Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

Huu upumbavu wa kumjadili mtoa hoja badala ya kujadili hoja ndiyo umetufikisha kwenye huu upumbavu unaolitafuna taifa. Hebu mpinge kwa hoja zake labda unaweza kuwa na mawazo bora zaidi, vinginevyo shut up.

hoja inapokuwa dhaifu ndipo anapogeukiwa mleta hoja.

huwezi simamisha kengere mbili unaponda ufuaji wa umeme kwa njia ya maji.
 
Tundu Lissu, Muhongo, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Sasa Lissu anaingiaje hapo wakati serikali ni ya CCM na ilani ni ya CCM!

Unless una maana CCM ing'olewe ikifeli hiyo 2025!! Maana Lissu hapitishi bajeti wala kusaini mkataba ufutwe.
 
Ethiopia wako kwwnye conflict na Egypt kwa sababu ya grand Ethiopian Dam, na wenyewe wamekurupuka? Au hawana maono?
Hao wafanyabiashara watano uliowataja ndio tunawategemea waendeleze mradi wa SGR?
 
Huyu Professa aliebariki michongo ya IPTL leo ndio anaishauri serikali
Tukiwa objective Muhongo ameongea ukweli kabisa sema tu mtoa mada kachukua Kipande kinachofit maslahi yake.

Kaongelea 4th Industrial revolution na jinsi energy mix yaani maji yawepo ila gesi, geothermal, na wind n.k ziwepo pia.

Muhongo leo kaongea kama professor
 
Kaka hiyo gas yenyewe iko wapi kaka, gas ile tulisha pigwa tangu enzi za mkwere hakuna gas kule ile ni mali ya watu. Magu ameingia kakuta tayari hakuna chetu kule ndio mana akaona bora aje na huo mradi wa umeme wa maji.

Unaposema nchi haina sera maalum ni kweli sikupingi na sababu kubwa ni hawa viongozi wenye tamaa za kifisi fisi.

Wafute tu miradi yote waanzishe mipya wapige hela
 
Nasubiri kumsikia Andrew Chenge na Jaji Werema, yule mwindaji wa Tumbili.
 
Kwani ameongelea reli mkuu??? Hivo vinu vya stigler gorge life span yake ni miaka mingapi compared na pesa iliyowekezwa??? Uchumi wa dunia unahama kutoka hydro power plants inahamia kwenye gesi na nuclear sisi tunawekeza trillions of money kwa vitu ambavyo lifespan yake haitafika 30 yrs to come!! Hicho kinachofanyika sasa kilitakiwa kifanyike miaka 50 iliyopita.
 
Gesi ya nchi hii inakuaje mali ya watu??? Kama rais aliingia madarakani akakuta tayari gesi ya mtwara ni mali ya watu ni akina Nan hao ambao alishindwa kuwatambua mpaka aanzishe mradi mwingine ambao pengine alikua na maslahi nao!! Kwani tukisema rais wenu alikua dhaifu tunakosea???
 
Nadhani kwa waliona uwezo wa ku-google wafanye hivyo ili kuthibitisha usemi wake,naona kila aliyekuwa na visasi moyoni
anaanza kutema cheche.
 
Mkuu King Bill,

Nakuhakikishia, bila wasiwasi wowote, wewe na mimi tuweke huo mjadala hapa kuhusu uwekezaji wa aina hiyo.

Hapo utakuwa na haki ya kusema "hata matumizi makubwa ya nickel na graphite" siyajui.

Ni kipi hasa kilichokufanya uwe na uhakika kwamba matumizi ya madini hayo siujui? Wewe ni kipi ulichoweka hapa kuonyesha kwamba unao ujuzi wa matumizi yake.

Nakupa changamoto, anza huo mjadala hapa tuuchangie, tuone kisichoweza kufanyika kwa kutumia hayo madini na mengine zaidi ya hayo.
 
More than 70,000 MW of hydropower have already been developed in Canada. Approximately 475 hydroelectric generating plants across the country produce an average of 355 terawatt-hours per year — one terawatt-hour represents enough electricity to heat and power 40,000 houses.(HUKU NI CANADA,KWA WADAU WETU WA MAENDELEO)
Sisi tunataka tuanze na kujenga ghorofa wakati hata mbavu za mbwa hatuna uwezo wa kuijenga?
maprofesa hebu kuweni walinzi wa taaluma zenu
 
Na kama anasema umeme wa maji umepitwa na wakati aulize Misri na Sudan na Ethiopia wanazozania gesi ya mto Nile?

Mpumbavu sana huyu Prof.

Na hii inatokana na kuwadharau Watanzania. Wanadhani hatujui dunia ilipo.
Muhongo na jiwe alidharau wataz

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…