Profesa Lipumba: Rais Samia atashinda kwa kishindo urais 2025

Profesa Lipumba: Rais Samia atashinda kwa kishindo urais 2025

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Mwenyekiti wa chama cha wananchi Cuf Prof Lipumba alipopewa nafasi ya kuzungumza kwenye mkutano wa hadhara mkoani Tabora amemhakikishia Rais Samia kuwa uchaguzi mkuu ujao wa 2025 atashinda kwa kishindo na wapinzani wanaojaribu kumpinga wanapoteza muda tu wao kwani watanzania wanamwelewa mno kwa kazi anazofanya.

 
Wapinzani wote wamelambishwa asali. Hata Mrema ni mpinzani lakini kila mkutano wa CCM yupo, yule mwingine anasema msifanye siasa za kuitukana serikali, kweli wananchi tu ndo hawajalamba asali.
 
Wapinzani wote wamelambishwa asali. Hata Mrema ni mpinzani lakini kila mkutano wa CCM yupo, yule mwingine anasema msifanye siasa za kuitukana serikali, kweli wananchi tu ndo hawajalamba asali.

Acha uongo, alisema tusiwatukane wapinzani wenzetu. Usilishe watu maneno. Halafu hivi mtu kusema usiitukane serikali ni vibaya?.
 
Kama hakuna upinzani kwanini walichafua chaguzi za 2019 na 2020?. Upinzani hauko defined na wachumia tumbo akina Lipumba ambao walishirikiana na CCM kupambana na Maalim Seif.
Unahisi hata wasingefanya hivyo wangeshindwa? Unahisi mama Samia akigombea hatashinda?
Ukweli unajulikana, japo na mm sipendi sana kuusikia
 
Chama chake kitasimamisha mgombea? Hata hivyo CUF bila Seif ni takataka tu.
 
Iko hivi, kama rais ni muislamu ,CUF na ACT huwa kimya. Subiri aje wa bikira Maria mama wa Yesu utawaona.

Tunatakiwa kuukemea udini kwa namna zote na kuulaani.
 
Itakuwa yeye ameamua kutotaka na hivyo atakivunja Chama chake rasmi kwani hakina malengo Tena 🚶
 
Back
Top Bottom