Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na degree siyo sababu ya kuogopa kutoa hoja au kufanya utatifi. Mbona kuna maprofesa wengi wasengee tu Ulaya? Nao utasemaje?Huna hata Degree bado unabishana na Profesa mwenye Heshima iliyotukuka Kitasnia na Kiuweledi halafu bila Aibu unataka Kutulazimisha tukuamini Boya na Pimbi Wewe.
Hebu tupishe tafadhali.
Makasiriko ya nini Pimbi na Boya Wewe?Kuwa na degree siyo sababu ya kuogopa kutoa hoja au kufanya utatifi. Mbona kuna maprofesa wengi wasengee tu Ulaya? Nao utasemaje?
Ameshatoa hili somo kwny channel yake YouTube Nadhani anawasikiliza sana Dr. Berg na Dr Jason Fang.Sidhani kama amefanya research yeye kama yeye ila nakubaliana na alichokisema kwani mesikia hizo habari kitambo toka kwa madocta nguli wa huko mbele kama Dr Hyman mark na Dr berg ambao naamini nae kafatilia na kujifunza toka ktk makala za watu kama hao...
Na nadhani siku sio nyingi atakuja na maswala ya intermediate fasting pia jambo ambalo litakuwa zuri pia
Wapi?Hii imeendaa
Kabisa...Ukiishi kwa kufuata masharti ya wataalamu wa afya utajikuta unakua chizi
Ilo somo limeshatolewa sana na Dr Sebi. Na masomo mengi kuhusu misingi ya Afya ya binadamu. Nafikiri na wao wamemsoma Dr Sebi.Ameshatoa hili somo kwny channel yake YouTube Nadhani anawasikiliza sana Dr. Berg na Dr Jason Fang.
Yap ....Dr Erick BergAmeshatoa hili somo kwny channel yake YouTube Nadhani anawasikiliza sana Dr. Berg na Dr Jason Fang.
Nani kakasirika wewe matakoo au nawe ni wale wale mabwabwa na mazwazwa nyambaffMakasiriko ya nini Pimbi na Boya Wewe?
Intermittent fasting.Sidhani kama amefanya research yeye kama yeye ila nakubaliana na alichokisema kwani mesikia hizo habari kitambo toka kwa madocta nguli wa huko mbele kama Dr Hyman mark na Dr berg ambao naamini nae kafatilia na kujifunza toka ktk makala za watu kama hao...
Na nadhani siku sio nyingi atakuja na maswala ya intermediate fasting pia jambo ambalo litakuwa zuri pia
Kama unafanya mazoezi lita 5 bado ni chini. Asiyefanya ni fair akinywa lita 3 mpaka 5.Janabi nae fix tu.
Mpaka kusikia kiu maana yake ushauchelewesha mwili kuupa maji, si vyema kunywa maji eti baada ya kuhisi kiu.
Pili.
Maji mtu anakunywa kutokana na uzito wake.
Ni kweli lita 5 ni nyingi mnoo, lakini lita 2-3 inabidi tunywe kwa siku kwa mtu mzima.. hapo factor ya kazi(kuutumikisha mwili) tumeweka pembeni.
Umetoa elimu badala yangu! Upo Sahihi MkuuJanabi nae fix tu.
Mpaka kusikia kiu maana yake ushauchelewesha mwili kuupa maji, si vyema kunywa maji eti baada ya kuhisi kiu.
Pili.
Maji mtu anakunywa kutokana na uzito wake.
Ni kweli lita 5 ni nyingi mnoo, lakini lita 2-3 inabidi tunywe kwa siku kwa mtu mzima.. hapo factor ya kazi(kuutumikisha mwili) tumeweka pembeni.