Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Wanatumia jina la Chadema kutapeli wananchi na serikali,kama wanaweza waitwe wabunge binafsi au wa mahakama ili wajitenge na Jina la ChademaHv chadema wanapata hasara kiasi gani hawa wabunge wakiwepo bungeni.?