Tueleweshe vizuri. Kama kusema tunadai try. 360 ilikuwa mbinu ya majadliano, je, kutuaminisha juice ya Madagascar inatibu corona ilikuwa mbinu ya nini? Au kudanganya mbuzi, papai na oil zimekutwa na corona ilikuwa mbinu ya nini?I agree, 360 trillions Tshs ilikuwa mbinu za majadiliano, ili waweze kupata walicho plan kwenye majadiliano yale, kumbuka Barrick Gold yale ni mabeberu haswa ya dunia hii, yaani majambazi makuu, sasa mbinu za majadiliano lazima ziwe kubwa mno...
A. NdiyoWewe ni kada wa CCM?
Nani?Kabudi au mtoa maoni?Freaking moron.
Ni kweli huenda alikuwa na lengo hili, lakini je hii ilikuwa Ndiyo taaluma na namna sahihi ya kushughulikia tatizo hili linalogusa masuala ya kidiplomasia?Yuko sahihi, ni sawa na mfanyabiashara anayeweka cha juu ili ukija kulia akupunguzie bei bado usishuke chini ya target yake, muhimu ijulikane hicho kilichopatikana hapo hata kama kidogo, bado hakikutegemewa kupatikana.
Kwenye madai ambayo hayakuwepo, ni fiction, hiyo pesa kwangu ni nyingi sana, bado naendelea kumpongeza Kabudi.Target ya trillion 360 ili kupata billion 700 (something less than 6% out of 100%) ambazo haziwezi kuwa enforced- Just a favor? Ni ujinga mtupu kwa macho ya mwenye akili.
Pale hapakuwepo na pesa halali, ni sound tupu.Haikuwezekana kudai pesa halali tukalipwa?
Mfanyabiashara umtajie mteja bei ni milioni 36 kisha uwaaminishe dunia nzima na kupiga risasi waliokukosoa kisha uje ukubali elfu 70, kweli? Mbinu?Yuko sahihi, ni sawa na mfanyabiashara anayeweka cha juu ili ukija kulia akupunguzie bei bado usishuke chini ya target yake, muhimu ijulikane hicho kilichopatikana hapo hata kama kidogo, bado hakikutegemewa kupatikana.
Hata duka la mangi hataji tu bei hovyo hovyo, ni bei ya kununulia anajumlisha na faida yake ambayo mteja anaweza ku afford, hata kama kuna punguzo ni kidogo sanaKwa kawaida kodi hukokotolewa (calculated) sasa cha juu inawekwaje kwenye calculation?! Siyo kama bei ya duka la Mangi ambapo bei hutamkwa tu.
Kama hao jamaa waliona wameonewa kwanini hawakulalamika badala yake wakatupa kidogo chake, kwa hii hatua yao nao iliwafanya wakakubali kushiriki huo utapeli, kwangu nao wanastahili lawama.Ni kweli huenda alikuwa na lengo hili, lakini je hii ilikuwa Ndiyo taaluma na namna sahihi ya kushughulikia tatizo hili linalogusa masuala ya kidiplomasia?
Kwa hiyo Lissu alikuwa sahihi kusema "rubbish"???Yuko sahihi, ni sawa na mfanyabiashara anayeweka cha juu ili ukija kulia akupunguzie bei bado usishuke chini ya target yake, muhimu ijulikane hicho kilichopatikana hapo hata kama kidogo, bado hakikutegemewa kupatikana.
Too badPale hapakuwepo na pesa halali, ni sound tupu.
Kibongo bongo ni sawa, kama vile mtu anauza kitu elf 25 mwisho unanunua elfu 3.
Si tulipewa zile 700b? Na hisa 16%, umesahau?
Kibongo bongo ni kama mtu unamtajia bei ya kitu ni milioni 36 kisha unakuja kumuuzia elfu 70Kibongo bongo ni sawa, kama vile mtu anauza kitu elf 25 mwisho unanunua elfu 3.
Si tulipewa zile 700b? Na hisa 16%, umesahau?
Huu ni uthibitisho kwamba JPM alikuwa anaendesha nchi kwa ulaghai, utapeli, uzandiki, na propaganda. Alizungukwa na waongo na wanafiki, na yeye alipenda uongo na unafiki.
Ajabu mpaka Leo Kuna mijitu mijinga inaendelea kuimba ujinga wa awamu ya tano. Anajifanya kupambana na ufisadi huku pembeni ana Makonda, na Sabaya. Tenda za kujenga stiglers, sub contractors wote ni vikampuni vyake, pamoja na inner cycle yake. Wenye vikampuni hivyo ndio wanapiga mdomo sana kuhusu mradi, kwa sababu wamekaa pale wananyonya nchi. Akina polepole, ana kikampuni pale kina tenda, kinafiki anajifanya mzalendo kuupenda mradi, nyuma ya pazia ana kampuni inakula Hela zetu pale stiglers.
Stendi ya Magufuli Mbezi, kikampuni chake, kimevuta Hela, na stendi hakijaimaliza, inabidi Hela itafutwe kwingine, masoko mapya nchi nzima, stendi ya nyamhongolo, barabara za Kanda ya ziwa via mayanga construction, barabara ya kigoma inayojemgwa na nyanza road, kampuni ambayo ana hisa, imejengwa miaka zaidi ya 20 haiishi huku akiwa bize kufutia ukandarasi kampuni za wenzake.
Wafanyakazi anatimua timua huku wale wa Chato wakiajiriwa bila interview na kujazwa serikalini.
Uwanja wa ndege Chato, imejenga kampuni yake, hospitali ya Kanda Chato...endless list.
Hakuna utawala mchafu kama wa awamu ya JPM.
Miradi mingi ya ujenzi wa madaraja na barabara ni kampuni za JPM lakini alikuwa anawapachika wachina.
Oohh masikini na wanyonge, jitu limejaza matrilioni kwenye akaunti za Siri, mfugale anaulizwa hizi Hela vipi, badala ya kujibu, na yeye anakufa
Sasa hao jamaa wa mgodi wakaidai bilioni 700 ambayo waliilipa kupitia professorial rubbish
Wenye akili walimwelewa na hadi sasa wanamwelewa kabudi. Wajinga ndio hawaelewi.Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.
Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".
======
View attachment 2376614
- Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
- Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
- Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
- Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.
Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022
Lissu alipinga mno zile ripoti huenda aliona kasoro ila akahukumiwa kumiminiwa risasi.Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.
Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".
Huenda Lissu hakuwa mbali sana na ukweli.Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.
Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".
======
View attachment 2376614
- Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
- Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
- Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
- Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.
Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022