Profesa Shivji ashangazwa na uteuzi wa wafanyabiashara kwenye uongozi wa TANESCO

Ndugu yangu, hiyo adhabu ya sasa ya miezi 15 aliyopewa Zuma si ya kesi ya msingi ya ufisadi ambayo bado inamsubiri, ila hii ni kwa kushindwa na kukataa ku'appear kwenye Zondo Commission' iliyokuwa inachunguza tuhuma za State Capture' ya mfanyabiashara Gupta,aliyekuwa kama ndo ana remote control serikali na ANC atakavyo,kwenye kila sekta...Kesi ya msingi ya ufisadi kwa Zuma bado inamsubiri....
Sawa nimekuelewa lakini si kwa kuirejea afrika kusini. Niirejee nchi ambayo fisadi Zuma anafungwa miezi 15?!!! Utofauti uko wapi na kutofungwa?
 
Magufuli alikuwa shetani ameondoka na damu nyingi sana za watu adhabu yake anatakiwa maiti yake imwagiwe tindikali au ichomwe na gesi ipotee kabisa kwa ardhi ya nchi hii.
Damu za majambazi/mafisadi na wagonjwa waliokufa kwa kukosa kufanyiwa operation kisa mgao wa umeme zipi nyingi…
 
Kwanini wasimamie mali za UMMA kwanini wasitengeneze zao zifanye kazi kwa manufaa ya UMMA ? Ni sawa sawa unampa mtu kisima cha kijiji ili asimamie ugawaji maji wakati ungeweza kumuacha achimbe chake na auze kwa manufaa yake na ya UMMA, Practically ukimuachia huyu kuna uwezekano ataweka mfereji upeleke kwenye kisima chake ili auze...,
 
Alaa kumbe! Hapo sawa!
 
You could be right. Tatizo kubwa la utendaji wa mashirika ya umma Tanzania halitokani sana na incompetence ya watendaji wala BOD. Bali ni viongozi wa kisiasa wenye hulka ya ufisadi. Power sekta imeteseka sana na hili. Ni juzi tu tumetoka “kufunika” suala la Tegeta Escrow (ambalo suspected top villains ndio hao hao). Ndio maana wamehakikisha hakuna kesi mahakamani. Zipo scandals nyingine zilivyofunikwa hivyo hivyo.

Hata uweke private sekta yote kwenye mgt na BOD ya TANESCO kama viongozi wa juu kisiasa wamelenga kufanya yao kama walivyofanya kupitia IPTL sahau habari ya ufanisi. Hapa, baadhi ya wateule kwenye hiyo BOD wanatia shaka mapema kwamba wana conflict of interest.

Labda pengine tusihangaike sana na hilo. Tupiganie kwanza katiba itakayodhibiti mikono ya wanasiasa kuingilia moja kwa moja shughuli za utendaji za mashirika ya umma na kutengeneza mazingira ya “state capture” ili kufanikisha ufisadi mkubwa.
 
Kujiandaa na service charge kila mwazi kwenye manunuzi ya umeme
 
Tanesco haijawahi kujiendesha kibiashara
Ndiyo maana ukinunua umeme kuna 3% ya REA
 
Tumepigwa tena!!! Ivi ni kweli mama samia hajui ichi anachokifanya? Huu ni usumbufuwa kiwango cha lami na nilijua kumleta makamba kwenye hii wizara wana leo jambo Mungu ibariki Tanzania
 
Acheni kelele, anzeni kusafisha Machemli kwa Walalahoi wenzangu, wale wa daraja la kati anzeni kuangalia angalia Majenereta yenu yapo sawa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaah ukweli unao umiza.
 
Kwahyo marekani ndio Tanzania
 
Kuendesha TANESCO kibiashara inahitaji usimamizi wa professionals siyo ma cadre wa chama.
 
Halafu eti nae anatarajia kuingia ulingoni twenty twenty five!!
Hatoamini macho yake akipa 2% ashukuru Mungu, kama mbowe hata gombea nitachora hata panya kwenye hilo karatasi
 
Hivi huyo profesa ana mchango gani kwenye nchi hii mpaka sasa au analeta siasa zake za kikomunisti. Atupishe tujenge nchi
Bila shaka hata ukiambiwa kalia msumari utakalia. Maana kichwani uko black (..)
 
Kuna Old and Modern era's kikubwa tusubiri ufanisi ndio tupime
 
Waza maendeleo ya nchi usiwe uchaguzi kila wakati
Maendelea gani ndugu yangu sasa hivi hakuna maendelea ya nchi tena maana kinachotwa kwa maskini kinapelekwa kwa mafisadi. Tunaye mtegemea atutete anarembua macho tuu.
 
Mkuu kasome market structure na competition law/policy. Umeme ukiuzwa na private sector pekee kwa bei ya soko sidhani kama utakua una uwezo wa kulipa hizo bili. Hapo TANESCO yenyewe inauza umeme chini ya bei ya soko so bila kulindwa kwa monopoly yake then itabidi iende kibiashara zaidi ili ibaki sokoni so atakayeumia ni mteja unless iwe na business line pembeni inayoweza kuwa feeder ya kutoa pato la kucover gharama za uzalishaji!!

Btw mfano wako sio relevant maana wanasiasa 90% wanamiliki biashara hku uraiani mbona hawapigwi marufuku kuwa viongozi?
 
Ata bado kazi hawaja anza washaanza kukumbana na sekeseke
 
Ni hakika kabisa watu walio na exposure wanastahili lakini suala la conflict of interest lina angalizo la kipekee katika jicho la maadili
Ni mwanasiasa gani serikalini hapa TZ hana biashara au hisa kwenye private sector?? Mwigulu ni mfanyabiashara ila ndio anaongoza wizara ya uchumi je naye atapendelea biashara zake?? Au mtumishi wa umma ni sawa akiwa mfanyabishara ila mfanyabiashara sio sawa akiingia kwenye sekta ya umma??
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…