Profesa Janabi: Aliyewaambia Watu wawe Wanakunywa Maji Lita 5 kwa Siku kawadanganya sana

Profesa Janabi: Aliyewaambia Watu wawe Wanakunywa Maji Lita 5 kwa Siku kawadanganya sana

ITV na Radio One katika Kipindi nilichokisahau Jina ila Mtangazaji Miongozaji wake Julieth Robert kutokana na Urembo wake na Sauti yake tamu sijamsahau.
Nitatafuta hicho kipindi, Nami nimsikie, umenishawishi.
Haya sasa endeleeni tu Kufakamia Mimaji Lita 5 na Kubeba Michupa yenu hovyo barabarani kama Wendawazimu mkijidanganya kuwa mnaimarisha Afya zenu wakati akina GENTAMYCINE tunaokunywa Glasi Tatu ( 3 ) tu za Maji tunaendelea kuwa Werevu (Intelligents) na Afya zetu Kuimarika kila Uchao na Kuonekana bado ni Vijana wakati sasa tunaelekea Saa 12 Jioni.
Fact Check:
Ushauri wa wataalamu wa afya:
  • Taasisi ya Sayansi, Uhandisi, na Tiba ya Marekani imebainisha kuwa kiwango cha kutosha cha maji kwa watu wazima wenye afya ni takriban lita 2.7 kwa wanawake na lita 3.7 kwa wanaume.
  • Hata hivyo, kiwango cha maji kinachohitajika kinaweza kutofautiana kutegemea mambo kama joto la mazingira, shughuli za mwili, hali ya kiafya, na mazingira unayoishi
  • Kupoteza maji mwilini kunaweza kusababisha madhara kama uchovu, kushindwa kuzingatia, na kupungua kwa uwezo wa kimwili
Umuhimu wa kunywa maji:

Kunywa maji ya kutosha ni muhimu kwa afya ya jumla ya mwili. Maji husaidia katika kuzuia matatizo kama kuvimba kwa kibofu cha mkojo, kuvimba kwa figo, na ukosefu wa maji mwilini.

Pia, maji husaidia katika kuzuia matatizo kama kuvimba kwa ngozi na kuhara.

Kwa kuongezea, maji yanaweza kusaidia katika kudhibiti uzito na kuboresha utendaji wa mwili.

Hitimisho:
Ingawa kuna maoni tofauti kuhusu kiwango sahihi cha kunywa maji kwa afya, ni muhimu kuzingatia ushauri wa wataalamu wa afya na kuzingatia mahitaji ya mwili wako.

Kunywa maji ya kutosha ni muhimu kwa afya ya jumla, lakini kiwango kinaweza kutofautiana kulingana na mambo mbalimbali kama joto la mazingira, shughuli za mwili, na hali ya kiafya.
Lita 2 hadi 3 kwa siku ni mwendo sitauacha, nimeona faida zake sana. Hiyo 5 sijawahi hata ifikiria
 
Janabi nae fix tu.
Mpaka kusikia kiu maana yake ushauchelewesha mwili kuupa maji, si vyema kunywa maji eti baada ya kuhisi kiu.

Pili.
Maji mtu anakunywa kutokana na uzito wake.

Ni kweli lita 5 ni nyingi mnoo, lakini lita 2-3 inabidi tunywe kwa siku kwa mtu mzima.. hapo factor ya kazi(kuutumikisha mwili) tumeweka pembeni.
Yeye kaongelea lita 5 wewe waleta story
 
"Unatakiwa kunywa Maji pale tu Mwili wako ukikuambia au ukijisikia kuwa una Kiu.

Na hata kama usiposikia Kiu na kutokunywa Maji bado Afya yako itakuwa imara.

Huwa nashangaa mno kuwaona na kuwasikia Watu wakisema kuwa Mwanadamu kwa Siku anatakiwa Kunywa Maji Lita 5 hii si sahihi na wengi wanaokunywa Maji ya Ujazo huo hujikuta wakiwa wameibua Magonjwa mengine Miilini mwao" amesema Profesa Mwenye Akili Nyingi Janabi muda mfupi tu uliopita alipokuwa Mubashara ( Live ) ITV na Radio One katika Kipindi nilichokisahau Jina ila Mtangazaji Miongozaji wake Julieth Robert kutokana na Urembo wake na Sauti yake tamu sijamsahau.

Haya sasa endeleeni tu Kufakamia Mimaji Lita 5 na Kubeba Michupa yenu hovyo barabarani kama Wendawazimu mkijidanganya kuwa mnaimarisha Afya zenu wakati akina GENTAMYCINE tunaokunywa Glasi Tatu ( 3 ) tu za Maji tunaendelea kuwa Werevu (Intelligents) na Afya zetu Kuimarika kila Uchao na Kuonekana bado ni Vijana wakati sasa tunaelekea Saa 12 Jioni.

Kazi Kwenu.
Ushauri wa Janabi ni kama anapigia debe kuongeza wateja kwenye taasisi anayoiongoza
 
"Unatakiwa kunywa Maji pale tu Mwili wako ukikuambia au ukijisikia kuwa una Kiu.

Na hata kama usiposikia Kiu na kutokunywa Maji bado Afya yako itakuwa imara.

Huwa nashangaa mno kuwaona na kuwasikia Watu wakisema kuwa Mwanadamu kwa Siku anatakiwa Kunywa Maji Lita 5 hii si sahihi na wengi wanaokunywa Maji ya Ujazo huo hujikuta wakiwa wameibua Magonjwa mengine Miilini mwao" amesema Profesa Mwenye Akili Nyingi Janabi muda mfupi tu uliopita alipokuwa Mubashara ( Live ) ITV na Radio One katika Kipindi nilichokisahau Jina ila Mtangazaji Miongozaji wake Julieth Robert kutokana na Urembo wake na Sauti yake tamu sijamsahau.

Haya sasa endeleeni tu Kufakamia Mimaji Lita 5 na Kubeba Michupa yenu hovyo barabarani kama Wendawazimu mkijidanganya kuwa mnaimarisha Afya zenu wakati akina GENTAMYCINE tunaokunywa Glasi Tatu ( 3 ) tu za Maji tunaendelea kuwa Werevu (Intelligents) na Afya zetu Kuimarika kila Uchao na Kuonekana bado ni Vijana wakati sasa tunaelekea Saa 12 Jioni.

Kazi Kwenu.
Kwa hiyo Prof mwanzo aliwaingiza watu vyoo vya kike na kiume virseversa.
 
Kukosa, afya na kupatwa na malazi, ni nadharia tu au bahati mbaya, mchawi anao uwezo wa kukuloga kwa malazi yote pia nae nimwanasayansi, kama wanasayansi wengine, kikubwa chini ya jua, hatuna kinga wala nani tunaishi kwa bahati tu.
 
Janabi nae fix tu.
Mpaka kusikia kiu maana yake ushauchelewesha mwili kuupa maji, si vyema kunywa maji eti baada ya kuhisi kiu.

Pili.
Maji mtu anakunywa kutokana na uzito wake.

Ni kweli lita 5 ni nyingi mnoo, lakini lita 2-3 inabidi tunywe kwa siku kwa mtu mzima.. hapo factor ya kazi(kuutumikisha mwili) tumeweka pembeni.

Janabi kazingua hapo.
Hakuna popote Watu wameambiwa Wangwe maji lita tano.

Mtu anakunywa maji kutokana na umri, jinsia na uzito wake.
Wastani ni lita 2-3 kwa Watu wazima.
 
Back
Top Bottom