Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Ndugu yangu, hiyo adhabu ya sasa ya miezi 15 aliyopewa Zuma si ya kesi ya msingi ya ufisadi ambayo bado inamsubiri, ila hii ni kwa kushindwa na kukataa ku'appear kwenye Zondo Commission' iliyokuwa inachunguza tuhuma za State Capture' ya mfanyabiashara Gupta,aliyekuwa kama ndo ana remote control serikali na ANC atakavyo,kwenye kila sekta...Kesi ya msingi ya ufisadi kwa Zuma bado inamsubiri....
Sawa nimekuelewa lakini si kwa kuirejea afrika kusini. Niirejee nchi ambayo fisadi Zuma anafungwa miezi 15?!!! Utofauti uko wapi na kutofungwa?