Profesa wa Chuo Kikuu Oxford amshauri Rais Samia kuhusu miradi aliyoianzisha Hayati Magufuli kwa pupa

Kufaa au kutofaa kwa mradi kunaongozwa na feasibility study ya mradi husika. Na utekelezaji wake wa mradi unaofaa hakutegemei Professor kasema/katoa ushauri gani.
 
Kufaa au kutofaa kwa mradi kunaongozwa na feasibility study ya mradi husika. Na utekelezaji wake wa mradi unaofaa hakutegemei Professor kasema/katoa ushauri gani.
Kutekeleza miradi kunafaa kuendana na hali ya uchumi wa nchi
 
Mradi wa kuhamia Dodoma unaweza kusitishwa kwa muda wa miaka 10 mingine ikamilike kwanza, majengo hayaharibiki.
 
Pia kuhamia Dodoma kusitishwe kwa muda
 
LNG ni pesa za wawekezaji.
 
Idadi ya watu inatakiwa idhibitiwe pia, kasi ya ukuaji wetu wa uchumi sio nzuri kiasi cha kuendelea kuongeza watu wengine wengi kwa kasi zaidi.
 
Mwamba kama mwamba popote alipo apumzike kwa amani na furaha.
Mwamba kama mwamba leo watu wanamtusi na kumtukana ila ni wachache ila majority wanamkubali sana na mm binafsi namkubali na nitaendelea kumkubali ukiachilia mbali yale mapungufu ya kibinadamu ambayo hata mimi ninayo.

Watu wa siasa daima hawaaminiko na wanaweza kutengeneza habari ili ionekane flan ni mbaya kwa maslahi yao binafsi.

Huyo kiumbe wa oxfod nadhan yafaa amwache mama aendeleze miradi iliyokwisha anzishwa baada ya hapo ndipo aje miradi mingine mipya

Nchi inapaswa kuwa na sera za kitaifa ili raisi yoyote atakayeingia madarakani asiwe na yake ila aende na sera za taifa. Mfano kipaumbele cha nchi ni nini? Kama ni kilimo basi anaekuja anachezea humo humo si mara mapinduzi ya kijani. Mara mapinduzinya viwanda dah yan tabu tupu.
 
Ni vizuri mtu akitoa maoni, kama una uwezo, chambua. Usilete profesa fulani kasema hivi, sasa unataka tukubali ya huyo profesa pumbav? Tumepata Uhuru miaka mingi, nchi gani Afrika imesaidiwa na wazurngu ikaendelea? Ipi hiyo?

Ukiendelea kutukuza watu wa aina hii hufiki kokote! Ni mtu mpuuzi tu! Yaani tusiwe na umeme? Walimshauri Mkapa akavuruga NBC eti ni kubwa sana, Nyerere alimuuliza Mkapa kwamba benki zao ni ndogo? Sasa wanaleta ujinga mwingine tena eti miradi ni mikubwa, Mikubwa pumbav!
 
Idadi ya watu inatakiwa idhibitiwe pia, kasi ya ukuaji wetu wa uchumi sio nzuri kiasi cha kuendelea kuongeza watu wengine wengi kwa kasi zaidi.
Unasimulia kama risala la CCM. unawezaje kudhibiti idadi ya watu ktk umaskini? Taja mbinu moja tu!
 
hawa mashoga wameona tunaelekea sehemu nzuri, wameanza kutukatisha tamaa. walikuwa wapi awali? kama reli ya sgr sehemu zote inaenda vizuri, bwawa la nyerere liko vizuri. ni hayo tu, mradi gani mwingine mkubwa ambao huyu mzungu anaongelea anaotaka tuusimamishe? shetani huyu. Tangu lini taifa la magharibi likaishauri nchi yeyote ya afrika kwenye njia iliyo sahihi ili taifa hilo la africa lifikie sehemu lijitegemee? wanatamani tuwe na shida siku zote.

SGR itaharakisha sana maendeleo kwasababu ya usafirishaji, bwawa la nyerere litaongeza kiwango cha umeme kwa ajili ya SGR na viwanda, na mengine mengi. sasa ana nini cha kutushauri huyu?
 
CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu sana wamefikia hatua ya kuteletea mwendawazimu awe rais, matokeo yake tunayaona
 
Safi sana!

Ukipata nafasi nchi hii alafu usile wewe ni mpumbavu!

Nawapongeza wote waliotumia fursa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…