Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

I agree, 360 trillions Tshs ilikuwa mbinu za majadiliano, ili waweze kupata walicho plan kwenye majadiliano yale, kumbuka Barrick Gold yale ni mabeberu haswa ya dunia hii, yaani majambazi makuu, sasa mbinu za majadiliano lazima ziwe kubwa mno...
Tueleweshe vizuri. Kama kusema tunadai try. 360 ilikuwa mbinu ya majadliano, je, kutuaminisha juice ya Madagascar inatibu corona ilikuwa mbinu ya nini? Au kudanganya mbuzi, papai na oil zimekutwa na corona ilikuwa mbinu ya nini?
 
Maana yake ni kwamba hii nchi inaongozwa kwa ulaghai, uwongo na kwa ujinga mkubwa.

Hilo la trillion 360 mmeambiwa na profesa jalala ilikuwa ni uwongo, je kuna mangapi ambayo yamekuwa ya uwongo, na hawajakiri kwa sababu hamjahoji?

Kwa ujumla, awamu ya 5, ilikuwa ni ya uongozi na hadaa, na wajinga/wendawazimu waliokotwa sana kwa zile hadiyhi. Sisi wengine tulijua kutoka mwanzo kuwa ulikuwa ni uwongo na uwendawazimu kusema kuwa Acacia walikuwa wanadaiwa kodi ya ya sh. Trilion 360. Mpumb.avu pekee yake ndiye angeweza kuamini. Ni sawa uambiwe kuwa kuna mwizi ameiba tani 1000 za cement, amekutwa amezipakia kwenye guta,na wewe ukaamini. Wewe utakayeamini ni lazima uwe mwendawazimu.

Wote walioamini kuwa Acacia walikuwa wanadaiwa sh trilioni 360, hakika wote, wana uwendawazimu wa aina fulani.

Hata bilioni 700 walizokubali Barrick kuipa Tanzania ndani ya miaka 7, walitamka wazi kuwa ni msaada, wala siyo deni la kodi, na haitalipwa mara moja.

Hata ukiangalia ule mkataba wa Barrick na Swrikali, utagundua kuwa, mwishoni ni Serikali ndiyo iliyoamua kuibembeleza Barrick, ndiyo maana Barrick ilitoa masharti magumu, na Serikali ikaridhia.

Awamu ile iliwatumia maprofesa punguani kuwahadaa wajinga na neno 'profesa', kumbe ni maprofesa wa hadaa.
 
Wewe ni kada wa CCM?
A. Ndiyo
B. Siyo
C. Sijui
D. Chagua kati ya A, B na C.

By the way, swali lako liko nje ya mada na nje ya maelezo uliyo - quote. Utakuwa una upungufu wa sehemu ya ubongo ya kuchakata muunganiko wa maneno.
 
Yuko sahihi, ni sawa na mfanyabiashara anayeweka cha juu ili ukija kulia akupunguzie bei bado usishuke chini ya target yake, muhimu ijulikane hicho kilichopatikana hapo hata kama kidogo, bado hakikutegemewa kupatikana.
Ni kweli huenda alikuwa na lengo hili, lakini je hii ilikuwa Ndiyo taaluma na namna sahihi ya kushughulikia tatizo hili linalogusa masuala ya kidiplomasia?
 
Target ya trillion 360 ili kupata billion 700 (something less than 6% out of 100%) ambazo haziwezi kuwa enforced- Just a favor? Ni ujinga mtupu kwa macho ya mwenye akili.
Kwenye madai ambayo hayakuwepo, ni fiction, hiyo pesa kwangu ni nyingi sana, bado naendelea kumpongeza Kabudi.
 
Yuko sahihi, ni sawa na mfanyabiashara anayeweka cha juu ili ukija kulia akupunguzie bei bado usishuke chini ya target yake, muhimu ijulikane hicho kilichopatikana hapo hata kama kidogo, bado hakikutegemewa kupatikana.
Mfanyabiashara umtajie mteja bei ni milioni 36 kisha uwaaminishe dunia nzima na kupiga risasi waliokukosoa kisha uje ukubali elfu 70, kweli? Mbinu?
Kwa kawaida kodi hukokotolewa (calculated) sasa cha juu inawekwaje kwenye calculation?! Siyo kama bei ya duka la Mangi ambapo bei hutamkwa tu.
Hata duka la mangi hataji tu bei hovyo hovyo, ni bei ya kununulia anajumlisha na faida yake ambayo mteja anaweza ku afford, hata kama kuna punguzo ni kidogo sana
Sio milioni 36 kwa elfu 70
 
Ni kweli huenda alikuwa na lengo hili, lakini je hii ilikuwa Ndiyo taaluma na namna sahihi ya kushughulikia tatizo hili linalogusa masuala ya kidiplomasia?
Kama hao jamaa waliona wameonewa kwanini hawakulalamika badala yake wakatupa kidogo chake, kwa hii hatua yao nao iliwafanya wakakubali kushiriki huo utapeli, kwangu nao wanastahili lawama.
 
Kwa hiyo Kabudi ametuthibitishia leo kwa niaba ya serikali ya Tanzania kuwa hiyo ripoti ya makinikia iliyosema TZ tunawadai Barrick zaidi ya 300Trilion ilikuwa ni Uongo na Ulaghai wa kutafuta kuvuna pesa za mabeberu kwa njia haramu.

Kuna haja ya kwenda Chato kulipiga pingu kaburi la Magufuli na kulitandika viboko au kuligeuza choo cha umma cha kitaifa ili watu wawe wanakwenda kujisaidia haja kubwa na ndogo kitaifa.
 
Kibongo bongo ni sawa, kama vile mtu anauza kitu elf 25 mwisho unanunua elfu 3.
Si tulipewa zile 700b? Na hisa 16%, umesahau?

Kama hicho kiwango alichosema anakiri ilikuwa uongo, una uhakika gani kuwa tulipewa hizi 700b, na hisa 16%? Tulikuwa tunasema kila siku kubwa Magufuli alikuwa rais muongo na mpika data mkubwa, sasa mitume wake wanaanza kujitokeza kudhibitisha tulichokuwa tunasema.
 
Kibongo bongo ni sawa, kama vile mtu anauza kitu elf 25 mwisho unanunua elfu 3.
Si tulipewa zile 700b? Na hisa 16%, umesahau?
Kibongo bongo ni kama mtu unamtajia bei ya kitu ni milioni 36 kisha unakuja kumuuzia elfu 70
 
Huu ni uthibitisho kwamba JPM alikuwa anaendesha nchi kwa ulaghai, utapeli, uzandiki, na propaganda. Alizungukwa na waongo na wanafiki, na yeye alipenda uongo na unafiki.

Ajabu mpaka Leo Kuna mijitu mijinga inaendelea kuimba ujinga wa awamu ya tano. Anajifanya kupambana na ufisadi huku pembeni ana Makonda, na Sabaya. Tenda za kujenga stiglers, sub contractors wote ni vikampuni vyake, pamoja na inner cycle yake. Wenye vikampuni hivyo ndio wanapiga mdomo sana kuhusu mradi, kwa sababu wamekaa pale wananyonya nchi. Akina polepole, ana kikampuni pale kina tenda, kinafiki anajifanya mzalendo kuupenda mradi, nyuma ya pazia ana kampuni inakula Hela zetu pale stiglers.

Stendi ya Magufuli Mbezi, kikampuni chake, kimevuta Hela, na stendi hakijaimaliza, inabidi Hela itafutwe kwingine, masoko mapya nchi nzima, stendi ya nyamhongolo, barabara za Kanda ya ziwa via mayanga construction, barabara ya kigoma inayojemgwa na nyanza road, kampuni ambayo ana hisa, imejengwa miaka zaidi ya 20 haiishi huku akiwa bize kufutia ukandarasi kampuni za wenzake.

Wafanyakazi anatimua timua huku wale wa Chato wakiajiriwa bila interview na kujazwa serikalini.

Uwanja wa ndege Chato, imejenga kampuni yake, hospitali ya Kanda Chato...endless list.

Hakuna utawala mchafu kama wa awamu ya JPM.

Miradi mingi ya ujenzi wa madaraja na barabara ni kampuni za JPM lakini alikuwa anawapachika wachina.

Oohh masikini na wanyonge, jitu limejaza matrilioni kwenye akaunti za Siri, mfugale anaulizwa hizi Hela vipi, badala ya kujibu, na yeye anakufa

Sasa hao jamaa wa mgodi wakaidai bilioni 700 ambayo waliilipa kupitia professorial rubbish

Huu wizi ndio unaitwa siri za serikali!
 
Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.

Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".

======

View attachment 2376614

  • Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
  • Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
  • Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
  • Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.

Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022
Wenye akili walimwelewa na hadi sasa wanamwelewa kabudi. Wajinga ndio hawaelewi.
Kuna kitu 'mbinu za majadiliano' kwa wale lazima kitu kielezwe kwa kingereza ndio wakubali kuna fani..negotiation skills, strategy etc, etc. Nendeni mkamueleze huyo kichaa lissu aliyediriki hadi kumdharau mwalimu wake wa sheria chuo kikuu Prof Kabudi.
 
Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.

Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".
Lissu alipinga mno zile ripoti huenda aliona kasoro ila akahukumiwa kumiminiwa risasi.
JokaKuu Tindo Mag3 zitto junior
Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.

Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".

======

View attachment 2376614

  • Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
  • Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
  • Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
  • Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.

Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022
Huenda Lissu hakuwa mbali sana na ukweli.
JokaKuu Mag3 zitto junior Nguruvi3 Tindo Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom