbona ananyooka tu na hatujamsema?"Unatakiwa kunywa Maji pale tu Mwili wako ukikuambia au ukijisikia kuwa una Kiu.
Na hata kama usiposikia Kiu na kutokunywa Maji bado Afya yako itakuwa imara.
Huwa nashangaa mno kuwaona na kuwasikia Watu wakisema kuwa Mwanadamu kwa Siku anatakiwa Kunywa Maji Lita 5 hii si sahihi na wengi wanaokunywa Maji ya Ujazo huo hujikuta wakiwa wameibua Magonjwa mengine Miilini mwao" amesema Profesa Mwenye Akili Nyingi Janabi muda mfupi tu uliopita alipokuwa Mubashara ( Live ) ITV na Radio One katika Kipindi nilichokisahau Jina ila Mtangazaji Miongozaji wake Julieth Robert kutokana na Urembo wake na Sauti yake tamu sijamsahau.
Haya sasa endeleeni tu Kufakamia Mimaji Lita 5 na Kubeba Michupa yenu hovyo barabarani kama Wendawazimu mkijidanganya kuwa mnaimarisha Afya zenu wakati akina GENTAMYCINE tunaokunywa Glasi Tatu ( 3 ) tu za Maji tunaendelea kuwa Werevu (Intelligents) na Afya zetu Kuimarika kila Uchao na Kuonekana bado ni Vijana wakati sasa tunaelekea Saa 12 Jioni.
Kazi Kwenu.
Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo KisunguraGENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
Hii imeenda...
Ni charismatic fallaPurely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer