Takwimu zipi hizo?
Mitaani tunaona hali ilivyo, ukipika takwimubsie tunaona laivu mtaani.
Basi kuna shida! Watazuiaje tafiti, wakati tunahitaji chanjo ama tiba ya ugonjwa huu.? Kwa hiyo maelezo ya watafiti wetu wanakaribia kupata chanjo ni yakutilia mashaka?
Mzee74 ebu liweke saw hili.
Karibu.
Kwa hiyo immunity aliyotupa Mungu inatosha kabisa kupambana na corona ila maradhi mengine haitoshi tuendelee kupata chanjo na kumeza dawa kujikinga na kujiponya? Je hawa wanaokufa kwa corona vipi? Mungu hakuwapa immunity?Mimi si mshabiki wa Askofu Gwajima. Lakini nakubaliana naye kwa ishu ya chanjo. Ni mtu mjinga pekee ndio anaweza kubali Chanjo.
Mungu hakosei kuhusu immunity aliyomuumba nayo mtu. Why chanjo now?
weweee uhabari wanaochanja wengine wamekufa wewe!!!Shime Watanzania wenzangu TWENDENI TUKACHANJWE!
#KingaNiBoraKulikoTiba
#TuchanjeTuikingeJamii
#KaziIendelee
#NchiKwanza
Ccm + askofu/sheikh + doctors nani wa kumwamini kwa sasa,Kwanza nilitamani sana huyu mtu anayejiita Askofu akamatwe na vyombo vya dola kisha ahojiwe kuhusu tabia yake ya kwenda kanisani na kwenda kuwadanganya Watanzani kua chanjo si salama wakati anajua kabisa kua kila chanjo inayotolewa na serikali imejiridhisha.
Huyu mtu anarudisha juhudi za serikali nyumba ikiwa Mhe Rais alitamka wazi kua sisi siyo kisiwa hatuwezi kujitenga na na dunia, mpotoshaji moja anasoma na kumdhihaki Mama eti anashadadia pesa za Bilgate kweli?
Eti anaombea madaktari wanahimiza na kuchanja watu wafe,huyu mtu ni chizi si mzima. Na atakufa yeye kwanza Corona tunamuombea kama yeye anavyoombea watu.
Gwajima anajifanya yeye mtu wa Mungu wakati ameiba kura za ubunge mchana kweupe dunia inajua, anapata wapi Moral authority ya kunyooshea watu vidole mtu huyu wakati anakula vya halamu? Chama tunajua kuwa aliiba kura na ushindi wake ni haramu tumemnyamazia na akiendelea tutamuumbua.
Huyu mtu ni wa kupuuza anaendelea kurudisha mapambano ya serikali nyuma, lakini akiendelea hivi akamatwe. Hawa ndio waliompotosha mzee kwa kiasi kikubwa tukajikuta tumeingia katika matatizo makubwa. Hivyo kabisa na wapuuzwe. Pesa za Bilgate ndio nini? Kwani Corona haipo?
Kupinga tafiti za kisayansi kwa maneno matupu, halafu at the same time, mnataka maneno yenu matupu yapingwe kisayansi/kwa hoja ni uchizi, hamuelewi hata mnachosimamia. Gwajima atawatafuna sana akili zenu.Dunia ina mataifa mengi, kila taifa linapaswa kuwa na misimamo yake, sio kufuata mkumbo kwa kuwa jambo fulani linaikumba dunia nzima. Hata Tanzania inaweza kuwa role model kwa mataifa mengine duniani kuiga misimamo yake juu mambo yanayotokea duniani. Inapotokea watu wana maoni tofauti waachwe wayatoe na wapingwe kwa hoja maridhawa
Chanja tu....Gwajima ni mwanasayansi? alosema haitakuja Tanzania mbona ikaja? hizo long term effects anazowadanganya nazo amezithibitisha kwenye maabara gani? au ana maabara kanisani kwake? na ile biashara yake ya Corona kuihusianisha na 5G iliishia wapi?
Gwajima anatumia akili za wajinga kama nyie kuzidi kuwateka mkamtolee sadaka kwa madhabahu yake akanunue helcopter nyingine apate na ya mafuta.
Taarifa gani ya kisayansi inampinga Gwajima?Gwajima ni mwanasayansi? alosema haitakuja Tanzania mbona ikaja? hizo long term effects anazowadanganya nazo amezithibitisha kwenye maabara gani? au ana maabara kanisani kwake? na ile biashara yake ya Corona kuihusianisha na 5G iliishia wapi?
Gwajima anatumia akili za wajinga kama nyie kuzidi kuwateka mkamtolee sadaka kwa madhabahu yake akanunue helcopter nyingine apate na ya mafuta.
Hana UHURU wowote mkuu, asingeitwa kuhojiwa.Gwajima kama Gwajima anao uhuru wa kuwa na maoni yake binafsi, na hayo ni mawazo yake binafsi hivyo apingwe kwa hoja na siyo kushughulikiwa kinidhamu.
Tuliza mshono kaka,Huko Marekani chanjo hiyo wanaikataa.Gwajima ni mwanasayansi? alosema haitakuja Tanzania mbona ikaja? hizo long term effects anazowadanganya nazo amezithibitisha kwenye maabara gani? au ana maabara kanisani kwake? na ile biashara yake ya Corona kuihusianisha na 5G iliishia wapi?
Gwajima anatumia akili za wajinga kama nyie kuzidi kuwateka mkamtolee sadaka kwa madhabahu yake akanunue helcopter nyingine apate na ya mafuta.