Hizi wiki mbili design kama umeme unakatikaka hovyohovyo tu mara kwa maraAcheni kelele, anzeni kusafisha Machemli kwa Walalahoi wenzangu, wale wa daraja la kati anzeni kuangalia angalia Majenereta yenu yapo sawa!
Wewe pia hapa na ujinga wako! Balozi ana law firm ambayo inatetea kampuni zinazoishitaki Tanesco, huyo mama huoni kuwa katika Bodi ya tanesco si sahihi? Je, vetting imefanyika Sawa? Au kwa vile walimwajiri Ridiwani Kikwete wakati huoNaomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya shivji? Yule trump aliyekuwa rais wa marekani ana biashara dunia nzima, vp nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?
Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof shivji angekuja na maoni haya pia?!!
Tatizo nilionalo mimi ni huko kuingiza watu ambao ama tayari wanasemwa semwa kwa kutilia shaka uadilifu wao au wale ambao kutokana na mgongano wa kimaslahi wanaweza...
Mkuu BIG BRAIN kwa wizi wa mali ya umma!Ulikuwa ni uongo, Tanesco ni dili japo WAnapata hasara kubwa kila mwaka billions, lakini katika ulaji kwa maana ya manunuzi Kuna pesa nyingi mno, entity zinazoongoza kwa zabuni za pesa mingi nchi hii NI
1. Tanroad
2.Taneaco
3.REA
SASA KAMA UKIWEZA KUCONTROL HIZO 2, 3 UKAWEKA WATU WAKO ULAJI NJE NJE, MAKAMBA NI BIG BRAIN
WaTanzania hamueleweki!! Kuna thread ipo humu ikidai TANZANIA inahitaji watu wa private sector wenye exposure ndio wasimamie taasisi za umma ili ziwe na ufanisi. Leo tena oooh wafanya biashara wasiwe kwenye kusimamia hizi taasisi? Which is which.Msomi wa kiwango cha kimataifa wa Tanzania, Profesa Shivji ameshangazwa na kitendo cha wafanya biashara kuchaguliwa kuongoza taasisi za umma...
Naomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya shivji? Yule trump aliyekuwa rais wa marekani ana biashara dunia nzima, vp nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?
Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof shivji angekuja na maoni haya pia?!!
Usiwaweke Watanzania wote kwenye kapu moja la ujinga na akili ndogo.WaTanzania hamueleweki!! Kuna thread ipo humu ikidai TZ inahitaji watu wa private sector wenye exposure ndio wasimamie taasisi za umma ili ziwe na ufanisi...
Nimecheka kama mazuriAcheni kelele, anzeni kusafisha Machemli kwa Walalahoi wenzangu, wale wa daraja la kati anzeni kuangalia angalia Majenereta yenu yapo sawa!
hangaya kilaza.Huyu bibi huwa hata hausiki kwenye teuzi, yeye kazi yake ni kusaini tu, nadhani ingekuwa vyema angejiuzulu kabisa maana hakuna kitu cha maana anafanya
Hiyo ni "Pi" kwa sasa, reliability ya umeme imeshuka sana kuliko huko tulikotoka.Hizi wiki mbili design kama umeme unakatikaka hovyohovyo tu mara kwa mara
Nimecheka kama mazuri
Hiyo ya Rex Attorney kuwa ni wanasheria wa Dowans na Symbio ktk kesi dhidi ya Tanesco. Hapa kuna shida sana kwenye vetting ya board members kabla ya kuteuliwaMsomi wa kiwango cha kimataifa wa Tanzania, Profesa Shivji ameshangazwa na kitendo cha wafanya biashara kuchaguliwa kuongoza taasisi za umma.
Shivji anasema sekta ya umma haiwezi kuchangamana na sekta binafsi.
Sisi wengine tumeshangazwa na uteuzi wa wafanya biashara na watu wenye maslahi binafsi kwenye bodi ya TANESCO. Yule mama Balozi ndie mwanzilishi mwenza wa kampuni ya Rex Attorneys ambao wanaiwakilisha Dowans na Symbion kwenye kesi ambazo TANESCO inashitakiwa na hayo makampuni halafu anateuliwa kuwa board member.
Unaweza kusoma mwenyewe hapa.
Hatari snhangaya kilaza.
Watu wana maslai binafsi na tanesco waendelee kunemeka tunahitaji katiba mpyaMsomi wa kiwango cha kimataifa wa Tanzania, Profesa Shivji ameshangazwa na kitendo cha wafanya biashara kuchaguliwa kuongoza taasisi za umma.
Shivji anasema sekta ya umma haiwezi kuchangamana na sekta binafsi.
Sisi wengine tumeshangazwa na uteuzi wa wafanya biashara na watu wenye maslahi binafsi kwenye bodi ya TANESCO. Yule mama Balozi ndie mwanzilishi mwenza wa kampuni ya Rex Attorneys ambao wanaiwakilisha Dowans na Symbion kwenye kesi ambazo TANESCO inashitakiwa na hayo makampuni halafu anateuliwa kuwa board member.
Unaweza kusoma mwenyewe hapa.
Kufikiri alikuwa sahihi kwa sababu hiyo ni kutokuwa na uwezo wa kufikiri kama sio kukosa akiliWaTanzania hamueleweki!! Kuna thread ipo humu ikidai TZ inahitaji watu wa private sector wenye exposure ndio wasimamie taasisi za umma ili ziwe na ufanisi..... Leo tena oooh wafanya biashara wasiwe kwenye kusimamia hizi taasisi?? Which is which.
Muda mwingine naona Magufuli alikua sahihi tu kufanya alichojisikia yeye hata kama ni mistake sababu waTZ hawaeleweki wanataka nini.
Ingawa unalindwa na katiba kutoa maoni ila hapa umeandika pumba hazifai kulishwa nguruweNaomba nielimishwe kidogo, hilo lipo katika katiba au ni mawazo binafsi ya Shivji? Yule Trump aliyekuwa Rais wa Marekani ana biashara dunia nzima, Vipi nchi iliathirika na ubiashara wake au ya kule nisiyahusishe na huku kwetu wenye nyeusi ngozi?
Mbowe ni mfanyabiashara na aliwahi kugombea uraisi, vipi km angepata Prof Shivji angekuja na maoni haya pia?!!
Mkuu tatizo ni aina ya watu, unakumbuka issue ya huyu mama Maajar? Kipindi kile Cha Dowans na TanescoWaTanzania hamueleweki!! Kuna thread ipo humu ikidai TZ inahitaji watu wa private sector wenye exposure ndio wasimamie taasisi za umma ili ziwe na ufanisi..... Leo tena oooh wafanya biashara wasiwe kwenye kusimamia hizi taasisi?? Which is which.
Muda mwingine naona Magufuli alikua sahihi tu kufanya alichojisikia yeye hata kama ni mistake sababu waTZ hawaeleweki wanataka nini.