Una mashaka na uelewa na medical doctor professor?Sidhani kama amefanya research yeye kama yeye ila nakubaliana na alichokisema kwani mesikia hizo habari kitambo toka kwa madocta nguli wa huko mbele kama Dr Hyman mark na Dr berg ambao naamini nae kafatilia na kujifunza toka ktk makala za watu kama hao...
Na nadhani siku sio nyingi atakuja na maswala ya intermediate fasting pia jambo ambalo litakuwa zuri pia
📌📌📌📌📌, Na,Ca etxMaji mengi yanaupotezea mwili madini muhimu wanasema it washes electrolytes... Vinginevyo unywe mineralsed water
wazee,"Unatakiwa kunywa Maji pale tu Mwili wako ukikuambia au ukijisikia kuwa una Kiu.
Na hata kama usiposikia Kiu na kutokunywa Maji bado Afya yako itakuwa imara.
Huwa nashangaa mno kuwaona na kuwasikia Watu wakisema kuwa Mwanadamu kwa Siku anatakiwa Kunywa Maji Lita 5 hii si sahihi na wengi wanaokunywa Maji ya Ujazo huo hujikuta wakiwa wameibua Magonjwa mengine Miilini mwao" amesema Profesa Mwenye Akili Nyingi Janabi muda mfupi tu uliopita alipokuwa Mubashara ( Live ) ITV na Radio One katika Kipindi nilichokisahau Jina ila Mtangazaji Miongozaji wake Julieth Robert kutokana na Urembo wake na Sauti yake tamu sijamsahau.
Haya sasa endeleeni tu Kufakamia Mimaji Lita 5 na Kubeba Michupa yenu hovyo barabarani kama Wendawazimu mkijidanganya kuwa mnaimarisha Afya zenu wakati akina GENTAMYCINE tunaokunywa Glasi Tatu ( 3 ) tu za Maji tunaendelea kuwa Werevu (Intelligents) na Afya zetu Kuimarika kila Uchao na Kuonekana bado ni Vijana wakati sasa tunaelekea Saa 12 Jioni.
Kazi Kwenu.
Word...Janabi nae fix tu.
Mpaka kusikia kiu maana yake ushauchelewesha mwili kuupa maji, si vyema kunywa maji eti baada ya kuhisi kiu.
Pili.
Maji mtu anakunywa kutokana na uzito wake.
Ni kweli lita 5 ni nyingi mnoo, lakini lita 2-3 inabidi tunywe kwa siku kwa mtu mzima.. hapo factor ya kazi(kuutumikisha mwili) tumeweka pembeni.
Hata yanayouzwa madukani yameongezwa madini. Kwahiyo hoja ya Janabi ni professorial rubbish.Huo ni uchaguzi binafsi kutokana na uelewa na budget ya mtu? Ila tap water sio distilled
Chief Wingi wa Maji unategemeana kati ya mtu na mtu, Umri,Uzito, Wingi wa shughuli au kazi anazofanya ,Na sehemu Ya kimazingira anayoishi..Nashukuru mkuu, japo maelezo ni mengi, jibu la swali langu hakuna.
Je wingi wa maji ni lita ngapi?
Ungesoma comment yangu ya kwaanza kabisa, hicho ulichoandika kimo mule.Chief Wingi wa Maji unategemeana kati ya mtu na mtu, Umri,Uzito, Wingi wa shughuli au kazi anazofanya ,Na sehemu Ya kimazingira anayoishi..
Mkuu unywaji wa mji mengi Husababisha Kitu kinachoitwa kitaalamu Water intoxication au Hyponatremia .....
Kwasababu unapokunywa maji zaidi ya mwili unachohitaji Unaenda kudilute Sodium na madini mwngine mwilini..
Sasa bahati mbaya kama wewe si mlaji wa vyakula vya kuongeza mineral (Balance diet) unaweza ukasababisha matatizo..
Alichosema GENTAMYCINE ni sahihi sana kwamba ni muhimu kusikiliza mwili wako nini unataka...Mwili kam ukitaka maji Utatoa signal na wewe utakunywa kwa ajili ya Hydration....
Kwa mfano una kilo 40,Una miaka 18 maji lita tano we ya nini?
Ni kweli, lakini kuna wataalam wanaoelekeza namna ya kunywa maji.Maji mengi yanaupotezea mwili madini muhimu wanasema it washes electrolytes... Vinginevyo unywe mineralsed water
Nakuunga mkono, unywaji wa maji uendane na uzito wako lakini pia tukumbuke tunatumia vinywaji vingine kama cola, soda au vileo ambavyo kwa namna au nyingine ni vyema tuzingatie unywaji wa maji ili tusiipe kazi sana figo katika kazi yakeJanabi nae fix tu.
Mpaka kusikia kiu maana yake ushauchelewesha mwili kuupa maji, si vyema kunywa maji eti baada ya kuhisi kiu.
Pili.
Maji mtu anakunywa kutokana na uzito wake.
Ni kweli lita 5 ni nyingi mnoo, lakini lita 2-3 inabidi tunywe kwa siku kwa mtu mzima.. hapo factor ya kazi(kuutumikisha mwili) tumeweka pembeni.
Ni sahihi kabisa mkuuNakuunga mkono, unywaji wa maji uendane na uzito wako lakini pia tukumbuke tunatumia vinywaji vingine kama cola, soda au vileo ambavyo kwa namna au nyingine ni vyema tuzingatie unywaji wa maji ili tusiipe kazi sana figo katika kazi yake
Unakuta mtu anapiga liquid chupa hata nane kwa siku na zaidi! , Kweli na hapo unywe maji vikombe viwili??
nashukuru nimefahamu. Ila kuna matumizi ya water therapy wale wa asubuhi.Ni kweli, lakini kuna wataalam wanaoelekeza namna ya kunywa maji.
wanasema lita 1 ya maji unatakiwa uinywe ndani ya masaa 4, na usinywe kwa mkupuo, kunywa kiasi cha kizibo cha maji kwa wakati mmoja mara kwa mara ndani ya masaa 4. Kwa style hii maji mengi yanabaki mwilini na unaweza usiyatoe kabisa.
Nimekuelewa Sana uko sahihi na kingine kuhusu Tanzania Asilimia kubwa Sana Hatuna Mineral Water..Ungesoma comment yangu ya kwaanza kabisa, hicho ulichoandika kimo mule.
Naunga mkono unywaji wa maji kutokana na kilo zako.. ila usinywe mpaka upate kiu kwa maisha yetu haya mbona mtihani saana.
Dr. Nipe hasara za mtu asiyekunywa maji..
Hapo tumeelewana mkuu.Nimekuelewa Sana uko sahihi na kingine kuhusu Tanzania Asilimia kubwa Sana Hatuna Mineral Water..
all we have is Purified water.
na ndo maana utakuwa Sijui Afya pure water ,Kili pure water e.tc..
Na ndo Maana pengine amegusa Kundi la watu wengi Tanzania wanaotumia Tap water,Purifying water na Distillied water..
Hasara za mtu asiyekunywa Maji cha kwanza kuliko vyote Ni Dehydration hivyo vingine vinavyofuatia ni complication ya Dehydration
Tusifike huku tafadhali kwani hahusiki.Professional janabi huyu muuaji wa jiwe?,au anataka na sisi atuwahisheee!?
Unaniletea lini tena 'Nyabenga' lako hilo ili 'Nikunukudi' kama kawaida yangu?Nani kakasirika wewe matakoo au nawe ni wale wale mabwabwa na mazwazwa nyambaff
Mkuu hapa mbona umetushupalia sana! Japo hii elimu tumepata kweli, si unajua ujinga bado ni mwingi na shule zetu nyingi ni za kuingia darasani! 😄GENTAMYCINE tunaokunywa Glasi Tatu ( 3 ) tu za Maji tunaendelea kuwa Werevu (Intelligents) na Afya zetu Kuimarika kila Uchao na Kuonekana bado ni Vijana wakati sasa tunaelekea Saa 12 Jioni.